Babake mwanaidi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 641
- 693
Waafrika mnaangamia kwa kukosa maarifa.sijaona umuhimu wa sentesi zako za mwisho kwamaana ya kwamba Israeli ni taifa takatifu lakini kwa tunaofahamu hii nchi imejaa kila aina ya ushetani ambao unafanyika duniani kote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app