Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Binadamu wa kwanza kuumbw alikua nani na alikuwa bara gani?



Wewe unaniuliza swali ambalo wewe ukipewa mfano wake huwezi kujibu, mfano wa swali hilo ni huu:-

Nitajie,Ngo'mbe na kuku wa kwanza kuumbwa na walitoka nchi gani??,

Na hapo bado,Mbwa, Bata,Sokwe,,Mende nk, wa kwanza kuumbwa na walitoka nchi zipi?

👆🏻Ukiweza kunijibu na mimi nitakutajia mtu wa kwanza kuumbwa na nchi aliyotoka.😁😁
 
Naongea na mtu asiyejua anaongea nini??.

Hiyo kanuni Newton alianza nayo vipi??.

Alianza na "Hypothesis" baada ya lile tufaa kumuangukia kichwani alipokuwa ameketi chini ya mti wa mtofaa (apple tree), na hypothesis yake (prediction) akahisi kwamba lile tufaa lilivutwa na nguvu fulani kuelekea chini, kwa sababu alijiuliza kwanini lisingeenda juu au pembeni au kuelea ama vyovyote??!!, hakuishia hapo tu bali alijiuliza kwamba ni nguvu hizo hizo ndizo zinazoushikilia mwezi pale ulipo kutoka duniani na hiyo ndiyo inaitwa hypothesis au prediction na aka -conclude kuwa kati ya vitu viwili siku zote kunakuwepo na nguvu za uvutano na baada ya hapo akataka ku 'formulate" uhusiano kati ya nguvu ya uvutano uliopo kati ya vitu viwili na kanuni hiyo akaiita "the law of universal gravitation"

Katika ku formulate hiyo kanuni akaweka "assumption" moja inayoitwa "the inverse square law"

Force=constant /r², (where r = is the distance between the given bodies).

Baada ya hapo ndipo akaja na formular kamili:-

Force=GmM/r² , ambayo inasema:-

"The force between two bodies is direct proportional to product of their masses and inversely proportional to the square of their distance apart"

Sasa huyo Newton kwanza alianza na hypothesis (prediction/ ramli) baadaye akaweka "assumption" na hatimaye akakamilisha formular, sasa nani hapo ni mpiga ramli Qur'an au Newton??

Umeshikilia kuwa Qur'an ilitungwa na Nabii Muhammad (saw), (Mungu apishe mbali), inafahamika kabisa kuwa Mtukufu Mtume Muhammad (saw) hakujua kusoma wala kuandika bali Mungu alimfunulia Qur'an yote na waandishi wake wakaandika yale yote aliyofunuliwa na Mungu na ndiyo maana Mungu anatoa "challenge" katika Qur'an aliposema:- " Ikiwa mna mashaka juu ya yale tuliyomteremshika mja wetu (Muhammad) basi leteni sura moja mfano wa hii (Qur'an) na muwaite wasaidizi wenu kinyume na Allah ikiwa mu wakweli (2:23).

Chukua mfano mmoja, Qur'an inazungumzia juu ya "the expanding universe":-

و ا للسماء بنيناها بايد و انا لموسعون

Wa ssamaai banainaahaa biaidi wa inna lamuusiu'un. (51:47)

Yaani, " Na mbingu tumeziumba kwa uwezo (mikono) yetu na hakika tunaipanua (lamuusiu'un)."

👆🏻Ni Albert Einstein (d1955) na Edwin Hubble (d 1953) ndiyo waliokuwa ma pioneers wa "the expanding universe" hypothesises zao (RAMLI ZAO) walifanya katika karne ya 20 tu juu ya ulimwengu unaotanuka Allah aliliweka jambo hilo kupitia mtume Muhammad (saw) toka karne ya 14 wakati hata wana sayansi hao hawakufikiriwa kama wangezaliwa sembuse kuwa na mawazo ya kujua kwamba ulimwengu unatanuka!!, bila shaka hawa walisoma Qur'an kwa siri ndipo wakajua ukweli huo.

Kuna mifano kadhaa ya sayansi ndani yavQur'an ambayo wanasayansi wenye roho safi wanakiri hadhatani kuwe Qur'an isingeweza kutungwa na nabii Muhammad (saw) bali imetoka kwa yule mwenye elimu kubwa sana, sisi tunasema Qur'an imetoka kwa Yule aliyekuwa na elimu isiyo na kikomo yaani ALLAH (sw).

Hiyo ndio sayansi yenyewe unayoizungumzia ktk quran yaan unsaid kupotea

Newton alikuwa anashinda maabara siyo hivyo kaongea tu Bali na practical alikuwa anafanya Ana proove constant

Usije kufananisha sayansi na quran sioni hoja hapo yaan kwa maneno tu ndio useme quran sayansi wakati quran inapingana na sayansi kila kukicha
 
Hiyo ndio sayansi yenyewe unayoizungumzia ktk quran yaan unsaid kupotea

Newton alikuwa anashinda maabara siyo hivyo kaongea tu Bali na practical alikuwa anafanya Ana proove constant

Usije kufananisha sayansi na quran sioni hoja hapo yaan kwa maneno tu ndio useme quran sayansi wakati quran inapingana na sayansi kila kukicha



Qur'an imepinga wapi sayansi??, labda iwe ni sayansi ya uongo.

Isitoshe hujui kwamba dini ni elimu ya kutambua maneno ya Mungu na sayansi ni elimu kwa ajili ya kutambua uumbaji wake kwa undani, sasa iweje dini na sayansi zipingane ilhali vyote vinatoka kwa huyo huyo mmoja??.

Wewe unasema Newton alikuwa anashinda katika maabara , naam nilazima ashinde maabara kwa sababu hakuwa anajua hivyo alikuwa anatafuta ukweki kwa kufanya majaribio, alikuwa anatafuta kile ambacho alikuwa hajui lakini kilichokuwepo tayari (kilichowekwa na Mungu).

Sasa eti, unataka Mungu aingie maabara kutafiti kitu alichoweka mwenyewe??!!😁😁😁.

Vipi Astronomer, pull up your stockings.
 
Qur'an imepinga wapi sayansi??, labda iwe ni sayansi ya uongo.

Isitoshe hujui kwamba dini ni elimu ya kutambua maneno ya Mungu na sayansi ni elimu kwa ajili ya kutambua uumbaji wake kwa undani, sasa iweje dini na sayansi zipingane ilhali vyote vinatoka kwa huyo huyo mmoja??.

Wewe unasema Newton alikuwa anashinda katika maabara , naam nilazima ashinde maabara kwa sababu hakuwa anajua hivyo alikuwa anatafuta ukweki kwa kufanya majaribio, alikuwa anatafuta kile ambacho alikuwa hajui lakini kilichokuwepo tayari (kilichowekwa na Mungu).

Sasa eti, unataka Mungu aingie maabara kutafiti kitu alichoweka mwenyewe??!!😁😁😁.

Vipi Astronomer, pull up your stockings.

Nikupe andiko kutoka ktk quran?
 
Wewe unaniuliza swali ambalo wewe ukipewa mfano wake huwezi kujibu, mfano wa swali hilo ni huu:-

Nitajie,Ngo'mbe na kuku wa kwanza kuumbwa na walitoka nchi gani??,

Na hapo bado,Mbwa, Bata,Sokwe,,Mende nk, wa kwanza kuumbwa na walitoka nchi zipi?

[emoji1312]Ukiweza kunijibu na mimi nitakutajia mtu wa kwanza kuumbwa na nchi aliyotoka.[emoji16][emoji16]
Nimekupa swali nikitegemea kupata majibu na sio swali tena
Kuuliza swali wakat ujajibu swali ni ishara tosha kwamba hujui jibu lake hayo maswala ya ng'ombe ndio kule kujiuma uma niliko zungumzia hapo awali
 
Na yeye hili swali kalitoa kwenye andiko lipi ??, naye anipe andiko!![emoji16][emoji16][emoji16]
Kama unazungumzia andiko kwenye vitabu hiv vya dini kwamba kuna maswali yanatolewa na hivyo vitabu basi hapo ni ujanja ujanja wa huyo muhamad alie waongopeeni kua quraan ilishushwa.kwasababu isingeweka maandiko yenye maswali ambayo aliye andika alishindwa kupata majibu na hivo kumpa binadamu asaidie kuyajibu

hapo ndipo utata wa huyo mungu unapoongezeka maradufu kwasababu kuna vitu havijui na anataka kuvijua kupitia binadamu
 
Nimekupa swali nikitegemea kupata majibu na sio swali tena
Kuuliza swali wakat ujajibu swali ni ishara tosha kwamba hujui jibu lake hayo maswala ya ng'ombe ndio kule kujiuma uma niliko zungumzia hapo awali



Wewe unataka kumjua nani (wasifu) wa mtu wa kwanza kuumbwa na aliishi wapi, ukishajua sasa iweje??!,

Na baadaye utataka kujua mtu atakayekuwa wa mwisho kuumbwa na atakuwa katika nchi gani!!.

Ujue maswali ya aina hiyo ni "illogic" kwa sababu yatazaa maswali mengine mengi ya aina hiyo. Na haijulikani mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa nani kama jinsi isivyojulikana kuku,bata,panya nk, wakwanza alikuwa yupi !!.
 
Kama unazungumzia andiko kwenye vitabu hiv vya dini kwamba kuna maswali yanatolewa na hivyo vitabu basi hapo ni ujanja ujanja wa huyo muhamad alie waongopeeni kua quraan ilishushwa.kwasababu isingeweka maandiko yenye maswali ambayo aliye andika alishindwa kupata majibu na hivo kumpa binadamu asaidie kuyajibu

hapo ndipo utata wa huyo mungu unapoongezeka maradufu kwasababu kuna vitu havijui na anataka kuvijua kupitia binadamu



Kwani hilo swali ulitaka litoke kwenye vitabu vya dini??, wewe vipi mbona sikuelewi unachoongea !!??.

Wewe unataka kujua mtu wa kwanza kuumbwa duniani alikuwa nani, basi alikuwa babu wa babu wa babu wa babu wa babu wa babu yako mzaa babu yako.

👆🏻Nadhani hapo utakuwa umeridhika,😁😁😁.
 
Kwani uthibitisho lazima kuona kinachothibitishwa?

Ushawahi kuiona namba moja? Siyo sehemu ilipoandikwa namba moja, namba moja yenyewe, ushawahi kuiona?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji114] [emoji114] wewe n habar nyingne.
 
Unaniuliza nataka uthibitisho gani.

Nakuambia wenye logical consistency na usio na contradiction, halafu unaniuliza kama upi.

Unauliza swali nililolijibu. Unalinukuu. Halafu unauliza swali hilo hilo.

Nina shaka sana kama tunaweza kufikia sehemu tukaelewana.

Mwisho utaniambia nithibitishe mwenyewe kwamba Mungu yupo, kwa niaba yako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Swala LA imani ni jambo LA kulitazam kwa makini sana. Unaweza kuacha kuamin kbsa au ukawa mfia dini kbsa huu Uzi unakufanya kuwaza beyond the scope
 
Swala LA imani ni jambo LA kulitazam kwa makini sana. Unaweza kuacha kuamin kbsa au ukawa mfia dini kbsa huu Uzi unakufanya kuwaza beyond the scope
Kwan imani yako imeshikwa na mtu?
Kwan imani yako inategemea matendo ya mtu?
 
Wewe unataka kumjua nani (wasifu) wa mtu wa kwanza kuumbwa na aliishi wapi, ukishajua sasa iweje??!,

Na baadaye utataka kujua mtu atakayekuwa wa mwisho kuumbwa na atakuwa katika nchi gani!!.

Ujue maswali ya aina hiyo ni "illogic" kwa sababu yatazaa maswali mengine mengi ya aina hiyo. Na haijulikani mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa nani kama jinsi isivyojulikana kuku,bata,panya nk, wakwanza alikuwa yupi !!.
Jibu lako ndio ni illogic

sijakuuliza maswala ya bata wala kuku naona tu unavyo ji uma uma kwa kukwepa swali

Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani na aliishi bara gani?
 
Jibu lako ndio ni illogic

sijakuuliza maswala ya bata wala kuku naona tu unavyo ji uma uma kwa kukwepa swali

Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani na aliishi bara gani?



Mtu wa kwanza kuumbwa Sijui alikuwa nani na jina lake sijui lilikuwa lipi,na wala sijui alitokea bara lipi. Ila binadam (bin Adam) yaani mtoto wa Adam wa kwanza aliitwa kaini na wa pili aliitwa Habili na mama yao aliitwa Hawa (Eve).
 
Mtu wa kwanza kuumbwa Sijui alikuwa nani na jina lake sijui lilikuwa lipi,na wala sijui alitokea bara lipi. Ila binadam (bin Adam) yaani mtoto wa Adam wa kwanza aliitwa kaini na wa pili aliitwa Habili na mama yao aliitwa Hawa (Eve).
Unaweza kuthibitisha hayo ni kweli na si stories tu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom