Pole sana ndugu2025 ulikuwa mwaka mbaya sana kwangu mzee wangu alipooza stroke nilimaliza sana hela pale muhimbili inshallah now kapona kwa asilimia 100 mwaka huu nitaendelea pale nilipo ishia mwaka 2025nilikuwa mtu wa kulia sana 😭😭 mwaka huu 2026 sitalia tena
Sema range ya 30m itakua ya kitambo kidogo unapenda matatizo.Range Rover Sport
Upo sahihi kabisa.... Wengi et uusisha na kulogwa, uwa nacheka sana.Unavyotamka malengo yako unatua mzigo hivyo unapunguza kasi ya kufanya kwa bidii kuyatimiza.
mshamba_hachekwi
Kaka yaani ona hapa tunachati vizuri kabisa alafu nianze kutafuta uanachama kwenye platform kweli ?Karibu sana mkuu... kulitekeleza hili kutakuwa na platform ya kupata wanachama, utapata nafasi, na nafasi ya kushiriki uongozi ndani ya chama itakuwa open kwa kila mwanachama kwa usawa. Karibu sana
ephen_ Una watoto wangapi? My uchungu unauma hadi unaweza ongea kichina na hujawahi jifunza 🤣🤣🤣 sema itakua inatofautiana mtu na mtu, nina rafiki angu nae anasemaga hakuumwa popoteNi kama tumbo la period linavyouma, maumivu yanavumilika kabisaaaaa labda kama yanatofautiana mtu na mtu lkn mimi haikuuma hata kidogoo
😆😆 kwamba nimewahi mno?Mwanetu mbona mapema
Amin inshallah2025 ilikua mwiba hata kwangu especially kiuchumi. 2026 naona kabisa utakua mwaka wa shangwee Inshaalah.
Shukrani sana mkuuPole sana ndugu
Zipo fresh kakaSema range ya 30m itakua ya kitambo kidogo unapenda matatizo.
Hapana hazipo fresh mkuu sema tumezizoea tu ni gari za kitambo kidogo tutafute hela tuache kutumia gari zinazokaribiana umri na dereva..Zipo fresh kaka
Mambo yamerahisishwa siku hizi unless unaitaka experience ya kupush…Navyoona watu wanachanika kei wakati wa kujifungua nachoka mixer kuogopa 😂
Usijali kabisa mkuu, nitakuzingatia kabisa. Tutahitaji kama watu 2000 wa kukiwasha nchi nzima. Hao ndo watakuwa roho ya chama. Usijali kabisaKaka yaani ona hapa tunachati vizuri kabisa alafu nianze kutafuta uanachama kwenye platform kweli ?
Ni suala la kuniita chemba na kunipa walau kadi namba mbili alafu kunipa majukumu niwashe moto mbeya au kanda ya kusini ili uone moto wangu lakini ukisema nianze kujiunga kwenye maplatform ni kushusha mahadhi yangu mimi mwamba .
Mtoto mmoja! Uchungu haukuniuma😂 madaktari walikazana kuniambia push mtoto atoke kimoyomoyo najiuliza nipush nini wakati namsikia mtoto anajisukuma mwenyewe?ephen_ Una watoto wangapi? My uchungu unauma hadi unaweza ongea kichina na hujawahi jifunza 🤣🤣🤣 sema itakua inatofautiana mtu na mtu, nina rafiki angu nae anasemaga hakuumwa popote
Kila neema/baraka huja na changamoto zake, ukizishinda ndipo akili hupanuka huo ndio ukubwa. Wakati ww unawaza hivyo mwenzako anawaza ataongeza vipi kipato sababu familia inaanza kuwa kubwa so ni kawaida unapoingia daraja fulani kwenye maisha.Hi people,
Heri ya mwaka mpya
Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje
Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually
Wewe je?
Uzi bado....
View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q
Ahsante mkuu nmeelewa vyema kabisaNi kama vile ukiwa na kinyongo ukiongea unatua mzigo hata malengo ni hivyohivyo, usiongee ili kiwe moyoni malengo yako yakusumbue kuyatekeleza
Nasubiria Malengo yako!
Mjinga wewe,ukute umeolewa na LemaMalengo yangu ni Kuwezesha Samia kuondoshwa kwenye dola