Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 16,379
- 37,962
Katika pita pita yangu nimeona watu wakiusisha mafuriko ya Nepal na hasira ya anayeitwa Mungu, Kwamba kule Nepal watu walichoma misikiti ndo chanzo cha lile janga! Sasa kama ni hivyo hukumu ya mwisho (kiama) ni ya kazi gani kama tunaweza kuhukumiana hapa hapa duniani?
Inakuwaje Mungu anakuwa na hasira na chuki kama za mwanadamu? Wengine wanaenda mbali na kusema tuombe Mungu aepushe majanga hapa kwetu, Je huyu Mungu ni mpaka aombwe ndo aepushe majanga?
kazi yake ni ipi haswa kwenye maisha ya wanadamu? kwanini huwa anasubiri aombwe na kubembelezwa?
Inakuwaje Mungu anakuwa na hasira na chuki kama za mwanadamu? Wengine wanaenda mbali na kusema tuombe Mungu aepushe majanga hapa kwetu, Je huyu Mungu ni mpaka aombwe ndo aepushe majanga?
kazi yake ni ipi haswa kwenye maisha ya wanadamu? kwanini huwa anasubiri aombwe na kubembelezwa?