Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Kwanza kabisa mpaka sasa tulipofikia unajua contradiction ni nini?
Ebwana kuna uzi fulani ulikuwepo muda si mrefu sana,sasa nimeingia hivi punde siuoni. Kichwa cha uzi huo kinasomeka "Kiranga sio kosa lake kuwa non beliver........"

Hivi imekuwaje ule uzi siuoni au umetolewa ?
 
Kwanza kabisa mpaka sasa tulipofikia unajua contradiction ni nini?

the act of saying something that is opposite or very different in meaning to something else
: a difference or disagreement between two things which means that both cannot be true.
 
the act of saying something that is opposite or very different in meaning to something else
: a difference or disagreement between two things which means that both cannot be true.
Unaelewa kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kuumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na mabaya, ni contradiction?
 
Unaelewa kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kuumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na mabaya, ni contradiction?
Contradiction iko wapi ?

Embu leo tuonyeshe contradiction iko wapi na usahihi wa mambo ukoje ?
 
Unaelewa kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kuumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na mabaya, ni contradiction?
Sasa hapo ndiyo unaonesha Mungu hakuna kwa sababu kuna contradiction au unaonesha contradiction kwenye maelezo yenye kumuhusu Mungu?

Kwa sababu hapo kwako wewe(ambaye unasema hakuna Mungu) ni sawa na kutaka kujadili contradiction zilizopo kwenye maelezo ya kutoka kwa Nyerere kwenda kwa rais Magufuli wakati huyo Nyerere mwenyewe hayupo na hivyo hayo maelezo sio yake.
 
Sasa hapo ndiyo unaonesha Mungu hakuna kwa sababu kuna contradiction au unaonesha contradiction kwenye maelezo yenye kumuhusu Mungu?

Kwa sababu hapo kwako wewe(ambaye unazema hakuna Mungu) ni sawa na kutaka kujadili contradiction zilizopo kwenye maelezo ya kutoka kwa Nyerere kwenda kwa rais Magufuli wakati huyo Nyerere mwenyewe hayupo na hivyo hayo maelezo sio yake.
Contradiction inaonesha Mungu hayupo.

Kwa sababu.

1. Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote haumbi ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya.

2. Ulimwengu huu una mabaya.

3. Hivyo, Mungu hayupo.
 
Ebwana kuna uzi fulani ulikuwepo muda si mrefu sana,sasa nimeingia hivi punde siuoni. Kichwa cha uzi huo kinasomeka "Kiranga sio kosa lake kuwa non beliver........"

Hivi imekuwaje ule uzi siuoni au umetolewa ?
Nyuzi nyingine zinaanzishwa kwa shobo na nyege tu mods wanaona waziue kifo cha utotoni kama zimekosa chanjo ya surua.

Watu wengine wanaona kuweka jina la Kiranga kwenye heading mtaji wa kupata watu kwenye thread.

Ukisoma thread haina jipya. Ukitaka kujadili unaona watu wanaendeleza shobo za ushabiki zaidi ya mjadala.

Siwezi kushangaa mods wakizipotezea.
 
Nyuzi nyingine zinaanzishwa kwa shobo na nyege tu mods wanaona waziue kifo cha utotoni kama zimekosa chanjo ya surua.

Watu wengine wanaona kuweka jina la Kiranga kwenye heading mtaji wa kupata watu kwenye thread.

Ukisoma thread haina jipya. Ukitaka kujadili unaona watu wanaendeleza shobo za ushabiki zaidi ya mjadala.

Siwezi kushangaa mods wakizipotezea.
Nimekuelewa kaka mkubwa !
 
Contradiction inaonesha Mungu hayupo.

Kwa sababu.

1. Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote haumbi ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya.

2. Ulimwengu huu una mabaya.

3. Hivyo, Mungu hayupo.
Tutajadili vp maelezo ya Mungu kuwa na contradiction wakati wewe ulishasema hakuna Mungu na kwa hiyo maelezo yote hayo ya kuhusu upendo ujuzi dhambi n.k,yote hayo sio ya Mungu kwa sababu hayupo.

Sasa ajabu tena unaniletea maelezo hayo hayo ya ambaye ushasema hayupo ndio tujadili contradictions zake!!

Nauliza tena Mungu hayupo au maelezo ya Mungu yana contradictions? Maana kama Mungu hayupo itakuwa itakuwa kazi bure kujadili maelezo yenye contradictions yenye kumuhusu asiyekuwepo.
 
Tutajadili vp maelezo ya Mungu kuwa na contradiction wakati wewe ulishasema hakuna Mungu na kwa hiyo maelezo yote hayo ya kuhusu upendo ujuzi dhambi n.k,yote hayo sio ya Mungu kwa sababu hayupo.

Sasa ajabu tena unaniletea maelezo hayo hayo ya ambaye ushasema hayupo ndio tujadili contradictions zake!!

Nauliza tena Mungu hayupo au maelezo ya Mungu yana contradictions? Maana kama Mungu hayupo itakuwa itakuwa kazi bure kujadili maelezo yenye contradictions yenye kumuhusu asiyekuwepo.
Tunaweza kujadili habari za kitu ambacho hakipo? Au hatuwezi?
 
Kabla ya kujadili habari za hicho kitu ambacho hakipo nataka kwanza kujua ni vp hakipo.
Kwa sababu kina ana inherrent contradiction.

Kama "pembetatu duara" katika Euclidean planes.

Tunaweza kujadili habari za "pembetatu duara" katika Euclidean planes?
 
Kwa sababu kina ana inherrent contradiction.

Kama "pembetatu duara" katika Euclidean planes.

Tunaweza kujadili habari za "pembetatu duara" katika Euclidean planes?
Ni hivi kwamba habari za kwamba Mungu ana upendo wote,ujuzi wote,uwezo wote na ndiyo kaumba huu ulimwengu. Haya ni maelezo tunayoambiwa ni ya Mungu,na wewe ushasema Mungu hayupo na kwa hiyo hayo maelezo hayawezi kuwa ya Mungu.

Mpaka hapo tupo sawa kwanza?
 
Ni hivi kwamba habari za kwamba Mungu ana upendo wote,ujuzi wote,uwezo wote na ndiyo kaumba huu ulimwengu. Haya ni maelezo tunayoambiwa ni ya Mungu,na wewe ushasema Mungu hayupo na kwa hiyo hayo maelezo hayawezi kuwa ya Mungu.

Mpaka hapo tupo sawa kwanza?
Sawa.Mungu hayupo. Hayo maelezo ni hadithi zilizotungwa na watu tu kama habari za Mungu, wakati huyo Mungu hayupo.

Pia, Mungu hayupo, ndiyo maana huwezi kuthibitisha kwamba yupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Sawa.Mungu hayupo. Hayo maelezo ni hadithi zilizotungwa na watu tu kama habari za Mungu, wakati huyo Mungu hayupo.

Pia, Mungu hayupo, ndiyo maana huwezi kuthibitisha kwamba yupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
Kwanini unakimbilia kusema kama nabisha? Maana mie kubisha au kutokubisha sio muhimu bali muhimu ni ukweli.

Sasa je unaweza kueleza kwanini unasema hakuna Mungu?nataka kujua sababu za wewe kuona hakuna Mungu.
 
Kwanini unakimbilia kusema kama nabisha? Maana mie kubisha au kutokubisha sio muhimu bali muhimu ni ukweli..

Kama huelewi kwamba ukweli unapatikana na kuhakikiwa kwa mabishano, kazi yangu kubwa sana.

.
Sasa je unaweza kueleza kwanini unasema hakuna Mungu?nataka kujua sababu za wewe kuona hakuna Mungu.

Rudi kusoma post namba 1749.

Inaonekana umeinukuu bila kuielewa na unarudia kuuliza swali ambalo nishalijibu mara lukuki hapa.
 
Kama huelewi kwamba ukweli unapatikana na kuhakikiwa kwa mabishano, kazi yangu kubwa sana.

.

Rudi kusoma post namba 1749.

Inaonekana umeinukuu bila kuielewa na unarudia kuuliza swali ambalo nishalijibu mara lukuki hapa.
Hiyo post uliyoitaja ina maelezo ambayo unasema sio ya Mungu, kwa sababu Mungu hayupo. Kwa hivyo kujadili hayo maelezo ni sawa na kujadili contradictions kwenye maelezo ya Nyerere kuhusu rais Magufuli,wakati Nyerere mwenyewe hayupo.
 
Hiyo post uliyoitaja ina maelezo ambayo unasema sio ya Mungu, kwa sababu Mungu hayupo. Kwa hivyo kujadili hayo maelezo ni sawa na kujadili contradictions kwenye maelezo ya Nyerere kuhusu rais Magufuli,wakati Nyerere mwenyewe hayupo.
Kwani mimi nasema Mungu yupo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom