Tunatoa maadili kutoka kwenye Biblia? Kama Ni kweli, Mbona Mungu Hana Maadili?

SimbaMpole123

JF-Expert Member
Apr 23, 2023
5,240
4,376
Wakristo wengi wanaamini Biblia Ni maandiko takatifu na ndo yanawapa mwongozo watu katika maisha yenye maadili. Lakini mbona Biblia yenyewe Ina maandiko yasio na maadili na pia Mungu wa kwenye Biblia amekuwa ni mwenye mateso na kuonea watu bila sababu za msingi. Ni kweli Mungu yupo hivi au hizi zilikuwa story tu za mababu katika kutishia watu amani. Hebu tuone sehemu zifuatazo.

Kalaani binadamu na uumbaji wote kwa tendo la watu wawili(Mwanzo 3:16-23)

Kaua kwa mafuriko wajawazito, watoto wasio na hatia na wanyama(Mwanzo 7:20-23)

Kawapa magonjwa na mvua za mawe wamisri kisa farao kakataa kuwaachia wayahudi baada ya Mungu mwenyewe kuufanya moyo wake uwe mgumu(Kutoka 9:8-11,25)

Aliamuru waisraeli waue wanaume, wanawake wasio bikra na watoto wote wa mataifa Saba na waibe arhi Yao(kumbukumbu la torati 7:1-2)

Alimuua mtoto wa Daudi kisa alizini na Bathsheba (2 Samuel 12:13-18)

Alitaka mateso na kuuwawa kwa mtoto wake(Warumi 3:24-25)

Ameapa kuwatesa wasioamini kristo katika moto wa milele(Ufunuo 21:8)

Pia ameamuru kuuliwa mtu mwenye makosa ya kufanya kazi siku ya sabato(Kutoka 31:15), kumtukana mzazi(walawi 20:9), kuabudu miungu mingine(kumbukumbu la torati 17:2-5), kuwa mchawi(kutoka 22:18), Ushoga (Walawi 20:13), kutokuwa bikra siku ya ndoa(kumbukumbu la torati) 22:20-21

Hitimisho: Ukitoa sodom na gomora na story ya Nuhu. Mungu ameua watu 2,038,344 na Shetani ameua watu 10 tu. Tena hao kumi ni watoto wa Ayubu ambae Mungu alibet na shetani so Mungu alimuamuru shetani awaue. Shetani hajawahi danganya Wala kuiba Biblia nzima. So Nani yupo sawa Mungu au Shetani.
 
Wakristo wengi wanaamini Biblia Ni maandiko takatifu na ndo yanawapa mwongozo watu katika maisha yenye maadili. Lakini mbona Biblia yenyewe Ina maandiko yasio na maadili na pia Mungu wa kwenye Biblia amekuwa ni mwenye mateso na kuonea watu bila sababu za msingi. Ni kweli Mungu yupo hivi au hizi zilikuwa story tu za mababu katika kutishia watu amani. Hebu tuone sehemu zifuatazo.

Kalaani binadamu na uumbaji wote kwa tendo la watu wawili(Mwanzo 3:16-23)

Kaua kwa mafuriko wajawazito, watoto wasio na hatia na wanyama(Mwanzo 7:20-23)

Kawapa magonjwa na mvua za mawe wamisri kisa farao kakataa kuwaachia wayahudi baada ya Mungu mwenyewe kuufanya moyo wake uwe mgumu(Kutoka 9:8-11,25)

Aliamuru waisraeli waue wanaume, wanawake wasio bikra na watoto wote wa mataifa Saba na waibe arhi Yao(kumbukumbu la torati 7:1-2)

Alimuua mtoto wa Daudi kisa alizini na Bathsheba (2 Samuel 12:13-18)

Alitaka mateso na kuuwawa kwa mtoto wake(Warumi 3:24-25)

Ameapa kuwatesa wasioamini kristo katika moto wa milele(Ufunuo 21:8)

Pia ameamuru kuuliwa mtu mwenye makosa ya kufanya kazi siku ya sabato(Kutoka 31:15), kumtukana mzazi(walawi 20:9), kuabudu miungu mingine(kumbukumbu la torati 17:2-5), kuwa mchawi(kutoka 22:18), Ushoga (Walawi 20:13), kutokuwa bikra siku ya ndoa(kumbukumbu la torati) 22:20-21

Hitimisho: Ukitoa sodom na gomora na story ya Nuhu. Mungu ameua watu 2,038,344 na Shetani ameua watu 10 tu. Tena hao kumi ni watoto wa Ayubu ambae Mungu alibet na shetani so Mungu alimuamuru shetani awaue. Shetani hajawahi danganya Wala kuiba Biblia nzima. So Nani yupo sawa Mungu au Shetani.
Mungu huwa hafanyi kitu kwasababu ni sahihi,ila anachofanya yeyw ndio sahihi.Alafu pia fahamu Mungu ndio chanzo cha uadilifu wote.
 
Wakristo wengi wanaamini Biblia Ni maandiko takatifu na ndo yanawapa mwongozo watu katika maisha yenye maadili. Lakini mbona Biblia yenyewe Ina maandiko yasio na maadili na pia Mungu wa kwenye Biblia amekuwa ni mwenye mateso na kuonea watu bila sababu za msingi. Ni kweli Mungu yupo hivi au hizi zilikuwa story tu za mababu katika kutishia watu amani. Hebu tuone sehemu zifuatazo.

Kalaani binadamu na uumbaji wote kwa tendo la watu wawili(Mwanzo 3:16-23)

Kaua kwa mafuriko wajawazito, watoto wasio na hatia na wanyama(Mwanzo 7:20-23)

Kawapa magonjwa na mvua za mawe wamisri kisa farao kakataa kuwaachia wayahudi baada ya Mungu mwenyewe kuufanya moyo wake uwe mgumu(Kutoka 9:8-11,25)

Aliamuru waisraeli waue wanaume, wanawake wasio bikra na watoto wote wa mataifa Saba na waibe arhi Yao(kumbukumbu la torati 7:1-2)

Alimuua mtoto wa Daudi kisa alizini na Bathsheba (2 Samuel 12:13-18)

Alitaka mateso na kuuwawa kwa mtoto wake(Warumi 3:24-25)

Ameapa kuwatesa wasioamini kristo katika moto wa milele(Ufunuo 21:8)

Pia ameamuru kuuliwa mtu mwenye makosa ya kufanya kazi siku ya sabato(Kutoka 31:15), kumtukana mzazi(walawi 20:9), kuabudu miungu mingine(kumbukumbu la torati 17:2-5), kuwa mchawi(kutoka 22:18), Ushoga (Walawi 20:13), kutokuwa bikra siku ya ndoa(kumbukumbu la torati) 22:20-21

Hitimisho: Ukitoa sodom na gomora na story ya Nuhu. Mungu ameua watu 2,038,344 na Shetani ameua watu 10 tu. Tena hao kumi ni watoto wa Ayubu ambae Mungu alibet na shetani so Mungu alimuamuru shetani awaue. Shetani hajawahi danganya Wala kuiba Biblia nzima. So Nani yupo sawa Mungu au Shetani.
hahaha,ngoja waje wataalamu,niko pale nawasubiri
 
Mimi sipo katika imani ya ukristo ila nimeona swali lako nikaona nichangie...Kwanini Mungu hana maadili?

Kuwekewa maadili ni jambo linaloonesha kuwa upo chini ya sheria fulani ulizoamrishiwa kutoka katika mamlaka iliyo juu zaidi inaweza kuwa mzazi, serikali, ofisi au hata Mungu.

Miongoni mwa sifa za Mungu ni kuwa yeye ndiye wa mwanzo na wa mwisho, ni mmoja hana mshirika katika utawala wake, ni mkuu na yeye ndiye mfalme na ndiye mshindi.

Mungu ndiye Mkuu kwa maana yake hakuna yeyote kumzidi yeye. Muweza wa kila kitu lakini licha ya hayo bado Mungu amejihukumia mwenyewe kuwa Rehema na huruma yake izidi hasira na ghadhabu zake. Ndio leo hii unaona licha ya viumbe kufanya kila aina ya uovu hapa ardhini bado Mungu anatupa chakula, maji, hewa n.k...anawapa mali watu waovu kabisa ambao laiti kama wewe ungekuwa umepewa hayo mamlaka basi usingewapa watu hao hata tone moja la maji kutokana na ubaya wanaoufanya. Mungu anawapa mpaka wale wanaomkana.

Mungu ndiye mfalme hakuna wa kumpangia, anaamua mambo kutokana na hekima na busara zake ambazo wewe mwanadamu huna uwezo wa kuzielewa hata kidogo.

Mfano anaweza kukupa mtoto kisha akamfisha angali mchanga,kikawaida wewe mwanadamu huwezi elewa hekima zake Mungu ila kumbe huyo mtoto aliyemchukua angali mchanga pengine angekuwa chanzo cha wewe kufedheheka hapa duniani na hata kujuta kwanini ulimzaa...mfano labda huyo mtoto angekua na kuja kuwa Shoga.!!

Mungu kwa elimu na hekima zake anaamua kumfisha angali mchanga then anakupa mtoto mwingine mwema atakae kuja kukufaa baadae. Hakuna ajuae haya isipokuwa Mungu mwenyewe. So Mungu hapangiwi wala haulizwi wala hawekewi uzio wa kutenda (maadili).

Hao watu unaosema walikuwa ni wajawazito,watoto n.k waliogharikishwa wakati wa Nuh. Unajua kuwa Mtume Nuh alitumia zaidi ya miaka 950 kuwaita waelekee katika njia ya Mungu ila waliishia kumdhihaki na kumkufuru Mungu ila Mungu aliwavumilia miaka yote hiyo, mwisho akamwambia Nuh kuwa hata afanye jitihada gani kuwaita hawawezi kuitikia na kuamini na hawatazaa isipokuwa wale ambao nao watarithi ukaidi wa baba zao,hvyo Mungu mwisho akaamua kuteketeza na kuangamiza kizazi chote cha wasioamini.
 
Hizi hadithi za Wakristo na Waislamu huwa zinanichekesha sana! 😁😁
Yani walivyo wapumbavu ndio maana wanaingizwa mkenge eti wasile hadi wafe waweze kuonana na yule kijana myahudi kutokea pande za Nazareti
 
Mimi sipo katika imani ya ukristo ila nimeona swali lako nikaona nichangie...Kwanini Mungu hana maadili?

Kuwekewa maadili ni jambo linaloonesha kuwa upo chini ya sheria fulani ulizoamrishiwa kutoka katika mamlaka iliyo juu zaidi inaweza kuwa mzazi, serikali, ofisi au hata Mungu.

Miongoni mwa sifa za Mungu ni kuwa yeye ndiye wa mwanzo na wa mwisho, ni mmoja hana mshirika katika utawala wake, ni mkuu na yeye ndiye mfalme na ndiye mshindi.

Mungu ndiye Mkuu kwa maana yake hakuna yeyote kumzidi yeye. Muweza wa kila kitu lakini licha ya hayo bado Mungu amejihukumia mwenyewe kuwa Rehema na huruma yake izidi hasira na ghadhabu zake. Ndio leo hii unaona licha ya viumbe kufanya kila aina ya uovu hapa ardhini bado Mungu anatupa chakula, maji, hewa n.k...anawapa mali watu waovu kabisa ambao laiti kama wewe ungekuwa umepewa hayo mamlaka basi usingewapa watu hao hata tone moja la maji kutokana na ubaya wanaoufanya. Mungu anawapa mpaka wale wanaomkana.

Mungu ndiye mfalme hakuna wa kumpangia, anaamua mambo kutokana na hekima na busara zake ambazo wewe mwanadamu huna uwezo wa kuzielewa hata kidogo.

Mfano anaweza kukupa mtoto kisha akamfisha angali mchanga,kikawaida wewe mwanadamu huwezi elewa hekima zake Mungu ila kumbe huyo mtoto aliyemchukua angali mchanga pengine angekuwa chanzo cha wewe kufedheheka hapa duniani na hata kujuta kwanini ulimzaa...mfano labda huyo mtoto angekua na kuja kuwa Shoga.!!

Mungu kwa elimu na hekima zake anaamua kumfisha angali mchanga then anakupa mtoto mwingine mwema atakae kuja kukufaa baadae. Hakuna ajuae haya isipokuwa Mungu mwenyewe. So Mungu hapangiwi wala haulizwi wala hawekewi uzio wa kutenda (maadili).

Hao watu unaosema walikuwa ni wajawazito,watoto n.k waliogharikishwa wakati wa Nuh. Unajua kuwa Mtume Nuh alitumia zaidi ya miaka 950 kuwaita waelekee katika njia ya Mungu ila waliishia kumdhihaki na kumkufuru Mungu ila Mungu aliwavumilia miaka yote hiyo, mwisho akamwambia Nuh kuwa hata afanye jitihada gani kuwaita hawawezi kuitikia na kuamini na hawatazaa isipokuwa wale ambao nao watarithi ukaidi wa baba zao,hvyo Mungu mwisho akaamua kuteketeza na kuangamiza kizazi chote cha wasioamini.
Kwanza. Nuhu hakutumia miaka 950 acha uwongo.
Pili. Maadili ni nature ya binadamu. We unahitaji mtu akuambie kumpiga mtu au kuua au kuiba ni vibaya. Ni nature yetu kufeel guilt tunapoona tumemfanyia binadamu mwenzetu vibaya. Lakini ukifanya mapenzi unafeel guilty no, unaenjoy kabisa.
Tatu. Hizo story za Biblia sio za ukweli kihistoria na kisayansi. Kama we kwa akili zako timamu za karne ya 21 unaamini kwamba Nuhu alijaza wanyama wote duniani na dunia nzima ikajaa maji mpaka juu ya milima na wakaweza kusurvive siku 40 sijui mwaka sawa ni akili yako.
Nne, we kusema hivyo kwamba chochote kinaweza tokea duniani inaonyesha kwamba sio kazi ya Mungu hio. Mungu hampi kitu au kumnyima mtu kitu. Vitu vinatokea naturally. Ukipiga kazi unafanikia, ukiwa mvivu unakuwa maskini. Bahati nzuri na mbaya zipo hapa na pale lakini zote zipo chini ya natural laws. Huwezi ona mtu anapaa ghafla au anatoa moto mikononi.
Tano, hamna kitu ambacho hakieleweki we Kama umejificha macho usielewe kwa sababu unaogopa adhabu za kufikirika akilini mwa mababu huko sawa. Ila ukweli Ni kwamba hizi story si za kweli, coz inacontradict na sifa za Mungu kuwa all loving. We Leo hii mtoto wako umeskia ana mwanaume utamchoma moto au utamuua kisimani, noo. Sasa jitu limeua watoto wake million 2 afu unaniambia ni mwema cjui mfalme. We mfalme akiua watu million 2 nchini kwake huyo sio dictator au. Na Kama Biblia inakupa maadili mbona hupigi mawe watu wanaozini, mbona hupigi mawe watu wanaobakwa, mbona hauoi watoto wa miaka 13, mbona hauui watoto wanaowadharau watoto wao.
In short bana. Dunia imekua ndo maana nchi ambazo zimeacha haya mambo na mnaziita za kishetani ndo wanaendelea na sisi tunawaomba misaada wao tukiamini mbinguni ndo mwisho. Wenzetu wanaenda mwezini si tunabaki kuwaza kwenda mawinguni. Hebu acheni bana
 
Hizi hadithi za Wakristo na Waislamu huwa zinanichekesha sana! 😁😁
Yani walivyo wapumbavu ndio maana wanaingizwa mkenge eti wasile hadi wafe waweze kuonana na yule kijana myahudi kutokea pande za Nazareti
Acha tu yaani...na watu wanaamini tu, hawajiulizi maswali. Wanaishi tu kisa fulani kasema
 
Kwanza. Nuhu hakutumia miaka 950 acha uwongo.
Pili. Maadili ni nature ya binadamu. We unahitaji mtu akuambie kumpiga mtu au kuua au kuiba ni vibaya. Ni nature yetu kufeel guilt tunapoona tumemfanyia binadamu mwenzetu vibaya. Lakini ukifanya mapenzi unafeel guilty no, unaenjoy kabisa.
Tatu. Hizo story za Biblia sio za ukweli kihistoria na kisayansi. Kama we kwa akili zako timamu za karne ya 21 unaamini kwamba Nuhu alijaza wanyama wote duniani na dunia nzima ikajaa maji mpaka juu ya milima na wakaweza kusurvive siku 40 sijui mwaka sawa ni akili yako.
Nne, we kusema hivyo kwamba chochote kinaweza tokea duniani inaonyesha kwamba sio kazi ya Mungu hio. Mungu hampi kitu au kumnyima mtu kitu. Vitu vinatokea naturally. Ukipiga kazi unafanikia, ukiwa mvivu unakuwa maskini. Bahati nzuri na mbaya zipo hapa na pale lakini zote zipo chini ya natural laws. Huwezi ona mtu anapaa ghafla au anatoa moto mikononi.
Tano, hamna kitu ambacho hakieleweki we Kama umejificha macho usielewe kwa sababu unaogopa adhabu za kufikirika akilini mwa mababu huko sawa. Ila ukweli Ni kwamba hizi story si za kweli, coz inacontradict na sifa za Mungu kuwa all loving. We Leo hii mtoto wako umeskia ana mwanaume utamchoma moto au utamuua kisimani, noo. Sasa jitu limeua watoto wake million 2 afu unaniambia ni mwema cjui mfalme. We mfalme akiua watu million 2 nchini kwake huyo sio dictator au. Na Kama Biblia inakupa maadili mbona hupigi mawe watu wanaozini, mbona hupigi mawe watu wanaobakwa, mbona hauoi watoto wa miaka 13, mbona hauui watoto wanaowadharau watoto wao.
In short bana. Dunia imekua ndo maana nchi ambazo zimeacha haya mambo na mnaziita za kishetani ndo wanaendelea na sisi tunawaomba misaada wao tukiamini mbinguni ndo mwisho. Wenzetu wanaenda mwezini si tunabaki kuwaza kwenda mawinguni. Hebu acheni bana
Quran29:14-22

We did indeed send Noah to his people and he lived among them a thousand years save fifty. Eventually the Flood overtook them while they were engaged in wrongdoing
 
Quran29:14-22

We did indeed send Noah to his people and he lived among them a thousand years save fifty. Eventually the Flood overtook them while they were engaged in wrongdoing
Wakati wa mafuriko alikuwa na miaka 600.. so hajatumia miaka 950 kushawishi watu. Afu kuquote Quran kama ushahidi ni sawa na Mimi kuchukua kitabu Cha Ngoswe na kusema mazoea alikamatwa na hivyo hio story ni ya kweli. Hebu tuacheni bac nyie watu wazima humu mnaamini story ya Noah kabisa
 
Kwanza. Nuhu hakutumia miaka 950 acha uwongo.
Pili. Maadili ni nature ya binadamu. We unahitaji mtu akuambie kumpiga mtu au kuua au kuiba ni vibaya. Ni nature yetu kufeel guilt tunapoona tumemfanyia binadamu mwenzetu vibaya. Lakini ukifanya mapenzi unafeel guilty no, unaenjoy kabisa.
Tatu. Hizo story za Biblia sio za ukweli kihistoria na kisayansi. Kama we kwa akili zako timamu za karne ya 21 unaamini kwamba Nuhu alijaza wanyama wote duniani na dunia nzima ikajaa maji mpaka juu ya milima na wakaweza kusurvive siku 40 sijui mwaka sawa ni akili yako.
Nne, we kusema hivyo kwamba chochote kinaweza tokea duniani inaonyesha kwamba sio kazi ya Mungu hio. Mungu hampi kitu au kumnyima mtu kitu. Vitu vinatokea naturally. Ukipiga kazi unafanikia, ukiwa mvivu unakuwa maskini. Bahati nzuri na mbaya zipo hapa na pale lakini zote zipo chini ya natural laws. Huwezi ona mtu anapaa ghafla au anatoa moto mikononi.
Tano, hamna kitu ambacho hakieleweki we Kama umejificha macho usielewe kwa sababu unaogopa adhabu za kufikirika akilini mwa mababu huko sawa. Ila ukweli Ni kwamba hizi story si za kweli, coz inacontradict na sifa za Mungu kuwa all loving. We Leo hii mtoto wako umeskia ana mwanaume utamchoma moto au utamuua kisimani, noo. Sasa jitu limeua watoto wake million 2 afu unaniambia ni mwema cjui mfalme. We mfalme akiua watu million 2 nchini kwake huyo sio dictator au. Na Kama Biblia inakupa maadili mbona hupigi mawe watu wanaozini, mbona hupigi mawe watu wanaobakwa, mbona hauoi watoto wa miaka 13, mbona hauui watoto wanaowadharau watoto wao.
In short bana. Dunia imekua ndo maana nchi ambazo zimeacha haya mambo na mnaziita za kishetani ndo wanaendelea na sisi tunawaomba misaada wao tukiamini mbinguni ndo mwisho. Wenzetu wanaenda mwezini si tunabaki kuwaza kwenda mawinguni. Hebu acheni bana
Quran

Al-Mutaffifin 83:13

إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ ءَايَٰتُنَا قَالَ أَسَٰطِيرُ ٱلْأَوَّلِينَ



Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
 
Back
Top Bottom