Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Nimemaliza kazi ya kukuonyesha kwamba huijui mantiki bali unajifaragua na msamiati upatikanao katika mantiki bila kuufanyia upembuzi yakinifu na mazingatio.
Wewe huijui mantiki wala shahada.

Kwa maana bila kuijua mantiki, huwezi kuijua shahada.

Na kwa hivyo, hata katika Waislamu haupo.

Kwa sababu huwezi kuwa Muislamu bila kuijua shahada.

Siyo tu huelewi kwamba Mungu hayupo.

Bali, hata huyo Mungu unayemsema yupo humuelewi wala kumkubali kwamba yupo.

Utamkubali vipi bila mantiki? Na wewe unaita mantiki ujinga?

Uanaita kumkubali Mungu wako mjinga.

Unaita shahada ujinga.
 
Wewe huijui mantiki wala shahada.

Kwa maana bila kuijua mantiki, huwezi kuijua shahada.

Na kwa hivyo, hata katika Waislamu haupo.

Kwa sababu huwezi kuwa Muislamu bila kuijua shahada.
Bro lile swali la hitimisho la kimantiki huwezi kulijibu sababu nimeutikisa msingi wa mantiki. Msingi ambao jengo zima la elimu ya mantiki limeegemea hapo.


Na wewe katika swali lile ima ukanushe ili kujilinda na kukanusha kwako ndio unaangusha jengo zima la mantiki.

HUWA SIITIKI MPAKA NIITWE BRO....!
 
Bro lile swali la hitimisho la kimantiki huwezi kulijibu sababu nimeutikisa msingi wa mantiki. Msingi ambao jengo zima la elimu ya mantiki limeegemea hapo.


Na wewe katika swali lile ima ukanushe ili kujilinda na kukanusha kwako ndio unaangusha jengo zima la mantiki.

HUWA SIITIKI MPAKA NIITWE BRO....!
Wewe hujui mantiki, hujui shahada, hujui Uislamu.

Na kwa kukataa mantiki, hujui hata kujua ni nini.
 
Ndiyo.

Kwa sababu hayupo.
Ni wewe ndiye unasema hayupo,unaelewa kwanza hapo? Halafu tena wewe mwenyewe unafunga mjadala (baada ya kujiridhisha mwenyewe binafsi) kuwa kwa sababu hayupo basi haiwezekani kuthibitisha,basi umemaliza.

Unasema hakuna Mungu bila ya uthibitisho,ajabu ukiambiwa hivi unakataa.
 
shetani si alishafungwa kuzimu jamani huyu alieleta uzi katokea wapi tena..?
 
Vipi, Astronomer ??, mimi ndiye wakati fulani niliuliza hilo swali dini ni nini?? Sasa badala ya kunijibu unanirudishia hilo swali mimi tena!!.

Unatakiwa unijibu, lakini sii kwa msingi wa ile sehemu ya aya:-

لا إكراه في الدين ( laa ikraha fii ddiin).
ambayo umeshindwa kuielewa. [emoji851][emoji851]

Unajua maana ya tamko "Tafsiri" ?[/QUOTE]



Kwa kiswahili sitaweza kufafanua, hivyo ninaomba niandike kwa kiingereza (niwie radhi kwa hilo).

Maelezo=commentary.
Tafsiri=Translation.

Naomba nieleze jambo moja la muhimu hapa, neno tafsiri (Tafsir) ni neno la kiarabu na katika lugha hiyo huwa lina maana sawa na neno la kiingereza "commentary" (maelezo) hivyo basi jinsi neno tafsiri linavyotumika katika kiarabu ni tofauti jinsi linavyotumika katika kiswahili.

Labda neno jingine ni:- ufafanuzi=interpretation.
 
Unakubali huijui Quran kwanza nikuoneshe?

Wengi hawajui quran wanakariri kama nyimbo za bongo fleva na vile kiarabu hawajui ndio wanazidi kupotea ila ukibadilisha quran kwa lugha nyingine hakuna kitu inaparanganyika vibaya huitamani tena
 
Swali kama hili nilikujibu jana. Kwamba Mola ameumba kila ugonjwa na dawa yake,tafuta dawa ya ugonjwa wa akili utaipata ujitibu,hakuna tatizo hapo.
Dawa ya Ukimwi ni ipi?

Na kwa nini aweke magonjwa ilihali mengine tu tiba zake ni gharama mno kiasi cha watu maskini kujifia kwa kushindwa Ku afford?

Kwa nini hakuumba Ulimwengu usiowezekana kuwa na magonjwa?
 
Hapo umetafsiri sijakuambia unipe tafsiri

Naomba maelzo ya dini sitaki tafsiri

Uliniuliza kama nina dini mi nikakujibu inaonekana hujui maana ya dini kama ungekuwa unajua usingeuliza kama mm nina dini

Ya akhii Mokaze uriidu an as aluka?

Nini maana ya dini?
 
Suala la muda nilishalimaliza kitambo,kwa nyie kushindwa swali langu nililo wauliza kuhusu muda ulianza lini.

Ushahidi wa muda upo katika Qur'an na nilishatoa ishara juu ya muda na kazi zake.

Sasa labda kama uwe hujaelewa au una jipya.

Kinda Kiranga katika mawanda ya kielimu alichemka swali hili,a sikumbuki kama nilishawahi kumuuliza swali akajibu swali langu hata moja.

Narudi............!

Unaota kweupe yaan unatumia quran kuelezea muda

Nikuonyeshe hiyo quran yako na wewe mwenyewe wote hamjui muda nini?

Leo siku gani na tarehe ngapi?
 
Kaka hapo sijakudharau bali nimekupa haki yako.

Kaka hakuna binadamu aliyeumbwa anajua,wala binadamu aliyeumbwa mpumbavu,wala mjinga,haya ni matokeo,ingekuwa binadamu anaumbwa anajua basi wa mwanzo wao wamgeumbwa mitume wanajua,lakini mitume walifunzwa. Sasa usijilize na kutafuta kichaka.

Kaka unaonekana hauko makini na mipaka ya kielimu,laiti ungejua uzito wa elimu usingeeendelea kupuuza nasaha nilizokupa.

Kaka,naona unaikosea Qur'an na watu hicho ni kitabu ninacho kiamini na hakina shaka ndani yake.

Umemalizia aya kwa kurudia makosa vile vile,kaka kiheshimu kitabu haki.

Zurri mungu hana lugha kwanini unakuwa kariri kiarabu ni lugha bora?

Kwan mungi ni mwarabu?

Mbona biblia imeandikwa kwa kiswahili kwanini warabu wanakataa hili kuna nini katika quran?
 
Magu alisema wale walioimba 'wana imani na nani sijui' angewatimua wote siku hiyo hiyo... Mimi nasema kama ningelikuwa Mungu pindi tu kidole chako kinabonyeza kitufe cha kupost hapo hapo ningekugeuza senene!!

Unafanya dhihaka kama hizi na bado uko hai! Aisee Mungu ana uvumilivu wa hali ya juu sana... Mwacheni Mungu aitwe Mungu!!
Huyo Jamaa anacheza na maisha, hii Oxygen pekee angejua kwamba tunavuta tu bure, hakuna bill, tunagekuwa tunalipia ingekuwaje ?, nimpe pole Charmilton
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom