Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,854
- 2,474
KUBWA LA MASHETAN.......MUNGU ANA UVUMILIVU SANA.....
Unaweza kuthibitisha maneno yako?
KUBWA LA MASHETAN.......MUNGU ANA UVUMILIVU SANA.....
Hapo sasa.Anawaziba macho wasimjue halafu anawahukumu kweli haki?
😆😆😆😆😆Kaka sio Hulamaa ni Ulamaa.
Nakuja kuendelea hapa nilipoishia.....
Hakika tunacho kigezo chema kutoka kwa mtume (saw)---- kwa msingi huo sisi waislamu lazima tumsikilize mtume alisema nini na alifanya nini, katika Hijjatul wada (Hija ya kuaga) moja ya jambo aliloliongelea ni suala la ubaguzi (sagregation) na alisema:-
" Mwarabu si bora dhidii ya asiyekuwa mwarabu, wala asiye muarabu si bora dhidi ya mwarabu wala mtu mweupe asipendelewi dhudi ya mtu mweusi, wala mtu mweusi asipendelewe dhidi ya mweusi"
👆🏻kwa hiyo kauli Mtume Muhammad (saw) anafuta kabisa ubaguzi wa aina yoyote.
Kuhusu mafundisho ya dini Yeye alisema katuachia vitu viwili Kitabu cha Allah (Qur'an) na Sunna, wala si kitu kingine.
Kuhusu 'Al ulamaa warithatul anbiyaa" yaani wenye elimu ndiyo watarithi wa (kazi) za manabii. ---- kauli hiyo ni sahihi kabisa kwa sababu huwezi kujua elimu ya dini bila ya kupata msaada kutoka kwa Mungu, kwasababu manabii wanayo elimu (funuo nk) kubwa kutoka kwa Mungu. Hivyo basi elimu ya dini siyo mahususi kwa ajili ya waarabu tu, mtu yeyote akitafuta elimu ya dini na kumuomba Mungu ampe elimu ya dini,Mungu atampa.
Halikadhalika hakuna kabila fulani ndio wema au waovu peke yao, uovu na wema upo katika makabila yote.
KUBWA LA MASHETAN.......MUNGU ANA UVUMILIVU SANA.....
Wacha bwana......so kila kitu hutokea kwa majaaliwa.....Mungu ni hadithi wala hayupo
Mwarabu ni bora kuliko wewe unabisha?
Bro hivi huwa unajisikiaje kuongea UONGO ?Mwarabu ni bora kuliko wewe unabisha?
Naona mnaendelea kujazana ujinga kila kukicha.........Hapo sasa.
Halafu unaambiwa Allah Mungu wa haki.
Ujinga ni kukubali habari za Mungu anayewafunga watu mioyo, macho na masikio ili wasimjue, kisha akawahukumu hukumu kali kwa sababu hawajamjua, na kusema huyo ni Mungu wa haki.Naona mnaendelea kujazana ujinga kila kukicha.........
Niliwahi kukuuliza swali "Je unajua kwanini amewafanya hivyo ?"Ujinga ni kukubali habari za Mungu anayewafunga watu mioyo, macho na masikio ili wasimjue, kisha akawahukumu hukumu kali kwa sababu hawajamjua, na kusema huyo ni Mungu wa haki.
Hapo umejiharishia halafu ukafanya uharisho wako ndiyo akili.
Mungu anayehitaji tafsiri ni wa kutungwa.Niliwahi kukuuliza swali "Je unajua kwanini amewafanya hivyo ?"
Hukuwahi kulijibu swali hilo na hautaweza kulijibu,sikuishia hapo nikafika mbali sana mpaka nikakupa rejea za tafsiri za Qur'an zaidi ya tatu,ninajua hukuenda kufatilia.
Sasa si kila jambo lazima ulizungumze bro,elimu ni nuru na ujinga ni giza.
Huwa nakariri mara kwa mara mkiamua kusoma msome kweli sio mnaleta ujanja ujanja wa kuyaingilia kichwa kichwa mambo msio na elimu nayo.
Nipo...
.
Huwezi kufikiria zaidi ya hapo,na huko ni kwa kutaka wewe mwenyewe.Mungu anayehitaji tafsiri ni wa kutungwa.
Mungu angekuwepo kweli asingehitaji tafsiri.
Kila mtu angemjua bila tafsiri.
Kungekuwa hakuna tafsiri wala kitabu cha Mungu.
Ukishaona Mungu kaandikwa kwenye kitabu, ujue wa uongo huyo.
Hujathibitisha Mungu yupo.Huwezi kufikiria zaidi ya hapo,na huko ni kwa kutaka wewe mwenyewe.
Poa.Hujathibitisha Mungu yupo.
Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.
Kwa sababu hayupo.
Kama unabisha, thibitisha yupo.
Nimemaliza bro !Poa maana yake nini?
Umekubali Mungu hayupo?
Hujamaliza.Nimemaliza bro !
Poa.[/QUOTE
Eti Mungu akiandikwa kwenye vitabu ni wa uongo!!!
Na "Mungu" wenu sayansi akiandikwa kwenye vitabu ni mungu wa kweli !!??😁😁😁