Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Kwa hiyo mkuu unataka kusemaje ... Tumia kiswahil pulizi

Kwa wingi wa rehema nakuandikia maswali ambayo yanaulizwa mara nyingi na majibu yake kutoka kwangu.

1.Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu ndiye anaaminiwa na watu wengi kabisa kuwa yupo. Quran, Biblia, dini nyingi, falsafa zinamtaja huyu.

2. Mungu huyu yupo kweli?

Tukiangalia kimatiki, dhana ya Mungu huyu kuwapo ina tatizo la kimantiki, kubwa sana.

3.Tatizo gani la kimantiki?

Tatizo hilo ni kwamba, dhana ya kuwepo Mungu huyu inajipinga yenyewe.
.
4. Dhana hii inajipingaje?

Dhana hii inajipinga kwa sababu tunaambiwa, upande mmoja, Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, hana sababu ya kimantiki kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo, dhambi inawezekana kuwepo, matetemeko ya ardhi yanawezekana kuwepo, magonjwa yanawezekana kuwepo, kifo kinawezekana kuwepo, tsunami linawezekana kuwepo n.k, halafu upande wa pili tunaambiwa Mungu kauumba ulimwengu uwe unaruhusu mabaya hayo.

Huku ni kujipinga kusiko kwa kiungu. Ni kama mtu anakwambia kwamba katika jometri ya Euclid, duara haliwezi kuwa pembetatu, halafu akakuambia kuna pembetatu iliyo duara.

Ama amaekosea kusema pembetatu haiwezi kuwa duara, ama amekosea kusema kwamba kuna duara iliyo pembetatu.

Hawezi kuwa sawa pote.

5. Vipi kuhusu habari kwamba Mungu hakutaka ulimwengu uwe na mabaya, ila shetani, uasi, dhambi ndizo zilifanya dunia iwe na mabaya?

Hilo litamaanisha Mungu aliumba ulimwengu unaoruhusu uasi, dhambi, ubaya kuwea kuwepo, kwa nini?

6. Vipi kuhusu habari kwamba Mungu aliruhusu ubaya uweze kuwepo ili watu wawe na uchaguzi na uhuru?

Kwanza kabisa kwa nini uhuru na uchaguzi uwe muhimu kuliko kutokuwepo kwa mabaya?
Ukiwa na mtoto mchanga ambaye hana ujuzi sana, utampa maziwa na sumu ili tu awe na uhuru wa kuchagua? Hapana, utampa maziwa na kuficha sumu asiweze kuifikia. Sasa kwa nini Mungu katuachia watoto wake tuifikie sumu? Kwa nini hakuificha?

Pili, si kweli kwamba tuna uhuru wa kuchagua. Hatuchagui wazazi wetu, hatuchagui kabila letu, hatuchagui tutazaliwa wapi, hatuchagui tutazaliwa lini, hatuchagui tutakuwa na genes gani, hatuchagui tutakufa lini, hatuchagui tuzaliwe au tusizaliwe.

Hii habari ya kwamba tuna uhuru wa kuchagua mema na mabaya ni uongo. Kuna mengine yana mizizi katika genes, mengine ni sehemu ya socioeconomic background.

Tatu, kuna mabaya mengi hayahusiani kabisa na habari za uchaguzi wa mazuri na mabaya, mabaya kama majanga ya kiasili hayana uhusiano wowote na uchaguzi wa mazuri na mabaya.

7. Vipi kuhusu maandiko matakatifu yanayosema Mungu yupo?

Maandiko matakatifu ni jitihada za watu tu kujipangia maisha yao kwa namna inayoeleweka kwao, mengi yana mafundisho mazuri, lakini sehemu nyingi tunaona yanajipinga, yanatetea mabaya, yanaonesha kwamba yameandikwa na watu tu, kuhusu Mungu ambaye hayupo

8. Mbona watu wengi wanaamini kuwepo kwa Mungu?

Kwanza kabisa, habari ya kwamba watu wengi wanaamini kuwepo kwa Mungu ina mushkeli. Watu wengi wangeamini kweli kuwepo kwa huyu Mungu, ujambazi, uuaji, wizi, utapeli, dhambi nyingi sana zisingekuwepo. Kuwepo kwa mabaya haya kwa sana duniani kunaonesha watu wanapenda kujinadi kwamba wanaamini kuwepo kwa Mungu, lakini ndani kabisa, ama wanakubali kwamba hawajui vizuri habari hii au wanaikataa kabisa.

Pili, ulimwengu unatoka katika zama za ujinga na kwenda kwenye zama za elimu na maenddeleo ya habari.Kitu kuaminiwa na watu wengi hakuoneshi kitu hicho ni kweli. Kuna wakati watu waliamini jua linazunguka dunia, lakini sasa watu wengi wamejua dunia ndiyo inazunguka jua. Kwa hiyo kitu kuaminiwa na watu wengi hakumaanishi kuwa kitu hicho ni kweli.

9. Kama Mungu hayupo, ulimwengu umeanzaje? Unaweza kujibu swali hili ili kuonesha kwamba Mungu hayupo?

Sijui. Habari iliyo karibu zaidi kutueleza kuhusu mwanzo wa ulimwengu ni kuunganisha Albert Einstein's Relativity na Quantum Theory kupata theory mpya ya Quantum Gravity. Kwa sasa hatujaweza kupata mahesabu ya kuweza kuondoa singularities fulani.

Lakini hata kama naishia kusema tu sijui jibu la swali hili kimsingi, kutokujua huko hakuna maana kwamba sitajua jibu la uongo.

Nikijua kwamba square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, mtu akiniambia square root ya 2 ni 10 (ambayo ni kubwa kuliko 2), nitajua 10 si square root ya 2 hata kama sijui square root ya 2 ni nini.

Kijana wa miaka 20 akiwa hamjui mama yake mzazi, akajua mama yake mzazi ni lazima awe na umri wa zaidi ya miaka 20 (ili aweze kuwa amemzaa) halafu akaoneshwa mtoto kike wa miezi mitatu, akaambiwa huyu ndiye mama yako mzazi, atajua huyu si mama yake mzazi, bila hata kumjua mama yake mzazi ni yupi.

Kukubali Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ndiye aliyeumba ulimwengu huu wenye kuweza kuwa na mabaya ni sawa na kukubali mtoto wa miezi mitatu ni mama mzazi wa mtu mwenye miaka 20

10. Sasa tufanye nini?

Tujifunze zaidi, tuchunguze zaidi, tutafute ukweli bila kupenda majibu rahisi rahisi. Tukubali majibu ya kweli hata kama hatuyapendi.

Majibu ya uongo ambayo ni wazi kabisa hayana logical consistency, tuyakatae.

*Angalizo, hapa naongelea umuhimu wa ujuzi, kwa misingi ya mantiki na ukweli. Sizungumzii imani per se. Imani ni sehemu muhimu ya utu na watu wanaruhusiwa kuamini wanavyotaka. Katiba ya nchi na mazimio ya kimataifa yanaruhusu uhuru wa kuabudu.
 
Kwa wingi wa rehema nakuandikia maswali ambayo yanaulizwa mara nyingi na majibu yake kutoka kwangu.

1.Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu ndiye anaaminiwa na watu wengi kabisa kuwa yupo. Quran, Biblia, dini nyingi, falsafa zinamtaja huyu.

2. Mungu huyu yupo kweli?

Tukiangalia kimatiki, dhana ya Mungu huyu kuwapo ina tatizo la kimantiki, kubwa sana.

3.Tatizo gani la kimantiki?

Tatizo hilo ni kwamba, dhana ya kuwepo Mungu huyu inajipinga yenyewe.
.
4. Dhana hii inajipingaje?

Dhana hii inajipinga kwa sababu tunaambiwa, upande mmoja, Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, hana sababu ya kimantiki kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo, dhambi inawezekana kuwepo, matetemeko ya ardhi yanawezekana kuwepo, magonjwa yanawezekana kuwepo, kifo kinawezekana kuwepo, tsunami linawezekana kuwepo n.k, halafu upande wa pili tunaambiwa Mungu kauumba ulimwengu uwe unaruhusu mabaya hayo.

Huku ni kujipinga kusiko kwa kiungu. Ni kama mtu anakwambia kwamba katika jometri ya Euclid, duara haliwezi kuwa pembetatu, halafu akakuambia kuna pembetatu iliyo duara.

Ama amaekosea kusema pembetatu haiwezi kuwa duara, ama amekosea kusema kwamba kuna duara iliyo pembetatu.

Hawezi kuwa sawa pote.

5. Vipi kuhusu habari kwamba Mungu hakutaka ulimwengu uwe na mabaya, ila shetani, uasi, dhambi ndizo zilifanya dunia iwe na mabaya?

Hilo litamaanisha Mungu aliumba ulimwengu unaoruhusu uasi, dhambi, ubaya kuwea kuwepo, kwa nini?

6. Vipi kuhusu habari kwamba Mungu aliruhusu ubaya uweze kuwepo ili watu wawe na uchaguzi na uhuru?

Kwanza kabisa kwa nini uhuru na uchaguzi uwe muhimu kuliko kutokuwepo kwa mabaya?
Ukiwa na mtoto mchanga ambaye hana ujuzi sana, utampa maziwa na sumu ili tu awe na uhuru wa kuchagua? Hapana, utampa maziwa na kuficha sumu asiweze kuifikia. Sasa kwa nini Mungu katuachia watoto wake tuifikie sumu? Kwa nini hakuificha?

Pili, si kweli kwamba tuna uhuru wa kuchagua. Hatuchagui wazazi wetu, hatuchagui kabila letu, hatuchagui tutazaliwa wapi, hatuchagui tutazaliwa lini, hatuchagui tutakuwa na genes gani, hatuchagui tutakufa lini, hatuchagui tuzaliwe au tusizaliwe.

Hii habari ya kwamba tuna uhuru wa kuchagua mema na mabaya ni uongo. Kuna mengine yana mizizi katika genes, mengine ni sehemu ya socioeconomic background.

Tatu, kuna mabaya mengi hayahusiani kabisa na habari za uchaguzi wa mazuri na mabaya, mabaya kama majanga ya kiasili hayana uhusiano wowote na uchaguzi wa mazuri na mabaya.

7. Vipi kuhusu maandiko matakatifu yanayosema Mungu yupo?

Maandiko matakatifu ni jitihada za watu tu kujipangia maisha yao kwa namna inayoeleweka kwao, mengi yana mafundisho mazuri, lakini sehemu nyingi tunaona yanajipinga, yanatetea mabaya, yanaonesha kwamba yameandikwa na watu tu, kuhusu Mungu ambaye hayupo

8. Mbona watu wengi wanaamini kuwepo kwa Mungu?

Kwanza kabisa, habari ya kwamba watu wengi wanaamini kuwepo kwa Mungu ina mushkeli. Watu wengi wangeamini kweli kuwepo kwa huyu Mungu, ujambazi, uuaji, wizi, utapeli, dhambi nyingi sana zisingekuwepo. Kuwepo kwa mabaya haya kwa sana duniani kunaonesha watu wanapenda kujinadi kwamba wanaamini kuwepo kwa Mungu, lakini ndani kabisa, ama wanakubali kwamba hawajui vizuri habari hii au wanaikataa kabisa.

Pili, ulimwengu unatoka katika zama za ujinga na kwenda kwenye zama za elimu na maenddeleo ya habari.Kitu kuaminiwa na watu wengi hakuoneshi kitu hicho ni kweli. Kuna wakati watu waliamini jua linazunguka dunia, lakini sasa watu wengi wamejua dunia ndiyo inazunguka jua. Kwa hiyo kitu kuaminiwa na watu wengi hakumaanishi kuwa kitu hicho ni kweli.

9. Kama Mungu hayupo, ulimwengu umeanzaje? Unaweza kujibu swali hili ili kuonesha kwamba Mungu hayupo?

Sijui. Habari iliyo karibu zaidi kutueleza kuhusu mwanzo wa ulimwengu ni kuunganisha Albert Einstein's Relativity na Quantum Theory kupata theory mpya ya Quantum Gravity. Kwa sasa hatujaweza kupata mahesabu ya kuweza kuondoa singularities fulani.

Lakini hata kama naishia kusema tu sijui jibu la swali hili kimsingi, kutokujua huko hakuna maana kwamba sitajua jibu la uongo.

Nikijua kwamba square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, mtu akiniambia square root ya 2 ni 10 (ambayo ni kubwa kuliko 2), nitajua 10 si square root ya 2 hata kama sijui square root ya 2 ni nini.

Kijana wa miaka 20 akiwa hamjui mama yake mzazi, akajua mama yake mzazi ni lazima awe na umri wa zaidi ya miaka 20 (ili aweze kuwa amemzaa) halafu akaoneshwa mtoto kike wa miezi mitatu, akaambiwa huyu ndiye mama yako mzazi, atajua huyu si mama yake mzazi, bila hata kumjua mama yake mzazi ni yupi.

Kukubali Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ndiye aliyeumba ulimwengu huu wenye kuweza kuwa na mabaya ni sawa na kukubali mtoto wa miezi mitatu ni mama mzazi wa mtu mwenye miaka 20

10. Sasa tufanye nini?

Tujifunze zaidi, tuchunguze zaidi, tutafute ukweli bila kupenda majibu rahisi rahisi. Tukubali majibu ya kweli hata kama hatuyapendi.

Majibu ya uongo ambayo ni wazi kabisa hayana logical consistency, tuyakatae.

*Angalizo, hapa naongelea umuhimu wa ujuzi, kwa misingi ya mantiki na ukweli. Sizungumzii imani per se. Imani ni sehemu muhimu ya utu na watu wanaruhusiwa kuamini wanavyotaka. Katiba ya nchi na mazimio ya kimataifa yanaruhusu uhuru wa kuabudu.
Mm basicaly mkuu naamin mungu yupo ila sio huyu mungu aliyeletwa na wazungu ... I believe kuna supernatural power ina yo control maisha ya kila kitu... Na some times huwa nawaza kwamba labda hiyo super natural power ambayo consistly kwangu mm naamini ni Mungu iliacha basicaly some laws ambazo ukizi ignore lazma upate matatzo mfn uruke toka ghorofan mpk chin absolutely utaumia au kufa ... Sabab ume neglect law of gravity ... Uki la chakula kichafu ... Obviosly utaumwa tumbo la kuhara sabab umeviolate law ...
 
Mm basicaly mkuu naamin mungu yupo ila sio huyu mungu aliyeletwa na wazungu ... I believe kuna supernatural power ina yo control maisha ya kila kitu... Na some times huwa nawaza kwamba labda hiyo super natural power ambayo consistly kwangu mm naamini ni Mungu iliacha basicaly some laws ambazo ukizi ignore lazma upate matatzo mfn uruke toka ghorofan mpk chin absolutely utaumia au kufa ... Sabab ume neglect law of gravity ... Uki la chakula kichafu ... Obviosly utaumwa tumbo la kuhara sabab umeviolate law ...
Unapoandika "supernatural" unamaanisha nini?

Na kwa nini iwe "supernatural" na si "natural"?

Na tofauti ya "supernatural" na "natural" ni nini?
 
Unapoandika "supernatural" unamaanisha nini?

Na kwa nini iwe "supernatural" na si "natural"?

Na tofauti ya "supernatural" na "natural" ni nini?
hivi tunaongelea nn hapa unajua nshasahau ..mkuu ahaa ah
 
Kwa wingi wa rehema nakuandikia maswali ambayo yanaulizwa mara nyingi na majibu yake kutoka kwangu.

1.Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu ndiye anaaminiwa na watu wengi kabisa kuwa yupo. Quran, Biblia, dini nyingi, falsafa zinamtaja huyu.

2. Mungu huyu yupo kweli?

Tukiangalia kimatiki, dhana ya Mungu huyu kuwapo ina tatizo la kimantiki, kubwa sana.

3.Tatizo gani la kimantiki?

Tatizo hilo ni kwamba, dhana ya kuwepo Mungu huyu inajipinga yenyewe.
.
4. Dhana hii inajipingaje?

Dhana hii inajipinga kwa sababu tunaambiwa, upande mmoja, Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, hana sababu ya kimantiki kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo, dhambi inawezekana kuwepo, matetemeko ya ardhi yanawezekana kuwepo, magonjwa yanawezekana kuwepo, kifo kinawezekana kuwepo, tsunami linawezekana kuwepo n.k, halafu upande wa pili tunaambiwa Mungu kauumba ulimwengu uwe unaruhusu mabaya hayo.

Huku ni kujipinga kusiko kwa kiungu. Ni kama mtu anakwambia kwamba katika jometri ya Euclid, duara haliwezi kuwa pembetatu, halafu akakuambia kuna pembetatu iliyo duara.

Ama amaekosea kusema pembetatu haiwezi kuwa duara, ama amekosea kusema kwamba kuna duara iliyo pembetatu.

Hawezi kuwa sawa pote.

5. Vipi kuhusu habari kwamba Mungu hakutaka ulimwengu uwe na mabaya, ila shetani, uasi, dhambi ndizo zilifanya dunia iwe na mabaya?

Hilo litamaanisha Mungu aliumba ulimwengu unaoruhusu uasi, dhambi, ubaya kuwea kuwepo, kwa nini?

6. Vipi kuhusu habari kwamba Mungu aliruhusu ubaya uweze kuwepo ili watu wawe na uchaguzi na uhuru?

Kwanza kabisa kwa nini uhuru na uchaguzi uwe muhimu kuliko kutokuwepo kwa mabaya?
Ukiwa na mtoto mchanga ambaye hana ujuzi sana, utampa maziwa na sumu ili tu awe na uhuru wa kuchagua? Hapana, utampa maziwa na kuficha sumu asiweze kuifikia. Sasa kwa nini Mungu katuachia watoto wake tuifikie sumu? Kwa nini hakuificha?

Pili, si kweli kwamba tuna uhuru wa kuchagua. Hatuchagui wazazi wetu, hatuchagui kabila letu, hatuchagui tutazaliwa wapi, hatuchagui tutazaliwa lini, hatuchagui tutakuwa na genes gani, hatuchagui tutakufa lini, hatuchagui tuzaliwe au tusizaliwe.

Hii habari ya kwamba tuna uhuru wa kuchagua mema na mabaya ni uongo. Kuna mengine yana mizizi katika genes, mengine ni sehemu ya socioeconomic background.

Tatu, kuna mabaya mengi hayahusiani kabisa na habari za uchaguzi wa mazuri na mabaya, mabaya kama majanga ya kiasili hayana uhusiano wowote na uchaguzi wa mazuri na mabaya.

7. Vipi kuhusu maandiko matakatifu yanayosema Mungu yupo?

Maandiko matakatifu ni jitihada za watu tu kujipangia maisha yao kwa namna inayoeleweka kwao, mengi yana mafundisho mazuri, lakini sehemu nyingi tunaona yanajipinga, yanatetea mabaya, yanaonesha kwamba yameandikwa na watu tu, kuhusu Mungu ambaye hayupo

8. Mbona watu wengi wanaamini kuwepo kwa Mungu?

Kwanza kabisa, habari ya kwamba watu wengi wanaamini kuwepo kwa Mungu ina mushkeli. Watu wengi wangeamini kweli kuwepo kwa huyu Mungu, ujambazi, uuaji, wizi, utapeli, dhambi nyingi sana zisingekuwepo. Kuwepo kwa mabaya haya kwa sana duniani kunaonesha watu wanapenda kujinadi kwamba wanaamini kuwepo kwa Mungu, lakini ndani kabisa, ama wanakubali kwamba hawajui vizuri habari hii au wanaikataa kabisa.

Pili, ulimwengu unatoka katika zama za ujinga na kwenda kwenye zama za elimu na maenddeleo ya habari.Kitu kuaminiwa na watu wengi hakuoneshi kitu hicho ni kweli. Kuna wakati watu waliamini jua linazunguka dunia, lakini sasa watu wengi wamejua dunia ndiyo inazunguka jua. Kwa hiyo kitu kuaminiwa na watu wengi hakumaanishi kuwa kitu hicho ni kweli.

9. Kama Mungu hayupo, ulimwengu umeanzaje? Unaweza kujibu swali hili ili kuonesha kwamba Mungu hayupo?

Sijui. Habari iliyo karibu zaidi kutueleza kuhusu mwanzo wa ulimwengu ni kuunganisha Albert Einstein's Relativity na Quantum Theory kupata theory mpya ya Quantum Gravity. Kwa sasa hatujaweza kupata mahesabu ya kuweza kuondoa singularities fulani.

Lakini hata kama naishia kusema tu sijui jibu la swali hili kimsingi, kutokujua huko hakuna maana kwamba sitajua jibu la uongo.

Nikijua kwamba square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, mtu akiniambia square root ya 2 ni 10 (ambayo ni kubwa kuliko 2), nitajua 10 si square root ya 2 hata kama sijui square root ya 2 ni nini.

Kijana wa miaka 20 akiwa hamjui mama yake mzazi, akajua mama yake mzazi ni lazima awe na umri wa zaidi ya miaka 20 (ili aweze kuwa amemzaa) halafu akaoneshwa mtoto kike wa miezi mitatu, akaambiwa huyu ndiye mama yako mzazi, atajua huyu si mama yake mzazi, bila hata kumjua mama yake mzazi ni yupi.

Kukubali Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ndiye aliyeumba ulimwengu huu wenye kuweza kuwa na mabaya ni sawa na kukubali mtoto wa miezi mitatu ni mama mzazi wa mtu mwenye miaka 20

10. Sasa tufanye nini?

Tujifunze zaidi, tuchunguze zaidi, tutafute ukweli bila kupenda majibu rahisi rahisi. Tukubali majibu ya kweli hata kama hatuyapendi.

Majibu ya uongo ambayo ni wazi kabisa hayana logical consistency, tuyakatae.

*Angalizo, hapa naongelea umuhimu wa ujuzi, kwa misingi ya mantiki na ukweli. Sizungumzii imani per se. Imani ni sehemu muhimu ya utu na watu wanaruhusiwa kuamini wanavyotaka. Katiba ya nchi na mazimio ya kimataifa yanaruhusu uhuru wa kuabudu.
Basi tuseme kuna chanzo_lakini sio lazima kiitwe Mungu 'unaonaje' hii
 
Basi tuseme kuna chanzo_lakini sio lazima kiitwe Mungu 'unaonaje' hii
Inawezekana ikawa kweli.

Lakini, hilo nalo linahitaji uchunguzi zaidi.

Ukisoma quantum physics na relativity utaona hata muda si kitu ambacho kipo kama kitu cha msingi kabisa.

Relativity inasema upimaji wa muda unategemea na mtazamaji alipo. Quantum physics inasema muda upo quantized, unaweza kuukata ukafika kusiko na muda huko chini.

Kwa muale wa mwanga unaoenda kwa spidi ya mwanga, muda umesimama, mambo yote yaliyopita, yaliyopo na yajayo, yanatokea kwa wakati mmoja huo huo. Muale wa mwanga hauna muda unaopita.

Muda ni mazingaombwe unayoyaona wewe kwa sababu huwezi kwenda kwa spidi ya mwanga.

Na causality - habari ya kwamba jambo la mwanzo linapelekea kuwepo jambo linalofuatia- si kitu cha lazima kabisa katika level fulani ya ulimwengu.

Kwa hiyo, kwenye macroscopic world huku, mambo yana vyanzo.

Ukirudi chini kwenye Planck scale huko, hata muda haupo. Hivyo mambo hayana chanzo, au, si lazima mambo yawe na chanzo hususan, kwa sababu ili mambo yawe na chanzo, inabidi muda wa kufanya kimoja kitokee kabla ya kingine uwepo.

Kuna mambo mengi sana hatujui, na hatutakiwi kuanza kutoa majibu kabla hatujachunguza na kujua.
 
Mungu aliwapa malaika sheria zake, pia aliwapatia Uhuru wa kuchagua, vivyo hivyo na kwetu sisi, tumepewa sheria na Uhuru, zile sheria ni kipimo cha utii na upendo wetu kwake, usipofuata anakuadhibu, kwani wewe unaweza kuishi na mtu ambae hakuheshimu au anafanya mambo ya ajabu nyumbani kwako?
 
Ndugu nenda kafanye toba ya kweli. Ulichoandika ni kufuru kubwa sana mbele ya Mungu! Usipotubu kwa dhati utaenda kwenye moto wa milele.
 
Kama anashindwa kutunza ahadi ndogo kama hiyo, je ataweza ile ya kuwaweka walio wema peponi???

siku zote huwa tunasema ivi vitu ni imani yako tu ila kama umeshindwa kuamini ili upate majibu vizuri tunakwambia kufa ukaone mwenyewe mkuu
 
Mungu yupo tu wala hajajificha. Ni wewe ndio hujayafungua macho ukamuona au kwa lugha nyingine hujamtafuta. Ukishamuona majibu ya maswali yako mengine yote utayapata kwake.
 
Inawezekana ikawa kweli.

Lakini, hilo nalo linahitaji uchunguzi zaidi.

Ukisoma quantum physics na relativity utaona hata muda si kitu ambacho kipo kama kitu cha msingi kabisa.

Relativity inasema upimaji wa muda unategemea na mtazamaji alipo. Qquantum physics inasema muda upo quantized, unaweza kuukata ukafika kusiko na muda huko chini.

Kwa muale wa mwanga unaoenda kwa spidi ya mwanga, muda umesimama, mambo yote yaliyopita, yaliyopo na yajayo, yanatokea kwa wakati mmoja huo huo. Muale wa mwanga hauna muda unaopita.

Muda ni mazingaombwe unayoyaona wewe kwa sababu huwezi kwenda kwa spidi ya mwanga.

Na causality - habari ya kwamba jambo la mwanzo linapelekea kuwepo jambo linalofuatia- si kitu cha lazima kabisa katika level fulani ya ulimwengu.

Kwa hiyo, kwenye macroscopic world huku, mambo yana vyanzo.

Ukirudi chini kwenye Planck scale huko, hata muda haupo. Hivyo mambo hayana chanzo, au, si lazima mambo yawe na chanzo hususan, kwa sababu ili mambo yawe na chanzo, inabidi muda wa kufanya kimoja kitokee kabla ya kingine uwepo.

Kuna mambo mengi sana hatujui, na hatutakiwi kuanza kutoa majibu kabla hatujachunguza na kujua.
Mkuu Mungu ni nini au Mungu ni nani?
 
Kwa wingi wa rehema nakuandikia maswali ambayo yanaulizwa mara nyingi na majibu yake kutoka kwangu.

1.Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu ndiye anaaminiwa na watu wengi kabisa kuwa yupo. Quran, Biblia, dini nyingi, falsafa zinamtaja huyu.

2. Mungu huyu yupo kweli?

Tukiangalia kimatiki, dhana ya Mungu huyu kuwapo ina tatizo la kimantiki, kubwa sana.

3.Tatizo gani la kimantiki?

Tatizo hilo ni kwamba, dhana ya kuwepo Mungu huyu inajipinga yenyewe.
.
4. Dhana hii inajipingaje?

Dhana hii inajipinga kwa sababu tunaambiwa, upande mmoja, Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, hana sababu ya kimantiki kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo, dhambi inawezekana kuwepo, matetemeko ya ardhi yanawezekana kuwepo, magonjwa yanawezekana kuwepo, kifo kinawezekana kuwepo, tsunami linawezekana kuwepo n.k, halafu upande wa pili tunaambiwa Mungu kauumba ulimwengu uwe unaruhusu mabaya hayo.

Huku ni kujipinga kusiko kwa kiungu. Ni kama mtu anakwambia kwamba katika jometri ya Euclid, duara haliwezi kuwa pembetatu, halafu akakuambia kuna pembetatu iliyo duara.

Ama amaekosea kusema pembetatu haiwezi kuwa duara, ama amekosea kusema kwamba kuna duara iliyo pembetatu.

Hawezi kuwa sawa pote.

5. Vipi kuhusu habari kwamba Mungu hakutaka ulimwengu uwe na mabaya, ila shetani, uasi, dhambi ndizo zilifanya dunia iwe na mabaya?

Hilo litamaanisha Mungu aliumba ulimwengu unaoruhusu uasi, dhambi, ubaya kuwea kuwepo, kwa nini?

6. Vipi kuhusu habari kwamba Mungu aliruhusu ubaya uweze kuwepo ili watu wawe na uchaguzi na uhuru?

Kwanza kabisa kwa nini uhuru na uchaguzi uwe muhimu kuliko kutokuwepo kwa mabaya?
Ukiwa na mtoto mchanga ambaye hana ujuzi sana, utampa maziwa na sumu ili tu awe na uhuru wa kuchagua? Hapana, utampa maziwa na kuficha sumu asiweze kuifikia. Sasa kwa nini Mungu katuachia watoto wake tuifikie sumu? Kwa nini hakuificha?

Pili, si kweli kwamba tuna uhuru wa kuchagua. Hatuchagui wazazi wetu, hatuchagui kabila letu, hatuchagui tutazaliwa wapi, hatuchagui tutazaliwa lini, hatuchagui tutakuwa na genes gani, hatuchagui tutakufa lini, hatuchagui tuzaliwe au tusizaliwe.

Hii habari ya kwamba tuna uhuru wa kuchagua mema na mabaya ni uongo. Kuna mengine yana mizizi katika genes, mengine ni sehemu ya socioeconomic background.

Tatu, kuna mabaya mengi hayahusiani kabisa na habari za uchaguzi wa mazuri na mabaya, mabaya kama majanga ya kiasili hayana uhusiano wowote na uchaguzi wa mazuri na mabaya.

7. Vipi kuhusu maandiko matakatifu yanayosema Mungu yupo?

Maandiko matakatifu ni jitihada za watu tu kujipangia maisha yao kwa namna inayoeleweka kwao, mengi yana mafundisho mazuri, lakini sehemu nyingi tunaona yanajipinga, yanatetea mabaya, yanaonesha kwamba yameandikwa na watu tu, kuhusu Mungu ambaye hayupo

8. Mbona watu wengi wanaamini kuwepo kwa Mungu?

Kwanza kabisa, habari ya kwamba watu wengi wanaamini kuwepo kwa Mungu ina mushkeli. Watu wengi wangeamini kweli kuwepo kwa huyu Mungu, ujambazi, uuaji, wizi, utapeli, dhambi nyingi sana zisingekuwepo. Kuwepo kwa mabaya haya kwa sana duniani kunaonesha watu wanapenda kujinadi kwamba wanaamini kuwepo kwa Mungu, lakini ndani kabisa, ama wanakubali kwamba hawajui vizuri habari hii au wanaikataa kabisa.

Pili, ulimwengu unatoka katika zama za ujinga na kwenda kwenye zama za elimu na maenddeleo ya habari.Kitu kuaminiwa na watu wengi hakuoneshi kitu hicho ni kweli. Kuna wakati watu waliamini jua linazunguka dunia, lakini sasa watu wengi wamejua dunia ndiyo inazunguka jua. Kwa hiyo kitu kuaminiwa na watu wengi hakumaanishi kuwa kitu hicho ni kweli.

9. Kama Mungu hayupo, ulimwengu umeanzaje? Unaweza kujibu swali hili ili kuonesha kwamba Mungu hayupo?

Sijui. Habari iliyo karibu zaidi kutueleza kuhusu mwanzo wa ulimwengu ni kuunganisha Albert Einstein's Relativity na Quantum Theory kupata theory mpya ya Quantum Gravity. Kwa sasa hatujaweza kupata mahesabu ya kuweza kuondoa singularities fulani.

Lakini hata kama naishia kusema tu sijui jibu la swali hili kimsingi, kutokujua huko hakuna maana kwamba sitajua jibu la uongo.

Nikijua kwamba square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, mtu akiniambia square root ya 2 ni 10 (ambayo ni kubwa kuliko 2), nitajua 10 si square root ya 2 hata kama sijui square root ya 2 ni nini.

Kijana wa miaka 20 akiwa hamjui mama yake mzazi, akajua mama yake mzazi ni lazima awe na umri wa zaidi ya miaka 20 (ili aweze kuwa amemzaa) halafu akaoneshwa mtoto kike wa miezi mitatu, akaambiwa huyu ndiye mama yako mzazi, atajua huyu si mama yake mzazi, bila hata kumjua mama yake mzazi ni yupi.

Kukubali Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ndiye aliyeumba ulimwengu huu wenye kuweza kuwa na mabaya ni sawa na kukubali mtoto wa miezi mitatu ni mama mzazi wa mtu mwenye miaka 20

10. Sasa tufanye nini?

Tujifunze zaidi, tuchunguze zaidi, tutafute ukweli bila kupenda majibu rahisi rahisi. Tukubali majibu ya kweli hata kama hatuyapendi.

Majibu ya uongo ambayo ni wazi kabisa hayana logical consistency, tuyakatae.

*Angalizo, hapa naongelea umuhimu wa ujuzi, kwa misingi ya mantiki na ukweli. Sizungumzii imani per se. Imani ni sehemu muhimu ya utu na watu wanaruhusiwa kuamini wanavyotaka. Katiba ya nchi na mazimio ya kimataifa yanaruhusu uhuru wa kuabudu.



Mkuu yawezekana pia uwezo wako wa kifikra "kumkagua Mungu" ukawa ni dhaifu, jaribu kwanza kujikagua wewe mwenyewe juu ya uwezo wako kifikra.

Uwezo wako kifikra (fikra alizokupa huyo huyo Mungu) ndiyo cheti chako cha kuweza kumkagua Mungu kama utazitumia vyema kwa kumuomba msaada kinyume chake "to hell".



Kwanza uzijue sifa zake 99, zikiwa chini ya msingi wa sifa zake kuu 3.

Au revoire.
 
Mkuu Mungu ni nini au Mungu ni nani?
Mungu ni dhana iliyotungwa na watu ili.

1. Kuwa jibu la maswali yote ambayo hayana majibu, mpaka hapo majibu ya kweli yatakapopatikana. Watu hawataki kukubali jibu la "hatujui, tuchunguze tujue zaidi kwa ukweli". Ukiwa na swali lenye jibu hilo kwa sasa (ulimwengu umeanzaje, watu wametokeaje etc), badala ya watu kukubali hatujui jibu, utaambiwa jibu ni Mungu.

2. Kuwa na muongozo wa maadili. Katika ulimwengu ambao tumetoka kuwa sawa na wanyama na tuna uwezo wa kufanya mabaya mengi, viongozi wa jamii waliona haja kuweka misingi ya pamoja ya maadili itakayomfanya mtu asiibe, asiue, asizini, n.k hata kama hakuna mtu anayemuona, kwa kuamini kuna Mungu juu anarekodi matendo yake yote mazuri na mabaya.

3.Mungu ametumiwa kama "shortcut to morality". Mlokole akikutana na mlokole mwenzake kuna mambo fulani mazuri kwao ambayo atategemea mara moja watakuwa wanaamini pamoja.

4. Kuwaunganisha watu kupata umoja kwa sababu za kiuchumi na kisiasa. ukiangalia falme za Uchina, Ubabeli, Misri, Wayahudi, Warumi, Uislamu, Wafaransa, Waingereza, Wamarekani utaona mpaka leo Mungu anavyotumiwa na watawala ili kupata nguvu za kisiasa, hususan kwa watawala wachache wa juu. Ndiyo maana Karl Marx alisema dini ni pumbazo la kilevi la watu wa kawaida.

5. Watu wana tabia ya kuamini kwamba kuna nguvu kubwa zaidi yao inayoendesha mambo, na katika kutoelewa kwao, wamejiwekea tu jibu rahisi kwamba kuna Mungu, bila uthibitisho wala ushahidi wa maana.
 
Mungu ni dhana iliyotungwa na watu ili.

1. Kuwa jibu la maswali yote ambayo hayana majibu, mpaka hapo majibu ya kweli yatakapopatikana. Watu hawataki kukubali jibu la "hatujui, tuchunguze tujue zaidi kwa ukweli". Ukiwa na swali lenye jibu hilo kwa sasa (ulimwengu umeanzaje, watu wametokeaje etc), badala ya watu kukubali hatujui jibu, utaambiwa jibu ni Mungu.

2. Kuwa na muongozo wa maadili. Katika ulimwengu ambao tumetoka kuwa sawa na wanyama na tuna uwezo wa kufanya mabaya mengi, viongozi wa jamii waliona haja kuweka misingi ya pamoja ya maadili itakayomfanya mtu asiibe, asiue, asizini, n.k hata kama hakuna mtu anayemuona, kwa kuamini kuna Mungu juu anarekodi matendo yake yote mazuri na mabaya.

3.Mungu ametumiwa kama "shortcut to morality". Mlokole akikutana na mlokole mwenzake kuna mambo fulani mazuri kwao ambayo atategemea mara moja watakuwa wanaamini pamoja.

4. Kuwaunganisha watu kupata umoja kwa sababu za kiuchumi na kisiasa. ukiangalia falme za Uchina, Ubabeli, Misri, Wayahudi, Warumi, Uislamu, Wafaransa, Waingereza, Wamarekani utaona mpaka leo Mungu anavyotumiwa na watawala ili kupata nguvu za kisiasa, hususan kwa watawala wachache wa juu. Ndiyo maana Karl Marx alisema dini ni pumbazo la kilevi la watu wa kawaida.

5. Watu wana tabia ya kuamini kwamba kuna nguvu kubwa zaidi yao inayoendesha mambo, na katika kutoelewa kwao, wamejiwekea tu jibu rahisi kwamba kuna Mungu, bila uthibitisho wala ushahidi wa maana.
Umeandika ndeeefu lkn upuuzi mtupu.
 
Mkuu yawezekana pia uwezo wako wa kifikra "kumkagua Mungu" ukawa ni dhaifu, jaribu kwanza kujikagua wewe mwenyewe juu ya uwezo wako kifikra.

Uwezo wako kifikra (fikra alizokupa huyo huyo Mungu) ndiyo cheti chako cha kuweza kumkagua Mungu kama utazitumia vyema kwa kumuomba msaada kinyume chake "to hell".



Kwanza uzijue sifa zake 99, zikiwa chini ya msingi wa sifa zake kuu 3.

Au revoire.
In logic, we call this "a priori" fallacy.

3.1a

The a priori - fallacy occurs when someone decides ahead of time what the conclusion to an argument is, then only considers evidence that supports that conclusion, or twists what evidence there is to support the predetermined conclusion.
 
Back
Top Bottom