That is a logical non sequitur.
Naweza kujua square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2.
Mwingine akasema square root ya 2 ni 10.
Sasa mtu akija kuniuliza mimi nitoe proof ya kuonesha square root ya 2 ni 10, wakati mimi sijasema square root ya 2 ni 10, atakuwa kanipa swali ambalo si langu.
Mimi sijasema Mungu yupo, sijasema Mungu kasema hiki na kile dhambi.
Sasa ukiniuliza mimi inakuwaje Mungu ajue tutakayofanya halafu iwe dhambi, mimi ambaye sijasema Mungu yupo, utakuwa umekosea kuniuliza, uliza wanaosema Mungu yupo.
Mimi nasema Mungu hayupo.
Na wewe huwezi kuthibitisha kwamba yupo.
Kwa sababu hayupo.