Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,950
- 146,209
Umekurupuka."Suala la uwepo wa Mungu ni jambo la imani"
Hilo ndio la msingi ambalo ndio nilitaka niliweke sawa,basi ni hivyo tu.
Ndiyo maana unashindwa kujibu swali hili.
"Unajuaje kwamba sijaondoa mjadala huu kwenye suala la imani ili kuwapa nafasi ya faragha yao wanaotaka kuamini tu, bila mjadala? "
Na sasa unahamisha magoli.