johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Watanzania tutembee vifua mbele.
Zaidi ya watalii 700 kutoka nchi takatifu ya Israel wakiwa na ndege kubwa 3 wamewasili nchini kwa shughuli za kitalii.
Watalii hao wametua katika uwanja wa KIA saa 9 kamili alfajili ya leo.
Hongera Rais Magufuli kwa jitihada zako za kukuza utalii.
Source ITV habari!
Zaidi ya watalii 700 kutoka nchi takatifu ya Israel wakiwa na ndege kubwa 3 wamewasili nchini kwa shughuli za kitalii.
Watalii hao wametua katika uwanja wa KIA saa 9 kamili alfajili ya leo.
Hongera Rais Magufuli kwa jitihada zako za kukuza utalii.
Source ITV habari!