Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Na ndiyo maana unabailisha topic kutoka kuthibitisha Mungu yupo, sasa unaleta habari za mimi kuthibitisha nipo.

Kama unabisha, thibitisha kwamba Mungu yupo.

Usibadilishe habari.

Thibitisha Mungu yupo.


Kama unashindwa kumthibitishia mtu "uwepo wako mwenyewe", utawezaje kuthibitisha uwepo wa kitu kingine!!?, that's a simple logic, mimi sijabadilisha mada isipokuwa ninajaribu ku draw your attention and awareness, (ninajaribu kusensatize akili yako), kwani hapa sisi, Tz mbongo na Abuu ni kama madaktari wa ugonjwa wa 'Atheism" na hivyo tunajaribu kuwapatia kila dawa ili mpone, na hasa wewe Kiranga unatakiwa upewa "dose" kubwa sana kuliko wenzako, na bado kuna dawa zingine zipo jikoni.😁😁😁
 
Sio kila anayeuliza swali hajui majibu pengine anataka kujua unao uelewa upi wa mambo

Je mwalimu akikuuliza swali darasani ana maana gani?



Umeshasema MWALIMU, sasa we ni mwalimu??, mwalimu wa kitu gani??, au mwalimu wa Atheism? ?😁😁
 
Kama unashindwa kumthibitishia mtu "uwepo wako mwenyewe", utawezaje kuthibitisha uwepo wa kitu kingine!!?, that's a simple logic, mimi sijabadilisha mada isipokuwa ninajaribu ku draw your attention and awareness, (ninajaribu kusensatize akili yako), kwani hapa sisi, Tz mbongo na Abuu ni kama madaktari wa ugonjwa wa 'Atheism" na hivyo tunajaribu kuwapatia kila dawa ili mpone, na hasa wewe Kiranga unatakiwa upewa "dose" kubwa sana kuliko wenzako, na bado kuna dawa zingine zipo jikoni.😁😁😁
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha kwamba Mungu yupo.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha kwamba Mungu yupo.



Wazaramo walonga "kalagabaho" 😁😁😁
 
Wazaramo walonga "kalagabaho" 😁😁😁

Zilongwa mbali, zitendwa mbali, sakala kandumbwa.

Kalaghabaho si uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha kwamba Mungu yupo.
 
Duh! Hoja yako kwani ipi mbona unataka kunichosha tu hapa.
Nakuonesha hoja yangu kwa kukuuliza, hii njia inaitwa Socratic method.

Nikikuambia kitu mimi moja kwa moja unanikatalia, nataka twende kwa logic yako ili uone sababu, uone hoja, mwenyewe.

Kama una nia ya kujua ukweli, jibu swali.

Kama unataka kubishanabishana tu, unaruhusiwa kutojibu swali.
 
Nakuonesha hoja yangu kwa kukuuliza, hii njia inaitwa Socratic method.

Nikikuambia kitu mimi moja kwa moja unanikatalia, nataka twende kwa logic yako ili uone sababu, uone hoja, mwenyewe.

Kama una nia ya kujua ukweli, jibu swali.

Kama unataka kubishanabishana tu, unaruhusiwa kutojibu swali.
Nimeeleza kabisa kuwa hoja yako ya contradiction umeijenga kwenye upendo wa Mungu na huu ulimwengu.

Hiyo pembetatu duara ushaieleza sana ila tatizo linakuja unapohitimisha hakuna Mungu,hiki ndiyo kitu ambacho hukielezi.
 
Muhamad kasomea wapi anashika akili zako na kukuambia habari usioweza kuwa na uthibitisho nazo



Si umesema Yeye hajasoma, na wewe unasema umesoma, sasa ninakuuliza swali rahisi tu, umesoma wapi??, na umesoma nini??, mbona umegeuka mbogo!!😁😁😁 Astro nomaaa.
 
Nimeeleza kabisa kuwa hoja yako ya contradiction umeijenga kwenye upendo wa Mungu na huu ulimwengu.

Hiyo pembetatu duara ushaieleza sana ila tatizo linakuja unapohitimisha hakuna Mungu,hiki ndiyo kitu ambacho hukielezi.
Sababu hiyo hiyo inayofanya pembetatu duara lisiwepo, ndiyo hiyo hiyo inayofanya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ambaye kaumba ulimwengu unaoweza kuwa na maovu asiwepo.

Pembetatu duara katika Euclidean geometry haipo. Haiwezi kuwepo, dhana inajipinga yenyewe, hivyo haiwezi kuwepo kama uhalisia.

Dhana ya Mungu anayejipinga mwenyewe katika dhana tu, haiwezi kuwa na Mungu huyo katika uhalisia, inabaki kuwa dhana ya kufikirika tu kama pembetatu duara.

Kwa sababu ile le.

Contradiction.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anakuwa contradicted na ulimwengu huu unaoruhusu maovu.

Hivyo hayupo, ni dhana potofu tu.

Kama vile dhana ya kuwapo kwa "pembetatu duara".
 
Si umesema Yeye hajasoma, na wewe unasema umesoma, sasa ninakuuliza swali rahisi tu, umesoma wapi??, na umesoma nini??, mbona umegeuka mbogo!!😁😁😁 Astro nomaaa.

Yaan nasikitika unapata wapi ujasiri wa kusema hayo?

muhamad hakusoma anakufundisha kitu gani wakati yeye hakusoma?

Unataka kujua Mimi nimesoma nini wakati hujiulizi mtu hajasoma halafu anakufundisha ? na ww unakubali

Kibaya zaidi anakufundisha habari za uwongo na wewe umetulia wala huulizi maswali?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom