Makundi ya watalii kutoka Israel yaanza kuwasili nchini kwa mapumziko ya mwaka mpya, aibarikie Israel atabarikiwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,750
139,545
Mwenyekiti wa bodi ya utalii nchini Jaji mstaafu Anthony Mihayo amesema Tanzania itapokea ugeni mkubwa wa watalii kutoka nchi takatifu ya Israel wanaokuja nchini kwa mapumziko.

Jaji Mihayo amesema hayo wakati akilipokea kundi la kwanza la watalii hao lililowasili jijini Arusha leo.

Aibarikie Israel atabarikiwa na ailaaniye atalaaniwa.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Tunawakaribisha watalii wa nchi zote za duniani, wayahudi hawapendi ukristo wala uislamu, wao wanaaminidini yao pekee ndio dini ya mungu, na kama hukuzaliwa na mama wa kiyahudi huna asili yao, ukijiunga na dini yao na uu mtu mweuzi basi wewe ni third class judist.

Wayahudi weusi wananyanyaswa sana huko kwao, lakini ukiwa mtu mweupe unakaribishwa, wale FALASHA waliotolewa Ethiopia wengi wamerudi Ethiopia na hawataki kuisikia Israel tena.

Sijui kwa nini tunawashangilia, ama ni basi tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunawakaribisha watalii wa nchi zote za duniani, wayahudi hawapendi ukristo wala uislamu, wao wanaaminidini yao pekee ndio dini ya mungu, na kama hukuzaliwa na mama wa kiyahudi huna asili yao, ukijiunga na dini yao na uu mtu mweuzi basi wewe ni third class judist.

Wayahudi weusi wananyanyaswa sana huko kwao, lakini ukiwa mtu mweupe unakaribishwa, wale FALASHA waliotolewa Ethiopia wengi wamerudi Ethiopia na hawataki kuisikia Israel tena.

Sijui kwa nini tunawashangilia, ama ni basi tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa tunazungumzia utalii bwashee!
 
Tunawakaribisha watalii wa nchi zote za duniani, wayahudi hawapendi ukristo wala uislamu, wao wanaaminidini yao pekee ndio dini ya mungu, na kama hukuzaliwa na mama wa kiyahudi huna asili yao, ukijiunga na dini yao na uu mtu mweuzi basi wewe ni third class judist.

Wayahudi weusi wananyanyaswa sana huko kwao, lakini ukiwa mtu mweupe unakaribishwa, wale FALASHA waliotolewa Ethiopia wengi wamerudi Ethiopia na hawataki kuisikia Israel tena.

Sijui kwa nini tunawashangilia, ama ni basi tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ustadhi naona povu linakudondoka ukisikia mambo ya Israeli. Tuliza mzuka kaka jamaa ameelezea utalii wa watu wa Israeli sasa hayo mambo yote yanahusika vp?!
 
Mwenyekiti wa bodi ya utalii nchini Jaji mstaafu Anthony Mihayo amesema Tanzania itapokea ugeni mkubwa wa watalii kutoka nchi takatifu ya Israel wanaokuja nchini kwa mapumziko.

Jaji Mihayo amesema hayo wakati akilipokea kundi la kwanza la watalii hao lililowasili jijini Arusha leo.

Aibarikie Israel atabarikiwa na ailaaniye atalaaniwa.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Kwa nn hawaendi Burigi - Chato?
 
Haya chief..
IMG_20191217_111238.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom