Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Makosa 10 ×10 ya mleta Uzi huu:
1.Kutofahamu kama duniani tuko kwenye mtihani,ima ufaulu mtihani au ushindwe,katika mtihani kuna maswali magumu,ya mafumbo,yanayobabaisha nk.
2.Katika mtihani wowote hupewi maswali yanayofanana,kama katika hisabati,utapewa ya +,-,$,℅,×,÷, nk.
3.Kutojitambuwa kama ameumbwa,kila unachoona popote pale,ujuwe yupo aliyesababisha kuwepo hapo,ukiona unyao wa simba ujuwe haukufanyika wenyewe,yupo simba kapita.
4.Kujitia wasiwasi kwa mleta mada kama yeye ni binadamu kaumbwa au kazuka tu.
5.Kutofahamu mleta mada,kama shetani,aliomba kwa Mungu,afanye hayo anayofanya,kwa hiyo akawekwa kuwa ni mtihani miongoni mwa mitihani.Ukimfuata shetani umefeli.
6.Yote haya fanya 5×10 ×2
1.Kutofahamu kama duniani tuko kwenye mtihani,ima ufaulu mtihani au ushindwe,katika mtihani kuna maswali magumu,ya mafumbo,yanayobabaisha nk.
2.Katika mtihani wowote hupewi maswali yanayofanana,kama katika hisabati,utapewa ya +,-,$,℅,×,÷, nk.
3.Kutojitambuwa kama ameumbwa,kila unachoona popote pale,ujuwe yupo aliyesababisha kuwepo hapo,ukiona unyao wa simba ujuwe haukufanyika wenyewe,yupo simba kapita.
4.Kujitia wasiwasi kwa mleta mada kama yeye ni binadamu kaumbwa au kazuka tu.
5.Kutofahamu mleta mada,kama shetani,aliomba kwa Mungu,afanye hayo anayofanya,kwa hiyo akawekwa kuwa ni mtihani miongoni mwa mitihani.Ukimfuata shetani umefeli.
6.Yote haya fanya 5×10 ×2