"Makosa"tunayofanya kwenye mahusiano

hahaha najua hommie kwa nini unapinga maana tukianza hii kitu tutaelekea kule kwenye ile thread ya kusaidiana kupika..hommie unakumbukumbu weye hutaki kunasa kabsaa....!!
Si umeona hapoe? Mwishoe unapewa zamu ya kuosha vyombo. Mi bana nksishajipigia valuu zangu za kutosha nikirudi home kazi ni moja tu tabenako...............aftaroo waifu wangu huwa namuona live less than six hours during week days!
 
Rozari ile ulioisahau kwenye:car: au ipi? Hivi Unavyoondoka kwa Viki pale Pemba hata daireksheni ya kurudi home unaisahau mpaka uelekezwe, hiyo rozari unaisalia wapi?:confused2: Ila uzuri huwa tuna:lalala: pale kaunta kwa hiyo tukirudi nyumani tunamalizia tu :amen: then tabenako!
ha ha ha ha
 
na pia sasa Tabenako sio LAZIMA iwe usiku....inaweza kuwa asubuhi, au mchana ukatoroka kazini ukaja home mara moja, and the like. sasa hapo nilipobold nambie umetoa journal ipi? LOL
Mi natoroka tunakutana tunaenda guest bana!! home mbali na tumepazoea bana!!

Mi mambo ya saikolojia sijui makitu gani, siyajui wala nini!!
 
Si umeona hapoe? Mwishoe unapewa zamu ya kuosha vyombo. Mi bana nksishajipigia valuu zangu za kutosha nikirudi home kazi ni moja tu tabenako...............aftaroo waifu wangu huwa namuona live less than six hours during week days!
Ukiwa tabenako huwa unakuwa umefunga macho?......humuoni,....yaki za valuu zimechanganyika na zako !! haha!
 
Ukiwa tabenako huwa unakuwa umefunga macho?......humuoni,....yaki za valuu zimechanganyika na zako !! haha!
Ndo maana nimesema live kiongozi. Kwa hapa live = sober!! Soma katikati ya mistari bana!
 
Mimi kwa maoni yangu kikubwa hasa tunachokosea wengi ni usanii. Mtu anakuwa muongo muongo tu hataki kusema kweli. Wengine wanathubutu hata kusema pembeni yule nampenda 60% tu! sijui hiyo 40% kachukua nani lakini hawezi kumwambia muhusika kwa kujua kwamba uhusiano utakufa. Hichi ndiyo kikubwa sana kinachosababisha matatizo mengi ndani ya mahusiano.

Kama watu watakuwa wakweli basi nadhani tunaweza kupunguza labda 70% ya matatizo ndani ya mahusiano. Yule jamaa wala simzimii kihivyo nipo nipo tu for the time being, yule binti hanichengui sana. Basi ali mradi usanii juu ya usanii matokeo yake mahusiano yamejaa matatizo kila kona.
 
Mimi kwa maoni yangu kikubwa hasa tunachokosea wengi ni usanii. Mtu anakuwa muongo muongo tu hataki kusema kweli. Wengine wanathubutu hata kusema pembeni yule nampenda 60% tu! sijui hiyo 40% kachukua nani lakini hawezi kumwambia muhusika kwa kujua kwamba uhusiano utakufa. Hichi ndiyo kikubwa sana kinachosababisha matatizo mengi ndani ya mahusiano.

Kama watu watakuwa wakweli basi nadhani tunaweza kupunguza labda 70% ya matatizo ndani ya mahusiano. Yule jamaa wala simzimii kihivyo nipo nipo tu for the time being, yule binti hanichengui sana. Basi ali mradi usanii juu ya usanii matokeo yake mahusiano yamejaa matatizo kila kona.

Mkuu BAK mapenzi ya kiswahili bila fix hupati mrembo wallah,
Tatizo ni kwamba ukiongea ukweli anakumwaga ukimpiga fix unampata kiulaini.
TUseme wengi wao wanapenda kudanganywa kama tunavyo penda kudanganywa.
 
Leo kaja Hivi....

Wapwa na mabinamu... ....blah blah blah....hasa wale waliopo wkenye mahusiano ya kindoa/GF/BF.......blah blah blah.....kifo cha mende kinakubali, JIACHIE... paka chongo, JIACHIE, mbuzi kagoma..jiachieni... mambo ye TEMBELE ndo yanakubali.,,jiachieni....RELAX and do it accordingly. ....blah blah blah...hata kama ukiona mtu amefanya infidelity ....LOVE inakuwa sehemu MOJA tu...

Then...

The Following 18 Users Say Thank You to Kaizer For This Useful Post:
Acid (Today), Asprin (Today), Baba_Enock (Today), Bigirita (Today), Compaq (Today), Eeka Mangi (Today), FirstLady1 (Today), Kimey (Today), Lady (Today), lety (Today), Masikini_Jeuri (Today), Mkeshahoi (Today), Nguli (Today), nyange (Today), Remmy (Today), Roya Roy (Today), Teamo (Today), Tshala (Today)​


Huyu akagoma...

Makubali kote ila paragraph ya mwisho...infidelity ni KUKOSA AKILI..as the Bible sayeth!!!MWISHO

Ikawa kosa...

ni kweli mkulu , ukisoma between the lines ni kwamba hata KUKOSA huko kwa akili ni KWA MUDA tu sio wakati wote ndio maana mwisho wa siku unarudi HOME tartiiib,....

... and...

Hapo ndipo unapokosea sasa.:

... and...

Hivi bible inazungumziaje kutukana au kumwambia mwenzako kakosa akili?

....and....

Si kila mtu anakosa akili muda fulani...?

Huyu akazema hivi........

kaizer..................! ngoja niende nikaaaaa:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking: be back shortly

Mama wa Kwanza akaomba mwongozo...

Hahah Kaizer nilijua hiyo sentensi ya mwisho lazima iwepo....Haya Teamo na RR mna la kuongezea?

Vitisho vikaendelea...

Afu na wewe............ Taongea na Kaizer au Roya Roy wakuambukize CHEZUMWI labda utaingia kundini.

..... Alipotoka kuvuta majani.... akatoa listi

wafuatao ni wahanga wa CHEZUMWI:
1)ASPRIN
2)KAIZER
3)ROYA
4)KI-MEY
5)DOKTA
6)MUHASIBU
7)OSHENIKI

any man from rombo ataingia tu

Kisha huyu akatoa konklusheni...

Ndo maana nimesema live kiongozi. Kwa hapa live = sober!! Soma katikati ya mistari bana!

:confused2::confused2:
 
Leo kaja Hivi....



Then...

The Following 18 Users Say Thank You to Kaizer For This Useful Post:
Acid (Today), Asprin (Today), Baba_Enock (Today), Bigirita (Today), Compaq (Today), Eeka Mangi (Today), FirstLady1 (Today), Kimey (Today), Lady (Today), lety (Today), Masikini_Jeuri (Today), Mkeshahoi (Today), Nguli (Today), nyange (Today), Remmy (Today), Roya Roy (Today), Teamo (Today), Tshala (Today)​


Huyu akagoma...



Ikawa kosa...



... and...



... and...



....and....



Huyu akazema hivi........



Mama wa Kwanza akaomba mwongozo...



Vitisho vikaendelea...



..... Alipotoka kuvuta majani.... akatoa listi



Kisha huyu akatoa konklusheni...



:confused2::confused2:
:A S-omg::A S-omg::A S-omg:
 
ngoja nirudi tena nikaaaaaa:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:
dhen nitamjibu askofu
 
Back
Top Bottom