Dripboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 3,178
- 4,603
Kutoka hotel ya Mount meru watalii waliotua nchini kutoka nchini China wakipata chakula cha usiku huku Mgeni rasmi akitarajiwa kufika wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Cha kushangaza hawa wachina ni walevi wanakunywa Kilimanjaro premium lager, Serengeti, Senator na vileo vingine vikali.
-----------------------------------------------------
Tunafahamu sote waziri mkuu ni muislamu kwa imani na yuko katika mfungo wa ramadhani hii imekaaje kiimani au ni sawa tu kushirikiana na walevi wenzetu hawa naona wamechangamka kwelikweli.
------------------------------------------------------
UPDATE:
22:17 Waziri mkuu Kassim Majaliwa anawasili.
22:23 Utambulisho umeanza
22:24 Jaji mihayo amekaribishwa kuzungumza
22:29 Waziri wa utalii Dkt Hamis kigwangala anakaribishwa.
22:35 Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika ya mashariki Prof. Palamagamba Kabudi anazungumza.
▶Ameanza kujigamba kuwa aliitembelea china October
▶Watu wa china ni marafiki wetu wa jadi (All weather friends)
▶ 22:42 Prof palamagamba anawakaribisha sana ndugu zetu hawa kutoka China.
---------------------------------------------------------
22:49 Wachina wanatupa Burudani weeeee acha niserebuke zangu hapa.
22:54 Waziri mkuu anakaribishwa kuzungumza na Hadhira.
▶Anaanza kwa kuwatambua Viongozi mbalimbali waliopo Ukumbini
▶ Anawakaribisha kwenye Ardhi ya Kilimanjaro, Serengeti na Zanzibar.
▶Wanapewa ahadi ya kushuhudia Ukarimu wa watanzania, Tanzania ni nchi yenye vivutio vya asili sio vya kuandaliwa.
▶Kivutio chao cha kwanza kukitembelea itakuwa Ngorongoro Crater na baadaye mlima Kilimanjaro, MLIMA KILIMANJARO UPO TANZANIA TU, UKITAKA KUUZUNGUKA, KUUONA, NA KUUPANDA LAZIMA UJE TANZANIA.
⏩22:59Ni zamu ya kuinadi Serengeti sasa.
Waziri mkuu anamalizia hituba yake kwa kusisitiza kuendelea kwa mahusiano mazuri kati ya Tanzania na China.
Mwisho kabisa anahitimisha kwa kuwakaribisha Tanzania na "Nchi" ya Zanzibar.
Anamaliza kwa kusema "xièxie” yani Ahsante.
Cha kushangaza hawa wachina ni walevi wanakunywa Kilimanjaro premium lager, Serengeti, Senator na vileo vingine vikali.
-----------------------------------------------------
Tunafahamu sote waziri mkuu ni muislamu kwa imani na yuko katika mfungo wa ramadhani hii imekaaje kiimani au ni sawa tu kushirikiana na walevi wenzetu hawa naona wamechangamka kwelikweli.
------------------------------------------------------
UPDATE:
22:17 Waziri mkuu Kassim Majaliwa anawasili.
22:23 Utambulisho umeanza
22:24 Jaji mihayo amekaribishwa kuzungumza
22:29 Waziri wa utalii Dkt Hamis kigwangala anakaribishwa.
22:35 Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika ya mashariki Prof. Palamagamba Kabudi anazungumza.
▶Ameanza kujigamba kuwa aliitembelea china October
▶Watu wa china ni marafiki wetu wa jadi (All weather friends)
▶ 22:42 Prof palamagamba anawakaribisha sana ndugu zetu hawa kutoka China.
---------------------------------------------------------
22:49 Wachina wanatupa Burudani weeeee acha niserebuke zangu hapa.
22:54 Waziri mkuu anakaribishwa kuzungumza na Hadhira.
▶Anaanza kwa kuwatambua Viongozi mbalimbali waliopo Ukumbini
▶ Anawakaribisha kwenye Ardhi ya Kilimanjaro, Serengeti na Zanzibar.
▶Wanapewa ahadi ya kushuhudia Ukarimu wa watanzania, Tanzania ni nchi yenye vivutio vya asili sio vya kuandaliwa.
▶Kivutio chao cha kwanza kukitembelea itakuwa Ngorongoro Crater na baadaye mlima Kilimanjaro, MLIMA KILIMANJARO UPO TANZANIA TU, UKITAKA KUUZUNGUKA, KUUONA, NA KUUPANDA LAZIMA UJE TANZANIA.
⏩22:59Ni zamu ya kuinadi Serengeti sasa.
Waziri mkuu anamalizia hituba yake kwa kusisitiza kuendelea kwa mahusiano mazuri kati ya Tanzania na China.
Mwisho kabisa anahitimisha kwa kuwakaribisha Tanzania na "Nchi" ya Zanzibar.
Anamaliza kwa kusema "xièxie” yani Ahsante.