Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Hujamaliza.

Umeandika poa, hujaeleza poa ni kwa kipi.

Poa unakubali Mungu hayupo?

Au poa unakubali kwamba huwezi kuthibitisha Mungu hayupo?

Au poa hutaki kubishana tu umeshindwa kuendelea?

Au poa kumaliza mjadala tu hujui hata poa ya nini hususan?
Kwa munasaba wa tulichokiongelea "Poa" haina utata hapo wala hakuna haja ya kuijadili "Poa". Tafakari.
 
Poa maana yake nini?

Umekubali Mungu hayupo?
Kukubali hakuna Mungu ni sawa na kuanguka kwenye shimo kwa bahati mbaya,sasa wewe unamuuliza mtu kama anakubali kuingia kwenye hilo shimo?

Nyie wenyewe hamjui ni vp hakuna Mungu,hadi sasa haijulikani hoja ya msingi ya kusema hakuna Mungu ni ipi? Kila mnalojisikia kuongea mnaongea tu.

KUPINGA NI JAMBO RAHISI SANA.
 
Kwa munasaba wa tulichokiongelea "Poa" haina utata hapo wala hakuna haja ya kuijadili "Poa". Tafakari.
Munasaba upi? Kwa nini poa haina utata? Kwa nini unafikiri wewe ndiye wa kutoa tamati ya shauri la kama poa ina utata au haina utata?
 
Kukubali hakuna Mungu ni sawa na kuanguka kwenye shimo kwa bahati mbaya,sasa wewe unamuuliza mtu kama anakubali kuingia kwenye hilo shimo?

Nyie wenyewe hamjui ni vp hakuna Mungu,hadi sasa haijulikani hoja ya msingi ya kusema hakuna Mungu ni ipi? Kila mnalojisikia kuongea mnaongea tu.

KUPINGA NI JAMBO RAHISI SANA.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Munasaba upi? Kwa nini poa haina utata? Kwa nini unafikiri wewe ndiye wa kutoa tamati ya shauri la kama poa ina utata au haina utata?
Nimesimama kwenye haki.

Husemwa " Ijue haki,utawajua wenye haki kina nani"
 
Nimesimama kwenye haki.

Husemwa " Ijue haki,utawajua wenye haki kina nani"
Haki inasimama kwenye kunyumbulisha mambo.

Wewe unasema "poa", watu wanakuuliza unyumbulishe "poa" maana yake ipi?

Unaruka, hutaki kunyumbulisha maana ya poa.

Unasema haina mjadala, hata baada ya kuulizwa.

Hujasimama kwenye haki.

Hupo hata kwenye chaki ya haki.

Huna hata haki ya mabaki.

Huna hata haki ya Zebaki.
 
Haki inasimama kwenye kunyumbulisha mambo.

Wewe unasema "poa", watu wanakuuliza unyumbulishe "poa" maana yake ipi?

Unaruka, hutaki kunyumbulisha maana ya poa.

Unasema haina mjadala, hata baada ya kuulizwa.

Hujasimama kwenye haki.

Hupo hata kwenye chaki ya haki.

Huna hata haki ya mabaki.

Huna hata haki ya Zebaki.
Inaonekana hujui haki bali hata sifa zake huzijui. Unakielewa ulicho kiandika ?
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
Suala si kwamba kama nabisha au sibishi,suala ni hoja ya msingi ya kusema hakuna Mungu ni ipi?

Usilete habari za kubisha au kutokubisha hapa.
 
Inaonekana hujui haki bali hata sifa zake huzijui. Unakielewa ulicho kiandika ?
Wewe unayemkubali Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote, ambaye anawaziba watu mioyo, macho na masikio wasimjue, kisha anawahukumu kwa kutomjua, licha yavukweli kwamba hawakuwa na uwezo wa kumhua baada ya yeye huyo Mungu kuwafunga hivyo, ndiye usiyeijua haki.

Ni sawa na wewe baba umkataze mwanao kujifunza kusoma, asiende shuke wala kupata mtu wa kumfundisha kusoma.

Halafu akiwa mkubwa, akiwa hajui kusoma, useme unamhukumu kwa sababu hajui kusoma.

Wakati wewe ndiye uliyemzuia asijue kusoma.

Only worse.
 
Wewe unayemkubali Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote, ambaye anawaziba watu mioyo, macho na masikio wasimjue, kisha anawahukumu kwa kutomjua, licha yavukweli kwamba hawakuwa na uwezo wa kumhua baada ya yeye huyo Mungu kuwafunga hivyo, ndiye usiyeijua haki.

Ni sawa na wewe baba umkataze mwanao kujifunza kusoma, asiende shuke wala kupata mtu wa kumfundisha kusoma.

Halafu akiwa mkubwa, akiwa hajui kusoma, useme unamhukumu kwa sababu hajui kusoma.

Only worse.
Huu mfano hauhusiani wala kuwiana sawia na wa Mola muumba.

Huswa hivi "Asie kujua hakuthamini" au kama walivyosema.
 
Suala si kwamba kama nabisha au sibishi,suala ni hoja ya msingi ya kusema hakuna Mungu ni ipi?

Usilete habari za kubisha au kutokubisha hapa.
Hakuna Mungu kama vile ambavyo hakuna pembetatu duara katika Euclidean geometry planes.

Dhana ya kuwapo Mungu ina contradiction kama dhana ya kuwepo pembetatu duara hiyo.

Don't make me curse you out, you know this already

We have been on this a thousand times before.

You are just a stubborn mule.
 
"O mankind we have created you from a male and female and made you into nations and tribes ,that you may know one another, verily the most honoured in the sight of Allah is that who has at taqwa, verily Allah is All knowing ,All aware" (Al hujuraat :13)

👆🏻Hapo hakuna cha, muarabu, muhindi, mswahili,mpemba,mzungu nk, Ubora wako ni "Taqwa" tu.

🍒Huyo ndiye Allah mtukufu🍒

😁😁😁😁 Astro noma sanaaa.


Ili maneno yako yawe ya kweli naomba unitajie nabii yoyote mzungu au mchina au asiyekuwa muisrael au muaarabu

Ukinitajia nitakubali kama mungu yupo na tena hana ubaguzi
 
Hakuna Mungu kama vile ambavyo hakuna pembetatu duara katika Euclidean geometry planes.

Dhana ya kuwapo Mungu ina contradiction kama dhana ya kuwepo pembetatu duara hiyo.

Don't make me curse you out, you know this already

We have been on this a thousand times before.

You are just a stubborn mule.

Contradiction is the act of saying something that is opposite or very different in meaning to something else
: a difference or disagreement between two things which means that both cannot be true.

Ikiwa hiyo ndio maana contradiction,je wewe hilo hitimisho la kuwa hakuna Mungu umelipata vp?
 
Mi naamin Mungu yupo na wanaobisha naona wanakomalia watu watoe sababu za kwanini Mungu yupo lakin wao hawasemi sababu za kwanini Mungu hayupo kama kiranga amekazana kusema tu Mungu gani kawaziba watu maskio na macho halafu awahukumu,mara sijui kuna vita watu wanapata shida mi nina majibu juu ya haya ila naomben sababu zenu zenye mashiko...na kama mnaamin hakuna Mungu kwan nini mnahofu na mnafatilia maandiko maana mnavijua kweli vifungu na bahati mbaya mnaenda kuvisoma vifungu na kuvi twist ili iendane na mnachokiamin...Yes unaweza kutumia kama reference kujenga hoja zako ila lete sababu zako nje ya mrengo wa kidin au Maandiko kuwa hakuna Mungu hata za kisayans we lete ntakujibu..!

I am Muslim.!
 
Ili maneno yako yawe ya kweli naomba unitajie nabii yoyote mzungu au mchina au asiyekuwa muisrael au muaarabu

Ukinitajia nitakubali kama mungu yupo na tena hana ubaguzi



Wewe Astro nomaaa, hujui ni kwa sababu gani Mungu huwa anatuma manabii kwa watu, ungalijua wala usingali uliza hilo swali.

Mungu alikuwa akipeleka manabii kwa watu waovu ili manabii wawaonye. Sasa kama hakukuwa na nabii Mswahili au Mzungu nk, maana yake watu hao walikuwa ni wema na safi.

Lakini ukisoma Qur'an, Allah anamuambia mtume (saw) kwamba kuna manabii wengine hajamsimulia habari zao, kwa maana hiyo duniani kulikuwa na manabii wengi waliopita ambao habari zao hatuzijui.

Kuna hadithi moja ya mtume (saw) inaunga mkono hiyo aya kwa kusema:- duniani walipita manabii laki moja na elfu ishirini.


Lakini wewe huamini uwepo wa Mungu, sasa unataka kujua habari za mitume wake ili iwe nini??.
 
Contradiction is the act of saying something that is opposite or very different in meaning to something else
: a difference or disagreement between two things which means that both cannot be true.

Ikiwa hiyo ndio maana contradiction,je wewe hilo hitimisho la kuwa hakuna Mungu umelipata vp?
Dhana ya kwamba ulimwengu huu wenye kuweza kuwa na mabaya umeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ni contradiction.

Ni cntradiction kwa sababu mabaya yanayowezekana kuwepo katika ulimwengu huu yana m contradict Mungu huyo.

Yanam contradict Mungu huyo kwa sababu, Mungu huyo mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hana sababu ya kuumba ulimwengu unaoruhusu maovu na kujipinga asili yake ya upendo wote.

Maovu yanayowezekana katika ulimwengu huu, yanaonesha kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, ni hadithi tu.
 
Back
Top Bottom