muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,579
- 1,142
Ndugu zangu,
Nimejiuliza sipati majibu, hivi haya matangazo ya vifurushi vya mtandao wa Tigo Huwa siyaelewi.
Mbona kama yana ukakasi? mara jaza ujazwe, sasa hivi wapo na CHA WOTE. Hivi wenzangu mnawaelewa hawa jamaa au ni ushamba wangu tuu, khaa!.
Nimejiuliza sipati majibu, hivi haya matangazo ya vifurushi vya mtandao wa Tigo Huwa siyaelewi.
Mbona kama yana ukakasi? mara jaza ujazwe, sasa hivi wapo na CHA WOTE. Hivi wenzangu mnawaelewa hawa jamaa au ni ushamba wangu tuu, khaa!.