Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 961
- 2,037
daa nimeikuta sehem hili bandiko
Nina maswali machache juu ya hii safina naomba watu wajuzi wajibu..
Swali la kwanza ni kuhusu gharika. Hivi dunia nzima ilipewa taarifa juu ya ujio wa gharika?
Je, alioleta taarifa ya ujio wa gharika huku kijijini kwetu ni nani?
Je, Nuhu alizunguka dunia nzima kutia taarifa au aliishia maeneo yake tu na gharika ilitokea maeneo yake tu?
Swali lingine ni kuhusu wanyama na viumbe alio waweka nuhu kwenye safina, je aliwaweka wanyama wote has tunao waona duniani?
Je, aliwezaje kuwapata wanyama wanyama na viumbe hai wanao ishi sehemu tofauti tofauti hapa duniani?
Hivi aliwaweka wapi samaki wakubwa kama papa na nyangumi au kulikua na bwawa kwenye Safina ambalo aliweka samaki wa aina zote?
Je, Nuhu alichukua pia aina ya miti na nyasi zote duniani?
Nimekuuliza kwasababu kulingana na kitabu cha mkoloni mzungu (Biblia) inasema MWANZO 7:21-24 inasema kila kiumbe kilicho hao kwenye juu ya nchi kilikufa, hivyo hata mimea si ni viumbe hai pia na walio baki ni wa kwenye Safina tu?
Swali la mwisho ni kwamba ikiwa kila kiumbe kilicho nje ya Safina ya nuhu kilikufa je shetani alikua wapi wakati wa mafuriko?
Tunaambiwa kuwa shetani na mapepo wachafu wote tunaishi nao hapa duniani baada ya kufukuzwa huko mbinguni Sasa je walikua wapi wakati wa mafuriko na wao ni viumbe hai?
Je, nuhu ali waingiza kwenye Safina shetani na mapepo wachafu wakanusulika kifo ndomana wapo hai mpka leo?
Au shetani majini na mapepo walikufa lakini mungu aka waumba wengine na kutuletea tena?
Au shetani na majini na mapepo sio viumbe hai?
Nina maswali machache juu ya hii safina naomba watu wajuzi wajibu..
Swali la kwanza ni kuhusu gharika. Hivi dunia nzima ilipewa taarifa juu ya ujio wa gharika?
Je, alioleta taarifa ya ujio wa gharika huku kijijini kwetu ni nani?
Je, Nuhu alizunguka dunia nzima kutia taarifa au aliishia maeneo yake tu na gharika ilitokea maeneo yake tu?
Swali lingine ni kuhusu wanyama na viumbe alio waweka nuhu kwenye safina, je aliwaweka wanyama wote has tunao waona duniani?
Je, aliwezaje kuwapata wanyama wanyama na viumbe hai wanao ishi sehemu tofauti tofauti hapa duniani?
Hivi aliwaweka wapi samaki wakubwa kama papa na nyangumi au kulikua na bwawa kwenye Safina ambalo aliweka samaki wa aina zote?
Je, Nuhu alichukua pia aina ya miti na nyasi zote duniani?
Nimekuuliza kwasababu kulingana na kitabu cha mkoloni mzungu (Biblia) inasema MWANZO 7:21-24 inasema kila kiumbe kilicho hao kwenye juu ya nchi kilikufa, hivyo hata mimea si ni viumbe hai pia na walio baki ni wa kwenye Safina tu?
Swali la mwisho ni kwamba ikiwa kila kiumbe kilicho nje ya Safina ya nuhu kilikufa je shetani alikua wapi wakati wa mafuriko?
Tunaambiwa kuwa shetani na mapepo wachafu wote tunaishi nao hapa duniani baada ya kufukuzwa huko mbinguni Sasa je walikua wapi wakati wa mafuriko na wao ni viumbe hai?
Je, nuhu ali waingiza kwenye Safina shetani na mapepo wachafu wakanusulika kifo ndomana wapo hai mpka leo?
Au shetani majini na mapepo walikufa lakini mungu aka waumba wengine na kutuletea tena?
Au shetani na majini na mapepo sio viumbe hai?