Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

Wakuu naombeni mnipe hifadhi

20260418_192330.jpg
 
Jeiefu ni kama kipoozeo tu... umetoka zako Job, ama uko bored unaingia kutoa stress ......
Siku hizi jf imebadilika mno.... sio kama ile ya zamani kunakuwa na hoja nzito, zimeshiba, mitazamo yakinifu... unajibiwa kwa hoja, kistaarabu !!magine now dume lintheafungua thread linasema mimi ni mzuri .... šŸ—‘ 🚮 kina hanzu n.k
majitu ya siku hizi hayana shadow.. ule utisho haupo tena
šŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€
 
JF ni kama mtaani tu watu waliopo humu ni wale wale waliopo mtaani

1 .Wambeya wako hapa tena kwa jinsia zote Me na Ke

2. Wenye wivu na roho mbaya wako hapa huyu anaweza hata kuchukia jina la I'd yako au avatar au namna una vyoandika : huyu ni kama mgonjwa😁

3. kuna wajuaji hawa wanajua kila kitu mpka unachowazašŸ¤”šŸ˜

4. Kuna wenye makasiliko huyu anaweza kukupurupka na kumwaga matusi kama njugušŸ˜€

5.Kuna wapenda utani wao mda wote wapo happy 😊 na kufurahi na wengine

6.kuna wanaosoma mada na comment kisha wanapita hivi hawa sio watu wa maneno mengi

7.kuna wapolee tu hata kwa comment zao šŸ¤—

8.kuna Ma genius šŸ‘ akiendika sehemu unasema tawile

9.Kuna wanaojiita wasomi
Wachambuzi wa mambo

10. Kuna vilaza
Vilaza promax

Cha msingi wewe JF unaingia kwa lengo gani ? Ingia ila huepukani na kukutana na watu tajwa hapo juušŸ¤
kuna wajuaji hawa wanajua kila kitu mpka unachowaza

Hii iliniumiza sana!
Kuna member alipost uzi wake! Alikuwa anauza simu yake ili apate kodi ya nyumba! Alitaja aina ya simu na kiwango
Kuna members walikuja na comments za ajabu na za kuumiza sana
Kuna watu huwa ni wahitaji kweli na wanachoandika ni uhalisia mtupu.. Tujifunze kuwa na tafakuri kabla hatujaandika mitazamo yetu
 
kuna wajuaji hawa wanajua kila kitu mpka unachowaza

Hii iliniumiza sana!
Kuna member alipost uzi wake! Alikuwa anauza simu yake ili apate kodi ya nyumba! Alitaja aina ya simu na kiwango
Kuna members walikuja na comments za ajabu na za kuumiza sana
Kuna watu huwa ni wahitaji kweli na wanachoandika ni uhalisia mtupu.. Tujifunze kuwa na tafakuri kabla hatujaandika mitazamo yetu
Dear Dad 😢
Mimi nimejifunza vingi JF na njee ya JF kwamba watu hatufanani mitazamo,
Fikra zetu , mbali na malezi na kwamba tumelelewa mazingira tofauti

Humu kuna watu wameumizwa na hata hawajawahi kupona unadhani wataponya wengine?

Kuna watu hajui maana ya upendo moyo wake haujawahi kupokea upendo unadhani ataweza kupenda wengine ?

So nilichojifunza ni kupokea vitu positive ili nisipoteze energy yangu kwa watu ambao wenyewe tu wanaitaji msaada

Nb. Kuna wengine ni washenzi washenzi tu wanajifanya akili fyatu kumbe wako timamušŸ“Œ
 
Back
Top Bottom