Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Ya Zurri kami saatal ulaa?

Naona unalikimbia hilo swali je

Sasa hivi saa ngapi?

Leo tarehe ngapi?

Leo siku gani?

Ukiweza kuyajibu hayo maswali nitakubali kuna watu duniani wanajua nini maana ya muda
 
Katika hadithi imekuja ya kuwa "Hakuna ugonjwa aliouleta Allah aliyejuu isipokuwa una dawa yake". Au kama alivyosema Rasul amani ya Allah iwe juu yake.

Na katika Qur'an Allah mlezi anasema "Kila nafsi itaonja umauti"

Ulimwengu unao ufikiria ungekuwa dhaifu na ndio maana yeye akaumba uwili. Hivi ongekuwaje leo kungekuwa na huzuni tu peke yake ?

Ingekuwaje leo kungekuwa na usiku tuu ?

Ingekuwaje leo kungekuwa na njaa tu.

Ukifikiria ujinga basi fikiria na elimu.

Ama kuhusu gharama sio tatizo kwake yeye,ndio tupo katika dunia ambayo maskini anaishi,maskini ana raha na kinyume chake na tupo katika dunia ambayo tajiri anaishi,tajiri ana huzuni na kinyume chake.

Hapo muhammad kaongopa kama wafuwasi wake walivyoongopa kule ethiopia kipindi wanafukuzwa makka

Kila ugonjwa na tiba yake

Tupe dawa ya
Ebola virus

Tupe dawa ya Hepatitis B na C virus

Tupe dawa ya Retro virdae virus
 
Zurri mungu hana lugha kwanini unakuwa kariri kiarabu ni lugha bora?

Kwan mungi ni mwarabu?

Mbona biblia imeandikwa kwa kiswahili kwanini warabu wanakataa hili kuna nini katika quran?


Kaka mimi singumzii hisia mimi nazungumzia elimu na ukweli na haki.

Mtume alipewa utume kwa lugha ya kiarabu kwa maana alikuwa na waarabu,ili ujumbe ufike kwa wepesi na kubainishwa vilivyo.

Qur'an imekuja na misamiati mingi ambayo waarabu walikuwa hawaijui,Qur'an imekuja kuleta maana mpya kwa maneno ya zamani ya waarabu.

Allah ameweka lugha tofauti toafauti ili watu husika wa wasiliane.

Katika taratibu za Allah ambazo hukuti zikibadilika na ndio ukamilifu wenyewe,akimteua mjumbe basi anampa mafunzo kwa lugha yake ili ujumbe uwafikie hadhira husika.

Kaka elimu ina maajabu yake,leo hii ni muhali wewe kutumia lugha ya kiswahili kuandika Qur'an au Hadithi,kwani huwezi kutosheleza maana iliyokusudiwa.

Kwahiyo wanazuoni wamekubaliana kutokana na hali hii,ili kuipa heshima yake Qur'an na Hadithi zikinukuliwa zinukuliwe kwa lugha yake ya asili na hii inakuepusha wewe kukosea katika kupotosha ujumbe jambo ambalo ni dhambi.

Kuna tofauti kati ya tafsiri na tarjama. Tafsiri ni kutoa maelezo kinaga ubaga juu ya kauli husika au tamko husika,na tarjama ni kutoa neno kwa neno toka lugha moja kwenda nyingine. Hapa kwenye tafsiri tumetume ruhusiwa kwa lugha yoyote uijuayo wewe kadhalika kwenye tarjama.

Umezungumzia au umeleta mfano wa Biblia,kitendo cha kusema "mbona...." hii ni njia moja ya kukata tamaa na kutaka huruma njia hii katika haki na elimu haitakiwi kinachotakiwa ni hoja.

Ukweli ni kwamba ni kila lugha inajitosheleza kwa watu wake,na kila lugha inachukua maneno kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine,hali hii haibadilishi ukweli juu ya ubora wa lugha wa kiarabu. Ubora wa lugha ya kiarabu unakuja katika uwezo wa kubainisha mambo,elimu zake na mengine mengi.

Maajabu ya elimu,tunaambiwa elimu haina mwenyewe bali elimu ina watu wake.


Narudi...........
 
Kaka mimi singumzii hisia mimi nazungumzia elimu na ukweli na haki.

Mtume alipewa utume kwa lugha ya kiarabu kwa maana alikuwa na waarabu,ili ujumbe ufike kwa wepesi na kubainishwa vilivyo.

Qur'an imekuja na misamiati mingi ambayo waarabu walikuwa hawaijui,Qur'an imekuja kuleta maana mpya kwa maneno ya zamani ya waarabu.

Allah ameweka lugha tofauti toafauti ili watu husika wa wasiliane.

Katika taratibu za Allah ambazo hukuti zikibadilika na ndio ukamilifu wenyewe,akimteua mjumbe basi anampa mafunzo kwa lugha yake ili ujumbe uwafikie hadhira husika.

Kaka elimu ina maajabu yake,leo hii ni muhali wewe kutumia lugha ya kiswahili kuandika Qur'an au Hadithi,kwani huwezi kutosheleza maana iliyokusudiwa.

Kwahiyo wanazuoni wamekubaliana kutokana na hali hii,ili kuipa heshima yake Qur'an na Hadithi zikinukuliwa zinukuliwe kwa lugha yake ya asili na hii inakuepusha wewe kukosea katika kupotosha ujumbe jambo ambalo ni dhambi.

Kuna tofauti kati ya tafsiri na tarjama. Tafsiri ni kutoa maelezo kinaga ubaga juu ya kauli husika au tamko husika,na tarjama ni kutoa neno kwa neno toka lugha moja kwenda nyingine. Hapa kwenye tafsiri tumetume ruhusiwa kwa lugha yoyote uijuayo wewe kadhalika kwenye tarjama.

Umezungumzia au umeleta mfano wa Biblia,kitendo cha kusema "mbona...." hii ni njia moja ya kukata tamaa na kutaka huruma njia hii katika haki na elimu haitakiwi kinachotakiwa ni hoja.

Ukweli ni kwamba ni kila lugha inajitosheleza kwa watu wake,na kila lugha inachukua maneno kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine,hali hii haibadilishi ukweli juu ya ubora wa lugha wa kiarabu. Ubora wa lugha ya kiarabu unakuja katika uwezo wa kubainisha mambo,elimu zake na mengine mengi.

Maajabu ya elimu,tunaambiwa elimu haina mwenyewe bali elimu ina watu wake.


Narudi...........

Kwa hiyo mungu wa biblia siyo mungu aliyeumba ulimwengu kama unvyokubali wewe?

Au kuna miungu mingapi walioumba?
 
Hapo muhammad kaongopa kama wafuwasi wake walivyoongopa kule ethiopia kipindi wanafukuzwa makka

Kila ugonjwa na tiba yake

Tupe dawa ya
Ebola virus

Tupe dawa ya Hepatitis B na C virus

Tupe dawa ya Retro virdae virus


Katika vitu ambavyo huwa sipendi kujadiliana na watu ni haya mambo ya dini,sababu nyie watu hamchelewi kumtukaa Mola wangu,bali hamchelewi kumtukana mtume wetu. Mtume amani ya Allah iwe juu yake haongei uongo sababu haongei kwa matakwa yake isipokuwa ni ufunuo kutoka kwa Mola wake. Uiendelea na hali ya utovu wa adabu kwa Mola wangu na mtume wetu,nitaacha kujadiliana na wewe kwa kulinda hashima na kuacha kwangu mimi kujadiliana na wewe kamwe hakubadilishi ukweli.

Allah anasema "Waulizeni wanao fahamu ikiwa nyinyi hamjui". Mimi sijui ni zipi dawa za hayo magonjwa ila ukiwauliza wanao fahamu watakujibu ni zipi dawa za hayo magonjwa.


Sasa kama wewe unataka kujua dawa za hayo magonjwa endelea kuwauliza wanao fahamu kama alivyotuambia Allah mtukufu.

Ni upi uongo aliousema Rasuli na wafuasi wake ?
 
Kwa hiyo mungu wa biblia siyo mungu aliyeumba ulimwengu kama unvyokubali wewe?

Au kuna miungu mingapi walioumba?


Umeuliza swali zuri sana,sina elimu kuhusu yale yaliyomo kwenye Biblia sababu siitambui Biblia kama ni kitabu cha Allah.

Vitabu ninavyo vitambua mimi ni Qur'an,Zaburi,Tawrati,Injili na kurasa za Ibrahimu na Musa.

Ukitaka nifikie hitimisho la Mola wangu kama ni yule yule wa Biblia,ni wajibu wako wewe uniambie huyo Mola wa Biblia ana sifa gani kisha nilinganishe na sifa za Mola wangu,nikiona ni kinyume ujue huyo sio Mola wangu mimi.

Sasa kama unaweza kunipa sifa za Mungu wa kwenye Biblia nipe ili niziweke kwenye mizani yangu kisha nitoe hitimisho.
 
Katika vitu ambavyo huwa sipendi kujadiliana na watu ni haya mambo ya dini,sababu nyie watu hamchelewi kumtukaa Mola wangu,bali hamchelewi kumtukana mtume wetu. Mtume amani ya Allah iwe juu yake haongei uongo sababu haongei kwa matakwa yake isipokuwa ni ufunuo kutoka kwa Mola wake. Uiendelea na hali ya utovu wa adabu kwa Mola wangu na mtume wetu,nitaacha kujadiliana na wewe kwa kulinda hashima na kuacha kwangu mimi kujadiliana na wewe kamwe hakubadilishi ukweli.

Allah anasema "Waulizeni wanao fahamu ikiwa nyinyi hamjui". Mimi sijui ni zipi dawa za hayo magonjwa ila ukiwauliza wanao fahamu watakujibu ni zipi dawa za hayo magonjwa.


Sasa kama wewe unataka kujua dawa za hayo magonjwa endelea kuwauliza wanao fahamu kama alivyotuambia Allah mtukufu.

Ni upi uongo aliousema Rasuli na wafuasi wake ?

Kabla sijakuonyesha huo uongo wa wafuwasi waliongopa ethiopia

Hayo magonjwa hayana wewe ndie umesema kuna dawa tunasubiri siwezi kuwauliza wengine wakati wewe umesema kila ugonjwa una dawa yake

Tupe dawa ya Ebola virus

Tupe dawa ya Hepatis B na C

Tupe dawa ya Retro virdae virus

Ukishindwa kutoa hizo dawa na kutaka wengine watafute hiyo kauli yako ya hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa ni ya uongo
 
Kabla sijakuonyesha huo uongo wa wafuwasi waliongopa ethiopia

Hayo magonjwa hayana wewe ndie umesema kuna dawa tunasubiri siwezi kuwauliza wengine wakati wewe umesema kila ugonjwa una dawa yake

Tupe dawa ya Ebola virus

Tupe dawa ya Hepatis B na C

Tupe dawa ya Retro virdae virus

Ukishindwa kutoa hizo dawa na kutaka wengine watafute hiyo kauli yako ya hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa ni ya uongo
Kaka mkubwa nimeandika kwa Kiswahili chepesi sana,kila kwenye mjuzi kuna mjuzi zaidi yake,mimi kusema sijui juu ya jambo fulani si aibu bali ni nusu ya elimu.

Kaka ukitaka mimi nikuletee hizo dawa wakati nimeshakiri sizijui kufanya hivyo ni kuikosea adabu elimu. Kaka wewe tenga muda kama kweli unataka kuzijua waulize wenye fani husika,ila mimi nimekupa msingi ya kuwa "HAKUNA UGONJWA USIO KUWA NA DAWA". Sasa wewe ni wajibu wak kuwatafuta wajuzi wa mambo ya tiba,sababu Allah hasemi uongo wala mtume wake kadhalika,nina uhakika hali wa shani utapata hizo DAWA.

Tusipende kupoteza muda katika mambo ambayo tayari tumeshaweka wazi.
 
Kwanini mungu wa biblia kakubali maandiko yake yaandikwe kwa lugha nyingine wakati mungu wa quran analazimisha maandiko yake yaandikwe kwa kiarabu peke yake?

Hapo ndipo kwenye tatizo
Unazungumzia kuandikwa kwa lugha nyengine au kutafsiriwa kwa lugha nyengine?
 
Kabla sijakuonyesha huo uongo wa wafuwasi waliongopa ethiopia

Hayo magonjwa hayana wewe ndie umesema kuna dawa tunasubiri siwezi kuwauliza wengine wakati wewe umesema kila ugonjwa una dawa yake

Tupe dawa ya Ebola virus

Tupe dawa ya Hepatis B na C

Tupe dawa ya Retro virdae virus

Ukishindwa kutoa hizo dawa na kutaka wengine watafute hiyo kauli yako ya hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa ni ya uongo
Hakuna dawa au hatujagundua dawa?
 
Umeuliza swali zuri sana,sina elimu kuhusu yale yaliyomo kwenye Biblia sababu siitambui Biblia kama ni kitabu cha Allah.

Vitabu ninavyo vitambua mimi ni Qur'an,Zaburi,Tawrati,Injili na kurasa za Ibrahimu na Musa.

Ukitaka nifikie hitimisho la Mola wangu kama ni yule yule wa Biblia,ni wajibu wako wewe uniambie huyo Mola wa Biblia ana sifa gani kisha nilinganishe na sifa za Mola wangu,nikiona ni kinyume ujue huyo sio Mola wangu mimi.

Sasa kama unaweza kunipa sifa za Mungu wa kwenye Biblia nipe ili niziweke kwenye mizani yangu kisha nitoe hitimisho.
Biblia sio kitabu cha Allah (kumbuka huyo Allah ana utata sana) uko sawa
Bibilia ni kitabu cha Jehovah
 
Kaka hujawahi niangusha kwenye hii mijadala.

Wakikujibu nitag ili nami nije nione majibu hayo.

Yakiridhisha nitasilimu leoleo ama nitaomba kabisa nikabatizwe kwenye maji mengi, palepale ilipozamia ferry ya MV Nyerere.
Sijaona majibu ya kueleweka, hata mimi nitafurahi sana nikiyaona, nikiyaona nitaku tag.
 
Wengi hawajui quran wanakariri kama nyimbo za bongo fleva na vile kiarabu hawajui ndio wanazidi kupotea ila ukibadilisha quran kwa lugha nyingine hakuna kitu inaparanganyika vibaya huitamani tena

Unaambiwa Allah kaziba mioyo yao na masikio yao, maono yao kayawekea pazia. Na hao wana hukumu kubwa.

Yani Aallah anakufanya usimjue, halafu anakuhukumu kwa sababu hujamjua!

Unaambiwa kitabu cha Mungu hicho.

Surah Al-Baqarah [2:7]


SAHIH INTERNATIONAL
Allah has set a seal upon their hearts and upon their hearing, and over their vision is a veil. And for them is a great punishment.
 
Katika hadithi imekuja ya kuwa "Hakuna ugonjwa aliouleta Allah aliyejuu isipokuwa una dawa yake". Au kama alivyosema Rasul amani ya Allah iwe juu yake.

Na katika Qur'an Allah mlezi anasema "Kila nafsi itaonja umauti"

Ulimwengu unao ufikiria ungekuwa dhaifu na ndio maana yeye akaumba uwili. Hivi ongekuwaje leo kungekuwa na huzuni tu peke yake ?

Ingekuwaje leo kungekuwa na usiku tuu ?

Ingekuwaje leo kungekuwa na njaa tu.

Ukifikiria ujinga basi fikiria na elimu.

Ama kuhusu gharama sio tatizo kwake yeye,ndio tupo katika dunia ambayo maskini anaishi,maskini ana raha na kinyume chake na tupo katika dunia ambayo tajiri anaishi,tajiri ana huzuni na kinyume chake.
Katika hadithi imekuja ya kuwa "Hakuna ugonjwa aliouleta Allah aliyejuu isipokuwa una dawa yake".ivyosema Rasul amani ya Allah iwe juu yake.

Na katika Qur'an Allah mlezi anasema "Kila nafsi itaonja umauti"

Ulimwengu unao ufikiria ungekuwa dhaifu na ndio maana yeye akaumba uwili. Hivi ongekuwaje leo kungekuwa na huzuni tu peke yake ?

Ingekuwaje leo kungekuwa na usiku tuu ?

Ingekuwaje leo kungekuwa na njaa tu.

Ukifikiria ujinga basi fikiria na elimu.

Ama kuhusu gharama sio tatizo kwake yeye,ndio tupo katika dunia ambayo maskini anaishi,maskini ana raha na kinyume chake na tupo katika dunia ambayo tajiri anaishi,tajiri ana huzuni na kinyume chake.
Unajua kuwa ulichojibu sicho nilichokuuliza na nilichokuuliza hujajijbu!?

Dawa ya ugonjwa kama malaria inajulikana ni malafin,Sp,Mseto,quinine n.k,

Na ukiizitumia, asilimia kubwa unaweza kupona.

Swali langu ni nini dawa ya ukimwi ambayo mtu akiitumia anapona?

Hujajibu swali hili.

Maandiko yenu yanawaaminisha kwamba huko peponi hakuna magonjwa,hakuna kufa na hakuna madhila yoyote.Yaani ni mwendo wa kukandamiza mabikira sabini tu,

Swali ni kwa nini hizo hadithi za kufikirika hakuziweka moja kwa moja hapa duniani?

Sitaki majibu ya ooh eti kawawekea mitihani.

Mungu wa kuweka magonjwa na tiba kwa waja wake halafu anajiita ana upendo wote ni dizaini ya mtu asiye na akili kabisa.
Na ili umuelewe inabidi kwanza uwe punguani waheed kama ulivyo wewe na wenzako wote.

Hivi hata kwa upendo wako kiduchu kwa wanao unaweza ukawajengea nyumba ya kulala kisha ukawawekea nyoka kibao ndani yake? Tukikuuliza mbona umewawekea hivyo wanao,jibu lako linakuwa sikuwawekea nyoka pekee bali na dawa ya nyoka nimewawekeamo ndani!!

Utaeleweka kweli!?

Huyu Allah wa akili hizi hana kazi zingine za kufanya zaidi ya huu ujinga!?
 
Unajua kuwa ulichojibu sicho nilichokuuliza na nilichokuuliza hujajijbu!?

Dawa ya ugonjwa kama malaria inajulikana ni malafin,SP,Mseto,quinine na kizitumia asilimia kubwa unapona.

Swali langu ni nini dawa ya ukimwi ambayo mtu akiitumia anapona?

Hujajibu swali hili.

Maandiko yenu yanawaaminisha kwamba huko peponi hakuna magonjwa,hakuna kufa na hakuna madhila yoyote.Yaani ni mwendo wa kukandamiza mabikira sabini tu,

Swali ni kwa nini hizo hadithi za kufikirika hakuziweka moja kwa moja hapa duniani?

Sitaki majibu ya ooh eti kawawekea mitihani.

Mungu wa kuweka magonjwa na tiba kwa waja wake halafu anajiita ana upendo wote ni dizaini ya mtu asiye na akili kabisa.
Na ili umuelewe inabidi kwanza uwe punguani waheed kama ulivyo wewe na wenzako wote.

Hivi hata kwa upendo wako kiduchu kwa wanao unaweza ukawajengea nyumba ya kulala kisha ukawawekea nyoka kibao ndani yake? Tukikuuliza mbona umewawekea hivyo wanao,jibu lako linakuwa sikuwawekea nyoka pekee bali na dawa ya nyoka nimewawekeamo ndani!!

Utaeleweka kweli!?

Huyu Allah wa akili hizi hana kazi zingine za kufanya zaidi ya huu ujinga!?


Kaka swali nimekujibu kitambo sana. Tatizo huwa hamsomi bali mnajidai mnasoma. Hivi ukiambiwa waulize wanao fahamu unataka jibu gani zaidi ya hilo ?

Bro ukiwauliza wajuzi wa tiba watakupa tiba ya ugonjwa wa ukimwi,mimo binafsi dawa ya ukimwi siijui,ila kutokuijua kwangu mimi haibadilishi kwamba dawa haipo.

Narudi katika nukta yako,Mola wetu ana sifa ya ukamilifu. Yaani sifa zake ni kamilifu. Unaonekana hujui kanuni za utoaji mifano,toa mifano katika hali au mambo yanayowiana sawia,upendo wa Allah aliyejuu ni tofauti na upendo wa binadamu. Sasa nasubiri ulete mfano maridhawa ili nikujibu swali lako.

Kaka naweza nikakupa hata miaka mia huwezi kuthibisha uongo wa kutokuwepo pepo,wala uongo wa sisi kupewa mabikira sabini na mfsnl wake zaidi ya madai na kulia lia.


Ama kuhusu hadithi,hapa pia natamani nicheke nicheke sababu huwezi kuonyesha kufikirika kwa hadithi hizo. Ila nakupa akiba,elimu ya hadithi ni ELIMU YA WANAUME HAWAIJUI ELIMU HIYO ISIPOKUWA WANAUME.

Ukirudi nataka uje kudhoofisha hadithi za kifikirika.
 
Unajua kuwa ulichojibu sicho nilichokuuliza na nilichokuuliza hujajijbu!?

Dawa ya ugonjwa kama malaria inajulikana ni malafin,Sp,Mseto,quinine n.k,

Na ukiizitumia, asilimia kubwa unaweza kupona.

Swali langu ni nini dawa ya ukimwi ambayo mtu akiitumia anapona?

Hujajibu swali hili.

Maandiko yenu yanawaaminisha kwamba huko peponi hakuna magonjwa,hakuna kufa na hakuna madhila yoyote.Yaani ni mwendo wa kukandamiza mabikira sabini tu,

Swali ni kwa nini hizo hadithi za kufikirika hakuziweka moja kwa moja hapa duniani?

Sitaki majibu ya ooh eti kawawekea mitihani.

Mungu wa kuweka magonjwa na tiba kwa waja wake halafu anajiita ana upendo wote ni dizaini ya mtu asiye na akili kabisa.
Na ili umuelewe inabidi kwanza uwe punguani waheed kama ulivyo wewe na wenzako wote.

Hivi hata kwa upendo wako kiduchu kwa wanao unaweza ukawajengea nyumba ya kulala kisha ukawawekea nyoka kibao ndani yake? Tukikuuliza mbona umewawekea hivyo wanao,jibu lako linakuwa sikuwawekea nyoka pekee bali na dawa ya nyoka nimewawekeamo ndani!!

Utaeleweka kweli!?

Huyu Allah wa akili hizi hana kazi zingine za kufanya zaidi ya huu ujinga!?

Nakukumbusha,ukipenda kuwauliza maswali wenzako na wewe upende kusikiliza na kujibu maswali ya wenzako,nimekuuliza maswali kadhaa hujajibu.
 
Kakanimekujibu kitambo sana. Tatizo huwa hamsomi bali mnajidai mnasoma. Hivi ukiambiwa waulize wanao fahamu unataka jibu gani zaidi ya hilo ?

Bro ukiwauliza wajuzi wa tiba watakupa tiba ya ugonjwa wa ukimwi,mimo binafsi dawa ya ukimwi siijui,ila kutokuijua kwangu mimi haibadilishi kwamba dawa haipo.

Narudi katika nukta yako,Mola wetu ana sifa ya ukamilifu. Yaani sifa zake ni kamilifu. Unaonekana hujui kanuni za utoaji mifano,toa mifano katika hali au mambo yanayowiana sawia,upendo wa Allah aliyejuu ni tofauti na upendo wa binadamu. Sasa nasubiri ulete mfano maridhawa ili nikujibu swali lako.

Kaka naweza nikakupa hata miaka mia huwezi kuthibisha uongo wa kutokuwepo pepo,wala uongo wa sisi kupewa mabikira sabini na mfsnl wake zaidi ya madai na kulia lia.


Ama kuhusu hadithi,hapa pia natamani nicheke nicheke sababu huwezi kuonyesha kufikirika kwa hadithi hizo. Ila nakupa akiba,elimu ya hadithi ni ELIMU YA WANAUME HAWAIJUI ELIMU HIYO ISIPOKUWA WANAUME.

Ukirudi nataka uje kudhoofisha hadithi za kifikirika.
Kuendelea kujibizana na mtu anayejibu vitu ambavyo sijauliza ni kupoteza muda tu.

Mojawapo ya mambo yanayoifanya Qur'an idharaulike ni huu uongo uliomo.

Yaani mtu na akili zako unaambiwa eti kila ugonjwa ameuweka Allah halafu na dawa yake, tumekuomba utuambie dawa ya ukimwi umeingia mitini.

Kwa nini usimuulize huyo Allah muweza yote akakupa jibu lake?

Mungu hayupo maana uwepo wake umegubikwa na makandokando mengi mno yanayojipinga menyewe.
 
Kuendelea kujibizana na mtu anayejibu vitu ambavyo sijauliza ni kupoteza muda tu.

Mojawapo ya mambo yanayoifanya Qur'an idharaulike ni huu uongo uliomo.

Yaani mtu na akili zako unaambiwa eti kila ugonjwa ameuweka Allah halafu na dawa yake, tumekuomba utuambie dawa ya ukimwi umeingia mitini.

Kwa nini usimuulize huyo Allah muweza yote akakupa jibu lake?

Mungu hayupo maana uwepo wake umegubikwa na makandokando mengi mno yanayojipinga menyewe.



Nacheka sana bro. Nyie watu hamuogopi hata kusema wazi. Nimekujibu swali lako kitambo na nimkujibu tena hivi punde.

Bro kwanza umeshauliza matatibu kama hakuna dawa ya ukimwi ?

Halafu Allah ameshaumba na akaweka wawakilishi wake hapa duniani kwa lengo la kutufafanulia maneno yake,sasa wewe ulivyokuwa na uwezo mdogo wa akili unataka niwe mjinga kama wewe nikujibu kama unavyotaka wewe.

Siwezi kukujibu kijinga kama unavyotaka wewe bro.

Hivi kweli kutomuelewa kwako Mola kwa hiari yako na ujinga wako ndio useme Allah hayupo ? Wakati wakati huo huo huthibitishi kutokuwepo kwake ? Huu ufikiriaji na ujinga nauna kwenu wakanamungu,ila kwangu mtatia akili tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom