2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,458
Airtel na Halotel ndio mpangoMkuu hiyo ya voda ndo ilikuwa mkombozi wangu ila huku niliko wameitoa...nimerudi halotel..
Airtel na Halotel ndio mpangoMkuu hiyo ya voda ndo ilikuwa mkombozi wangu ila huku niliko wameitoa...nimerudi halotel..
Sasa tufanyeje? Tuishie kulalamika au tukawashitaki!!Utapeli tu hamna kitu hapo
Unafuu wao ukoje bwasheeHamia airtel
Mbona voda 3000 gb 3 siku 7Asee nilijua Mimi tu .. Ila hata Voda nao hawana tofauti nao
Aisee pole sana mkuu, ila huku nilipo mtandao upo njema sana kuhusu swala la network Kuna coverage nzuri sana.Mkuu hiyo ya voda ndo ilikuwa mkombozi wangu ila huku niliko wameitoa...nimerudi halotel..
Ila Airtel huku Arusha ni majanga sana mtandao upo Kama konokono ni mwendo wa kobe.Airtel na Halotel ndio mpango
Wapo vizuri?Hamia airtel