Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,956
T
Scientific methods za kutafuta nini??, hizo ni scientific methods za kufanyia utafiti wa kisayansi na ndiyo maana kuna hypothesis hapo !!, hypothesis nini??.
Issack Newton alipotoa hypothesis ya Gravitational force (gf), he assumed the inverse square law,
F=GmM/r².
👆🏻Na yeye alipiga ramli??😁😁
Qur'an yenyewe haina assumptions wala hypothesis, bali inaanza na maneno 'sisi" kuonyesha majestic plural ya Allah pale anapoeleza jambo ambalo anatutaka tutafakari, sasa binadamu akajiwekea hizo methods unazoziita za kisayansi ili kuweza kustudy nature ambayo kaikuta imeshaumbwa na Mungu.
Hizo zinaitwa scientific method je muhamad wakati anatengeneza quran je alifata njia hizo?
Kama jawabu ni hapana quran haiwezi kuwa sayansi itakuwa muhamad alikuwa anapiga ramli
Scientific methods za kutafuta nini??, hizo ni scientific methods za kufanyia utafiti wa kisayansi na ndiyo maana kuna hypothesis hapo !!, hypothesis nini??.
Issack Newton alipotoa hypothesis ya Gravitational force (gf), he assumed the inverse square law,
F=GmM/r².
👆🏻Na yeye alipiga ramli??😁😁
Qur'an yenyewe haina assumptions wala hypothesis, bali inaanza na maneno 'sisi" kuonyesha majestic plural ya Allah pale anapoeleza jambo ambalo anatutaka tutafakari, sasa binadamu akajiwekea hizo methods unazoziita za kisayansi ili kuweza kustudy nature ambayo kaikuta imeshaumbwa na Mungu.