Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa. Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ugomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.
Inaonekana Mungu ananufaika na matendo ya shetani?
 
Magu alisema wale walioimba 'wana imani na nani sijui' angewatimua wote siku hiyo hiyo... Mimi nasema kama ningelikuwa Mungu pindi tu kidole chako kinabonyeza kitufe cha kupost hapo hapo ningekugeuza senene!!

Unafanya dhihaka kama hizi na bado uko hai! Aisee Mungu ana uvumilivu wa hali ya juu sana... Mwacheni Mungu aitwe Mungu!!
Dhihaka hapo iko wapi? Mabovu unazidi kuongezeka kila leo, mauaji, matajiri wanachinja watu kadiri wanachofaka, wenye madaraka, na mbaya zaidi wanazidi kutajirika na wanaishi Muda mrefu zaidi.

Majanga kila iitwayo Leo, huo wema na Nguvu za Mungu ziko wapi? Ziko kwenye nini? Binadamu kuteseka yeye anapata faida gani?

Acha watu waendelee kuutafakari ukuu wa Mungu kwa kutumia akili na sio hisia
 
Habari za Yesu zimesemwa miaka nenda Rudi lakini hadi leo hajaonekana mahali popote wala kusikika
 
Badala ya kujadili tunatokaje kwenye umasikini, sisi tuko busy na story za uongo
 
Badala ya kujadili tunatokaje kwenye umasikini, sisi tuko busy na story za uongo
Badala ya kujadili tunatokaje kwenye umasikini



Umasikini ni wako hapa duniani haupo na mtu kuna watu ni watanzania maisha yao ni ya matajiri wa ulaya kijana.
Na wanazunguka dunia kama mtaa kila wiki
 
Badala ya kujadili tunatokaje kwenye umasikini



Umasikini ni wako hapa duniani haupo na mtu kuna watu ni watanzania maisha yao ni ya matajiri wa ulaya kijana.
Na wanazunguka dunia kama mtaa kila wiki
Umelichukulia personal sana. Ila fresh tu acha china aendelee kuburuza
 
Au sio kwahiyo tujivunie tupo juu ya wachina
Unapenda kutumia wingi ndugu au uko namtu?
Hapa duniani kuna mambo inabidi iachane nayo kama kujikinga Nisha.
Unajua utajiri wa Mo
Iliufikiwe na wazungu kama maarufu inabidi juunganishe utajiri wa Ronaldo Messi Neymar na bado ukatafute wengine kama 4?
 
Hapo namba moja ndo napata wasi wasi sana.. Mungu wetu ni mkuu na aliumba kila kitu yaan tunaamin/tunaaminishwa kuwa shetani pia aliumbwa na Mungu.
Ila pia tunaambiwa yeye ndo anajua kila kitu maana yake kilichopo,kilichopita na kitakachotokea mbele huko... Sasa ilikuaje akaanza kumuumba shetani huku akijua huyo shetani atakua kikwazo katika utawala wake? Kwa kua yeye ni mkuu mbona ilikua simple tu pale shetani alipozingua angemkamata sweka rumande huko au tia moto aondoe hiyo roho ya laana..

Mimi sio mpinga Mungu wala mpagani.. Ila nahoji tu ili kujua zaidi kuhus Mungu wetu tunaemuabudu....
Mungu ni mchongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom