BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Ripoti ya Ribo ya Mwisho wa Mwaka 2023 inayoangazia Huduma za Mawasiliano Nchini, imeonesha katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2023 kulikuwa na Majaribio ya Udanganyifu 21,788 katika Mikoa 29 huku Mkoa wa #Rukwa ukiongoza kwa majaribio 7,666.
Aidha, Mtandao wa #Tigo umeongoza kwa kurekodi idadi kubwa ya Majaribio ya Vitendo vya Udanganyifu ikiwa na Matukio 8,163 (38.5%), ukifuatiwa na #Airtel majaribio 6,580 (32.3%), Vodacom 2,876 (13.6%), TTCL 2,704 (12.7%) na Halotel 616 (2.9).
===========