Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Hahaha,bro nakutesa sana,leta hitimisho la kimantiki katika shahada bro.
Ukishatumia "na" "au" "isipokuwa" ushatumia mantiki.

Ila inawezekana hujui hilotu, ndiyo maana unaipinga mantikiwakati hapo hapo unaitumia.
 
Ukishatumia "na" "au" "isipokuwa" ushatumia mantiki.

Ila inawezekana hujui hilotu, ndiyo maana unaipinga mantikiwakati hapo hapo unaitumia.
Swali langu nimekwambia hivi,leta hitimisho la kimantiki katika shahada,au huwa mnajadili tu "na", "au", "isipokuwa" bila kuleta hitimisho kwa jambo mnalolijadili ?

Ukipinga hilo utakuwa unaikana elimu ya mantiki wazi wazi.
 
Maswali yako yote 10 ambayo ulidai ndio yanayokupelekea usiamini uwepo wa Mungu nimekujibu kiufasaha zaidi.

Unataka upi zaidi,nimekuuliza unataka kumuona kwa macho umegoma.
Hujajibu kw aufasaha hata moja, umejibu kwa kukosa werevu.

Majibu yako yamezidi kuonesha kwamba huyo Mungu unayemsema humjui, na hivyo vitabu unavyosema ni vya Mungu hujavisoma kwa kina.

Ndiyo maana nimekuuliza inakuwaje Mungu mwingi wa rehema na upendo awazibe watu mioyo wasimjue, halafu awahukumu kw akutomjua, hujanijibu.
 
Hujajibu kw aufasaha hata moja, umejibu kwa kukosa werevu.

Majibu yako yamezidi kuonesha kwamba huyo Mungu unayemsema humjui, na hivyo vitabu unavyosema ni vya Mungu hujavisoma kwa kina.

Ndiyo maana nimekuuliza inakuwaje Mungu mwingi wa rehema na upendo awazibe watu mioyo wasimjue, halafu awahukumu kw akutomjua, hujanijibu.
Nioneshe wapi Mungu amesema maneno hayo.
 
Dini= Religion =دين

Hapo umetafsiri sijakuambia unipe tafsiri

Naomba maelzo ya dini sitaki tafsiri[/QUOTE]



Vipi, Astronomer ??, mimi ndiye wakati fulani niliuliza hilo swali dini ni nini?? Sasa badala ya kunijibu unanirudishia hilo swali mimi tena!!.

Unatakiwa unijibu, lakini sii kwa msingi wa ile sehemu ya aya:-

لا إكراه في الدين ( laa ikraha fii ddiin).
ambayo umeshindwa kuielewa. 🤓🤓
 
Hapo umetafsiri sijakuambia unipe tafsiri

Naomba maelzo ya dini sitaki tafsiri



Vipi, Astronomer ??, mimi ndiye wakati fulani niliuliza hilo swali dini ni nini?? Sasa badala ya kunijibu unanirudishia hilo swali mimi tena!!.

Unatakiwa unijibu, lakini sii kwa msingi wa ile sehemu ya aya:-

لا إكراه في الدين ( laa ikraha fii ddiin).
ambayo umeshindwa kuielewa. [emoji851][emoji851][/QUOTE]
Unajua maana ya tamko tafsiri ?
 
Hapo umetafsiri sijakuambia unipe tafsiri

Naomba maelzo ya dini sitaki tafsiri



Vipi, Astronomer ??, mimi ndiye wakati fulani niliuliza hilo swali dini ni nini?? Sasa badala ya kunijibu unanirudishia hilo swali mimi tena!!.

Unatakiwa unijibu, lakini sii kwa msingi wa ile sehemu ya aya:-

لا إكراه في الدين ( laa ikraha fii ddiin).
ambayo umeshindwa kuielewa. [emoji851][emoji851][/QUOTE]

Unajua maana ya tamko "Tafsiri" ?
 
Umemaliza kazi ya kuonesha huwezi kuthibitisha Mungu yupo.
Nimemaliza kazi ya kukuonyesha kwamba huijui mantiki bali unajifaragua na msamiati upatikanao katika mantiki bila kuufanyia upembuzi yakinifu na mazingatio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom