johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,693
- 143,121
Mwenyekiti wa bodi ya utalii nchini Jaji mstaafu Anthony Mihayo amesema Tanzania itapokea ugeni mkubwa wa watalii kutoka nchi takatifu ya Israel wanaokuja nchini kwa mapumziko.
Jaji Mihayo amesema hayo wakati akilipokea kundi la kwanza la watalii hao lililowasili jijini Arusha leo.
Aibarikie Israel atabarikiwa na ailaaniye atalaaniwa.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Jaji Mihayo amesema hayo wakati akilipokea kundi la kwanza la watalii hao lililowasili jijini Arusha leo.
Aibarikie Israel atabarikiwa na ailaaniye atalaaniwa.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!