**** aliyethibitisha Mungu yupo?
Au bado longolongo tu?
Bado unazungumzia watu na mie nataka ueleze ni vp hakuna Mungu?"Tumewaumba watu mataifa na makabila tofauti lengo mpate kujuana INNA AKRAMA KUM INDAA LLAHU ATQAKUM"
Israel wabaguzi sana roho mbaya halafu wanajiona wao ndio wana haki ya kila kitu hapa duniani wanajiona bora kuliko wenzao wanauwa kila siku huyo yehova katulia haoni wanavyoua wenzao?
"AYATUL MUNAFIQ THALATHA IDHAA HADDATHA KADHABAA WAIDHAA WAADA AKHLAFA WAIDHAA ATUMINA KHANA"
Saudia arabia wanafiki wakubwa wanagombanisha Yemen halafu huyo Allah katulia haoni hayo anashindwa na UNICEF?
Halafu mnaswali mnaelekea saudia mkiamini kuna nyumba ya mungu
Hahaaaa.mungu kashawaziba watu macho wasimjue halafu anawapa hukumu ya jehanam
Bado unazungumzia watu na mie nataka ueleze ni vp hakuna Mungu?
Hahaaaa.
Halafu mtu anakwambia hicho ni kitabu cha Mungu kimeandika ujinga huo.
Anakubishia kabisaa.
Anataka umkubali na yeye ni mtu mwenye akili timamu kichwani mwake.
Mara nyingine huwa tuna kazi kubwa sana kubishana na watu wa hivyo hapa.
Nawapeni hongera.
Mungu hawezi kujitetea nwenyewe, mpaka wapambe watoke povu.Hawawezi kukubali ukweli kwakuwa wengi wamerithi kutoka kwa wazazi wao sasa mtu kuachana inakuwa ngumu je ndugu zake watamuelewaje
Na pia ni uvivu wa kufikiri yaan kama mungu yupo kwanini amtumie mtu kumjua yeye?
Mungu hawezi kujitetea nwenyewe, mpaka wapambe watoke povu.
Hahaaaa.
Nakuunga mkono! Kama Mungu aliumba Adam na Eva wawili tu weupe wakazaana. Uzao wao ukawa mweupe, sasa sisi waafrika weusi tulitoka wapi? Ukiuliza unaambiwa unakufuru!
Bado majibu na mifano yako ni mepesi kiasi hata hayajajibu hoja ya mtoa madaMsingi wa hoja ya Kiranga ipo hivi;-
"Kama Mungu mwenye upole,huruma,muweza wa kila kitu yupo, mbona kuna shida na taabu na majanga yanawaandama watu kwanini asiyaondoe tuishi kwa raha??. Na akajenga hoja kwamba kwakuwa hizo shida zipo basi Mungu hayupo"
👆🏻Huo ndiyo msingi mkuu wa yeye kumkanusha Mungu kama kuna chochote alichoongeza basi hakijavunja huo msingi anao uamini.
JIBU LA HIYO HOJA YAKE👇🏻
Yeye kaangalia upande mmoja tu wa shilingi upande wa shida lakini hajaangali upande wa pili wa shillingi upande wa raha na sterehe, kulingana na hoja yake,kama Mungu hayupo kutokana na Shida na taabu za watu vipi Mungu asiwepo kutokana na raha na starehe za watu??.
👆🏻Hapo utaona hoja yake ikifa kifo cha kawaida kabisa na hataweza kuitetea.
Hoja yake unaweza kuiwekea mfano huu hapa;!.
Watakuambia ni uzao wa Cain ulio kuwa unamchungulia mzazi wake akawapa laana "kuanzia leo wewe na uzao wako mtakuwa weusi"Kwenye ukoowenu wote niweusi?, hakuna mweupe mrefu na mfupi?.
Alafu umejuaje kama Adam na hawa walikuwa ni wazungu.
Kwa hiyo kuruhusu mimi niwe masikini na mwingine awe tajiri alafu wote tukitenda dhambi tuchomwe sawa bila kujali mimi nishachomwa na maisha duniani bado ni sawa hajakosea?Mungu hana makosa wala hatakaa akose.
Huyo mke alitokea wapi wakati ndo kwanza Adam na eve ndo walikua wame mzaa yeye cain na nduguye au kulikuwa na watu wengine tayari lakini mungu mtu wake wa kwanza ni Adamu?Inasemekana Huyo Adam aliishi katika eneo lililokuwa kandoni mwa mito miwili Euphrates na Tigris, katika Iraq ya kale (the ancient Iraq), na ukisoma maandiko (Biblia) kaini alimuua nduguye Habili na alipoona katenda kosa akaamua kuhamia NCHI nyingine iitwayo Nodi na alipofika huko AKAOA mke.
Hata mie nataka kujifunza kutoka kwako maana muda mwingi nimesoma hoja zenu za kushambulia imani ya uwepo wa Mungu.Tz Leo naomba nijifunze kitu kutoka kwako huenda nikaelewa
Maswali mengine hivi huwa mnayafikiria?Tz na Mokaze kwanini mungu hawezi kujitetea mwenyewe mpaka anawatumia nyinyi na kibaya zaidi tunawauliza maswali mnashindwa kutujibu
Si mumuulize huyo mungu wenu yeye si anajua kila kitu?
Sio nyie mnaosema hoja nyingi za kutokuwepo Mungu zimeandikwa kwa kiingereza?Hawawezi kukubali ukweli kwakuwa wengi wamerithi kutoka kwa wazazi wao sasa mtu kuachana inakuwa ngumu je ndugu zake watamuelewaje
Na pia ni uvivu wa kufikiri yaan kama mungu yupo kwanini amtumie mtu kumjua yeye?
Maswali mengine hivi huwa mnayafikiria?
Kama mnataka kumuuliza maswali Mungu na awajibu mwenyewe mbona mnakuja kuwauliza watu humu halafu mnategemea mjibiwe na Mungu?
Sio nyie mnaosema hoja nyingi za kutokuwepo Mungu zimeandikwa kwa kiingereza?
Sasa wewe mwenyewe unaamini tuna nguvu ndani yetu ila ajabu ili uweze kuzitumia mpaka mtu afundishe jinsi gani ya kuweza kuzitumia hizo nguvu.