Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,123
- 1,919
Ndugu zangu Wananchi, kuna jambo tunasahau kuhusiana na mkataba wa DP World. Malalamiko ya mkataba huo yamekuwa mengi sana lakini tatizo letu wananchi tumeshindwa kujua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hapaswi kulaumiwa hata kidogo, ni Rais msafi na mcha Mungu.
Malalamiko yanayohusiana na mkataba wa DP World yapelekwe CCM kwasababu Rais anatekeleza sera za chama chake.
Rais yupo chini ya chama chake hivyobasi jambo lolote analofanya linatokana na kutekeleza sera za chama chake na sio yeye binafsi.
Raisi ndani ya chama ni sawa na mtumishi yeye anafanya yale yote anayoagizwa na chama chake ama kwa maana rahisi mwajiri wake.
Kitendo cha kumlaumu Rais Samia Suluhu Hassan ni kitendo cha unyanyasaji wa hali ya juu na sote tunapaswa kumtaka radhi kwasababu tunamuonea.
Malalamiko yanayohusiana na mkataba wa DP World yapelekwe CCM kwasababu Rais anatekeleza sera za chama chake.
Rais yupo chini ya chama chake hivyobasi jambo lolote analofanya linatokana na kutekeleza sera za chama chake na sio yeye binafsi.
Raisi ndani ya chama ni sawa na mtumishi yeye anafanya yale yote anayoagizwa na chama chake ama kwa maana rahisi mwajiri wake.
Kitendo cha kumlaumu Rais Samia Suluhu Hassan ni kitendo cha unyanyasaji wa hali ya juu na sote tunapaswa kumtaka radhi kwasababu tunamuonea.