Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Huu mfano hauhusiani wala kuwiana sawia na wa Mola muumba.

Huswa hivi "Asie kujua hakuthamini" au kama walivyosema.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Wewe Astro nomaaa, hujui ni kwa sababu gani Mungu huwa anatuma manabii kwa watu, ungalijua wala usingali uliza hilo swali.

Mungu alikuwa akipeleka manabii kwa watu waovu ili manabii wawaonye. Sasa kama hakukuwa na nabii Mswahili au Mzungu nk, maana yake watu hao walikuwa ni wema na safi.

Lakini ukisoma Qur'an, Allah anamuambia mtume (saw) kwamba kuna manabii wengine hajamsimulia habari zao, kwa maana hiyo duniani kulikuwa na manabii wengi waliopita ambao habari zao hatuzijui.

Kuna hadithi moja ya mtume (saw) inaunga mkono hiyo aya kwa kusema:- duniani walipita manabii laki moja na elfu ishirini.


Lakini wewe huamini uwepo wa Mungu, sasa unataka kujua habari za mitume wake ili iwe nini??.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.



Hujathibitisha Mungu hayupo

Huwezi kuthibitisha Mungu hayupo

Kwa sababu yupo

Kama unabisha na kukaidi , thibitisha kuwa hayupo.😁😁😁


Ila usisahau "the A+ saga", bado tunahitaji maelezo ya kina kuhusu jambo hilo.🤔🤔🤔
 
Dhana ya kwamba ulimwengu huu wenye kuweza kuwa na mabaya umeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ni contradiction.

Ni cntradiction kwa sababu mabaya yanayowezekana kuwepo katika ulimwengu huu yana m contradict Mungu huyo.

Yanamcontradict Mungu huyo kwa sababu, Mungu huyo mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hana sababu ya kuumba ulimwengu unaoruhusu maovu na kujipinga asili yake ya upendo wote.

Maovu yanayowezekana katika ulimwengu huu, yanaonesha kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, ni hadithi tu.
Nimeweka maana ya contradiction hapo,sasa unachokifanya wewe hapa sio kuonesha contradiction bali unamuondoa kabisa Mungu,kitu ambacho hakileti maana.

Kwa sababu kumbuka wewe unachokizungumzia hapa ni hayo ya upendo wa Mungu na huu ulimwengu,sasa kama kuna contradiction katika hayo utahitimishaje hakuna kabisa Mungu?
 
Hujathibitisha Mungu hayupo

Huwezi kuthibitisha Mungu hayupo

Kwa sababu yupo

Kama unabisha na kukaidi , thibitisha kuwa hayupo.😁😁😁


Ila usisahau "the A+ saga", bado tunahitaji maelezo ya kina kuhusu jambo hilo.🤔🤔🤔
Mungu hayupo.

Angekuwepo kusingekuwa na mjadala kama Mungu yupo.

Kuwepo kwa mjadala kwamba Mungu yupo ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo.

Maovu yanayoweza kuwepo ulimwnguni ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo.

Mungu hayupo.

Hujathibitisha yupo.

Huwezi kuthibitisha hayupo.

Kwa sababu hayupo.

Ndiyo maana, badala ya kuthibitisha yupo, umekimbilia kunitaka nithibitishe hayupo.

Hujui kwamba hata nikishindwa kuthibitisha hayupo, hujathibitisha yupo?

Hujathibitisha yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Mungu hayupo.

Angekuwepo kusingekuwa na mjadala kama Mungu yupo.

Kuwepo kwa mjadala kwamba Mungu yupo ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo.

Maovu yanayoweza kuwepo ulimwnguni ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo.

Mungu hayupo.

Hujathibitisha yupo.

Huwezi kuthibitisha hayupo.

Kwa sababu hayupo.

Ndiyo maana, badala ya kuthibitisha yupo, umekimbilia kunitaka nithibitishe hayupo.

Hujui kwamba hata nikishindwa kuthibitisha hayupo, hujathibitisha yupo?

Hujathibitisha yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.





Hata wewe haupo, thibitisha kama wewe upo😁😁
 
Nimeweka maana ya contradiction hapo,sasa unachokifanya wewe hapa sio kuonesha contradiction bali unamuondoa kabisa Mungu,kitu ambacho hakileti maana.

Kwa sababu kumbuka wewe unachokizungumzia hapa ni hayo ya upendo wa Mungu na huu ulimwengu,sasa kama kuna contradiction katika hayo utahitimishaje hakuna kabisa Mungu?
Euclidean geometry haina duara ambalo hapo hapo ni pembetatu.

Haina pembetatu ambayo hapo hapo ni duara.

Kwa nini?

Kwa sababu dhana ya kuwepo hiyo "pembetatu duara" ina contradiction.

Contradiction hiyo, inafanya "pembetatu duara" iwe ni kitu cha kufikirika tu, ambacho hakiwezi kuwepo nje ya fikra.

Dhana ya kuwepo Mungu nayo ina contradiction hivyo hiyo. Upande mmoja tunaambiwa ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote (pembetatu) upande mmoja tunaambiwa ameumba ulimwengu unaoweza kuwa na maovu (duara).

This is a contradiction. This contradiction shows this God does not exist.

Ukiamini Mungu huyu yupo ni sawasawa na kuamini kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika Euclidean geometry.
 
Hata wewe haupo, thibitisha kama wewe upo😁😁
Hata kama sipo, na siwezi kuthibitisha kwamba sipo kwa sababu sipo, hilo halithibitishi Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Wewe Astro nomaaa, hujui ni kwa sababu gani Mungu huwa anatuma manabii kwa watu, ungalijua wala usingali uliza hilo swali.

Mungu alikuwa akipeleka manabii kwa watu waovu ili manabii wawaonye. Sasa kama hakukuwa na nabii Mswahili au Mzungu nk, maana yake watu hao walikuwa ni wema na safi.

Lakini ukisoma Qur'an, Allah anamuambia mtume (saw) kwamba kuna manabii wengine hajamsimulia habari zao, kwa maana hiyo duniani kulikuwa na manabii wengi waliopita ambao habari zao hatuzijui.

Kuna hadithi moja ya mtume (saw) inaunga mkono hiyo aya kwa kusema:- duniani walipita manabii laki moja na elfu ishirini.


Lakini wewe huamini uwepo wa Mungu, sasa unataka kujua habari za mitume wake ili iwe nini??.

Hakuna manabii wazungu wala wachina na sio kama hizo jamii kulikuwa hakuna watu waovu hapana walikuwepo lakini mungu wenu hakuwatuma ktk jamii hizo

Nimekupa mifano huo ili ujue nyinyi mnafata utamaduni wa waebrania halafu nyinyi mnasema dini hao manabii wote ni kizazi cha waebrania kwanini?

Inamana ktk dunia waebrania ndio walikuwa watu waovu peke Yao mpaka wapewe mitume wote?
 
Euclidean geometry haina duara ambalo hapo hapo ni pembetatu.

Haina pembetatu ambayo hapo hapo ni duara.

Kwa nini?

Kwa sababu dhana ya kuwepo hiyo "pembetatu duara" ina contradiction.

Contradiction hiyo, inafanya "pembetatu duara" iwe ni kitu cha kufikirika tu, ambacho hakiwezi kuwepo nje ya fikra.

Dhana ya kuwepo Mungu nayo ina contradiction hivyo hiyo. Upande mmoja tunaambiwa ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote (pembetatu) upande mmoja tunaambiwa ameumba ulimwengu unaoweza kuwa na maovu (duara).

This is a contradiction. This contradiction shows this God does not exist.

Ukiamini Mungu huyu yupo ni sawasawa na kuamini kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika Euclidean geometry.
Narudia tena..unachokizungumzia wewe hapa ni upendo wa Mungu na huu ulimwengu tu,hapo ndipo unaposema kuna contradiction,sasa ajabu unatuambia Mungu hayupo kabisa.

Hilo la Mungu kuwa hayupo kabisa unalibabatiza.
 
Hata kama sipo, na siwezi kuthibitisha kwamba sipo kwa sababu sipo, hilo halithibitishi Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.




Kama huwezi kuthibitisha uwepo wako mwenyewe ,je akili ya kumthibitisha mwingine utaitoa wapi??!!😁😁😁😁.

Sasa unatakiwa utusikilize sisi tuliojaaliwa ufahamu wa kukuthibitishia kuwa Mungu yupo, sio unabisha tu "dogmatically". 🤔🤔🤔
 
Narudia tena..unachokizungumzia wewe hapa ni upendo wa Mungu na huu ulimwengu tu,hapo ndipo unaposema kuna contradiction,sasa ajabu unatuambia Mungu hayupo kabisa.

Hilo la Mungu kuwa hayupo kabisa unalibabatiza.
Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha kwamba Mungu yupo.
 
Kama huwezi kuthibitisha uwepo wako mwenyewe ,je akili ya kumthibitisha mwingine utaitoa wapi??!!😁😁😁😁.

Sasa unatakiwa utusikilize sisi tuliojaaliwa ufahamu wa kukuthibitishia kuwa Mungu yupo, sio unabisha tu "dogmatically". 🤔🤔🤔
Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Na ndiyo maana unabailisha topic kutoka kuthibitisha Mungu yupo, sasa unaleta habari za mimi kuthibitisha nipo.

Kama unabisha, thibitisha kwamba Mungu yupo.

Usibadilishe habari.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Hakuna manabii wazungu wala wachina na sio kama hizo jamii kulikuwa hakuna watu waovu hapana walikuwepo lakini mungu wenu hakuwatuma ktk jamii hizo

Nimekupa mifano huo ili ujue nyinyi mnafata utamaduni wa waebrania halafu nyinyi mnasema dini hao manabii wote ni kizazi cha waebrania kwanini?

Inamana ktk dunia waebrania ndio walikuwa watu waovu peke Yao mpaka wapewe mitume wote?



Hayo maandiko unayatoa wapi??
 
Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha kwamba Mungu yupo.
Hoja sio kubisha au kukubali,maana ukweli au uwongo hautegemei mtu kubisha au kukubali.

Nataka kujua ukweli ni vp hakuna Mungu? Hoja ya contradiction tumeona haimuondoi Mungu.
 
Hoja sio kubisha au kukubali,maana ukweli au uwongo hautegemei mtu kubisha au kukubali.

Nataka kujua ukweli ni vp hakuna Mungu? Hoja ya contradiction tumeona haimuondoi Mungu.
Euclidean geometry ina pembetatu ambayo hapo hapo ni duara?
 
Back
Top Bottom