Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Wapi nimesema Einstein au Kepler ni wa kwanza?

Unaweza kunionesha?

Au ni utoko na ukoko ulio kichwani mwako tu?
Usitake kujificha huko

Awe yeyote yule bado atakuwa sio wa kwanza Tu

Hata umpake wanja kiasi gani
 
KUNA MGOMBEA MMOJA WA URAIS ALISEMA USHINDI WAKE HATA MUNGU HAWEZI KUZUIA. NA KWELI MUNGU HAKUWEZA KUUZUIA. ALISHINDA VIZURI SANA TENA SANA. ALIPOLETEWA TAARIFA YA KUWA 'UMECHUKUA KURA ZOTE' ALISHTUKA AKAKATA PUMZI PALE PALE. OUR GOD IS OMNISCIENT -knows all, OMNIPOTENT -has all powers OMNIPRESENT - available everywhere NEVER TAKE HIM AS A BACTERIA.
 
KUNA MGOMBEA MMOJA WA URAIS ALISEMA USHINDI WAKE HATA MUNGU HAWEZI KUZUIA. NA KWELI MUNGU HAKUWEZA KUUZUIA. ALISHINDA VIZURI SANA TENA SANA. ALIPOLETEWA TAARIFA YA KUWA 'UMECHUKUA KURA ZOTE' ALISHTUKA AKAKATA PUMZI PALE PALE. OUR GOD IS OMNISCIENT -knows all, OMNIPOTENT -has all powers OMNIPRESENT - available everywhere NEVER TAKE HIM AS A BACTERIA.
Mgombea gani, wa nchi gani, mwaka gani?

Hii ni habari kubwa, taja specifics.

Ama sivyo unajiweka katika kundi la uongo.
 
Mgombea gani, wa nchi gani, mwaka gani?

Hii ni habari kubwa, taja specifics.

Ama sivyo unajiweka katika kundi la uongo.
Tancredo Neves (Former President of Brazil). During the Presidential campaign, he said if he got 500,000 votes from his party, not even God would remove him ...
 
KUNA MGOMBEA MMOJA WA URAIS ALISEMA USHINDI WAKE HATA MUNGU HAWEZI KUZUIA. NA KWELI MUNGU HAKUWEZA KUUZUIA. ALISHINDA VIZURI SANA TENA SANA. ALIPOLETEWA TAARIFA YA KUWA 'UMECHUKUA KURA ZOTE' ALISHTUKA AKAKATA PUMZI PALE PALE. OUR GOD IS OMNISCIENT -knows all, OMNIPOTENT -has all powers OMNIPRESENT - available everywhere NEVER TAKE HIM AS A BACTERIA.
Ina maana Mungu ni mtu wa visasi ?
Na mwenye hasira ?
 
Nakuunga mkono! Kama Mungu aliumba Adam na Eva wawili tu weupe wakazaana. Uzao wao ukawa mweupe, sasa sisi waafrika weusi tulitoka wapi? Ukiuliza unaambiwa unakufuru!
Kuna wajamaa flani Wale wazee wa Amkeni na mnara wa mlinzi wanasema sisi wa Africa tulikua ni kizazi cha kain so mtoto mmoja wa kiume alkua anamchungulia babake yani alikaa vibaya afu akaanza kucheka akawaita na wenzake waje washuudie baba yao alivokaa vibaya lakini Wale watoto wenzake walipofika pale wakamsitiri baba yao kwa kumfunika na nguo ingine hapo ndio yule mzazi akatoa laana kwa yule mtoto alie mcheka akisema kua kuanzia sasa kizazi chako chote kitakua cheusi
 
Kuna wajamaa flani Wale wazee wa Amkeni na mnara wa mlinzi wanasema sisi wa Africa tulikua ni kizazi cha kain so mtoto mmoja wa kiume alkua anamchungulia babake yani alikaa vibaya afu akaanza kucheka akawaita na wenzake waje washuudie baba yao alivokaa vibaya lakini Wale watoto wenzake walipofika pale wakamsitiri baba yao kwa kumfunika na nguo ingine hapo ndio yule mzazi akatoa laana kwa yule mtoto alie mcheka akisema kua kuanzia sasa kizazi chako chote kitakua cheusi
Ukisoma wataalam wa kusoma Biblia kama James L Kugel, profesa aliyefundisha mpaka Harvard masomo ya Biblia, anasema Biblia ni kitabu kilichoandikwa na watu tu, kimefutwa futwa mara nyingi na kubadilishwa sana, na ni hadithi za Wayahudi tu, kwa hiyo si kitu cha kusoma kama habari za ukweli.

Ni kama sisi tuanze kuandika habari za kina Shaka Zulu na Mwanamalundi tuwafanye mitume.
 
Huna nia ya kuelewa nilichouliza wala kujibu swali.

Ungekuwa na nia hizo, ungekuwa na utashi zaidi.
"Suala la uwepo wa Mungu ni jambo la imani"

Hilo ndio la msingi ambalo ndio nilitaka niliweke sawa,basi ni hivyo tu.
 
Ukisoma wataalam wa kusoma Biblia kama James L Kugel, profesa aliyefundisha mpaka Harvard masomo ya Biblia, anasema Biblia ni kitabu kilichoandikwa na watu tu, kimefutwa futwa mara nyingi na kubadilishwa sana, na ni hadithi za Wayahudi tu, kwa hiyo si kitu cha kusoma kama habari za ukweli.

Ni kama sisi tuanze kuandika habari za kina Shaka Zulu na Mwanamalundi tuwafanye mitume.
Hayo ya James L Kugel,je wewe ya kwako ni yapi baada ya kusoma maelezo yake?

Umejiuliza kulikuwa na haja gani ya kukaa na kutunga maelezo yote yale na kuyaweka kwenye kitabu(biblia)?
 
Back
Top Bottom