Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,905
Kutokuona viashiria inakufanya wewe kutoamini Mungu kwa sababu haujaona cha kukufanya uamini,lakini wewe unasema hayupo yani unapinga dhana ya kuwepo kwake.Napinga hayupo kwakuwa sioni viashiria vya kuwepo kwake
Na wewe kwanini unakubali yupo?
Mfano chanzo cha huu ulimwengu ni moja kiashiria cha imani ya uwepo wa Mungu,kwa hivyo unapopinga dhana ya uwepo wa Mungu unakuwa unapinga vitu kama hivyo.