Astronomer The Great
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 978
- 576
Hapa Tanzania kuna waislamu wengi tu hawajui kuisoma quran kwa sababu imeandikwa kiarabu,
Yaan mtu anaona kiarabu ni lugha bora kushinda lugha nyingine
Kwani mungu alikuwa mwarabu mbona biblia inaandikwa kwa kiswahili? Kwanini quran waarabu wanakataa sasa sisi tuijuaje?