na kweli watabadilika... gb12, 1000 dakika, SMS 500 kwa 10,000 kwa 30 days na halichachiBora kuhamia huko kwa sasa ingawa nao wakija kuwa na wateja wengi wanaweza kuja kupongeza gharama.
na kweli watabadilika... gb12, 1000 dakika, SMS 500 kwa 10,000 kwa 30 days na halichachiBora kuhamia huko kwa sasa ingawa nao wakija kuwa na wateja wengi wanaweza kuja kupongeza gharama.
Nimewaza comment aliyoandika huyo mdau, hata sikujua jibu gani anastahili, hili la kwako limetoka kiungwana sana, unastahili heshima.Na hayo ni mawazo yako tunayapokea...
Unaweza kutusaidia list ya vifurushi vyao vipoje chief, maana tigo limekuwa tatizo.Toka nihamie Zantel sijawahi kujutia.
Mm huwa najiunga cha chuo 1500/Tsh unapata dk 160, sms 500 na g.b 1.5 kwa wiki na mb zako zinatumika kihalali kabisa.Unaweza kutusaidia list ya vifurushi vyao vipoje chief, maana tigo limekuwa tatizo.
Kumbe na wewe umeamua kuwapa talaka ya moja kwa moja basi tupo wengi tuliondoka nina washikaji kadhaa nao jana wamepiga chini line za TIGOwamepunguza MB kwwnye vifurushi vya internet,, mm huwa na nunua vya mwezi GB za kutosha ila jana wamepunguza nimewahama! sirudii tena kwao.
Hawa nao inabidi tuishi nao kwa akili hawatakusumbua kichwa ukiwaelewa.....mkuuNimewaza comment aliyoandika huyo mdau, hata sikujua jibu gani anastahili, hili la kwako limetoka kiungwana sana, unastahili heshima.
Pole tumeumia wengi japo tuliwapenda lkn ndo ivo sasa tumeamua kutua gunia la misumari...!Wasafi na tigo tumewasha wanawekea bodaboda mafuta ndio kuminya wateja. Mimi mteja wao namba 1 ila wana anza nikera.
Mimi natumia post paid ngoja nione kama kutakua kuna mabadiliko nako pia.Pole tumeumia wengi japo tuliwapenda lkn ndo ivo sasa tumeamua kutua gunia la misumari...!
Tigo niliwahama nikaachana nao.Leo nimesajiri laini ya airtel kabisa staki mchezo kabisa
Piga chini mkuu tumechokaTigo niliwahama nikaachana nao.
Mwenye kujua vizuri vifurushi vya airtel atujuze.
YESU ni KRISTOView attachment 1688268
Hamia airtel
Halafu kile cha wiki cha 3000 wamepunguza bando mpaka Mb 500 (kutoka Gb 1)Nimeona niandike hili juu ya wizi wa kampuni ya (TIGO) kwenye vifurushi vyao, haijarishi ni kifurushi cha dakika au ni cha sms au internet,
Wamekuwa wakipandisha vifurushi vyao bila kujali hali halisi ya maisha tuliyonayo
Jana nimejaribu kununua kifurushi cha internet
ambacho nimezoea kununua cha Tsh 3000 gb 2 kwa wk
Nimekuta kimepunguzwa gb1 na kubakia gb 1 kwa tsh 3000 nimeshindwa kununua kifurushi hicho bado najiuliza nihamie kampuni gani yenye unafuu wa vifurushi tofauti na hawa wezi @tigo_tz
View attachment 1688193
Vipi gharama zake za vifurushi vya wiki vyenye dakika, meseji na bando???Hamia airtel
Kama una line piga *149*99# ujionee mwenyewe.Vipi gharama zake za vifurushi vya wiki vyenye dakika, meseji na bando???