Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Bro una matatizo sikufichi,wewe ni hujui halafu unajidai unajua,wewe ni wa kuachwa kwani unaingia katika kundi la WAPUMBAVU.

Umenukuu hadithi ambayo ukiisoma kwa maandishi yako unakosea,sehemu ya 'ayni unaweka hamzatul qatwi'i,sasa mtu kama wewe sina muda wa kupoteza na wewe,maana nikiendelea kujibizana na wewe kwanza sifaidiki chochote yaani sipati kitu cha kujifunza kutoka kwako,pili utazidi kupata madhambi tu.


Ahsante kwa kujiona wewe upo katika wenye kujua hapo inaonyesha mungu hayupo, mungu mwenye busara na hekima kwanini anaumba wapumbavu na werevu ? Mbona hana fair

Maneno yako yamejaa shari ila kwasisi waungwana hatuwezi kukudharau wala kukutoa kasoro hata ukosee vipi ila sisi huwa tunasema

"Faidhaa khatwaba humul jahiiluuna qaluu salama"
 
Kwanini unakimbilia kutaka kujua mafundisho ya Mungu na kuacha point ya msingi ya dhana ya kuwepo kwake?

Unaruka hoja ya msingi ya dhana ya kuwepo Mungu halafu unataka nikutajie jina la aina ya huyo Mungu wakati hatujajadili kabisa kwa vp kuna hiyo dhana?

Sasa nitajuaje kama huyo mungu yupo?

Bila ya kutaka kujua mafundisho yake au jina lake au chochote chenye kusapoti kama yeye yupo na si watu wamemtunga?
 
Ustadhi Zurri unanikimbia katka hoja ya muda me nimekuambia hakuna anayejua maana ya muda katka dunia ya leo

Nasikitika wewe unapotaka kujua muda nini?
 
Kwanza unapaswa kufahamu kwamba hatuwezi kuwa na majibu kwa kila swali ambalo mtu anajisikia kuuliza kwa sababu Mungu si kama gari iliyoundwa na binaadamu kwamba huyo muundaji wa gari anajua kila kitu kuhusu hiyo gari kwa sababu yeye ndiye aliyeiunda.

Sasa mtu kama wewe ambaye umekulia kwenye imani ya kuamini Mungu lakini hadi sasa wewe mwenyewe hujaona sababu yeyote yenye kukufikirisha kuwepo Mungu,je unadhani hayo maswali ndio yataweza kukufanya ujue msingi wa hii imani ya uwepo wa Mungu?

Mfano muulizaje wa hayo maswali anapinga uwepo wa Mungu ila anauliza mambo ya kuhusu shetani na ahadi za Mungu,kitu ambacho hata akijibiwa na akaridhika hayo majibu hayatafanya yeye aamini Mungu,kwa sababu hakubali dhana ya kuwepo kwake yani haoni lolote lenye kumfanya afikiri hivyo.
Mtu asiyeamini ana haki ya kupewa vithibitisho ili aweze kuamini kuwa jambo fulani lipo.

Sasa inakuwaje mnaotetea mnaongea tu maneno mengi ambayo hayana facts ndani yake?

Hamuoni kama mnapoteza muda kutetea jambo ambalo hamuwezi kulithibitisha?

Hamuoni kuwa mmedandia tu gari mkaambiwa kuwa hili linaelekea mbinguni kwa Mungu mkapewa sifa kedekede za kupendeza na kupewa vitisho vingi pia vilivyo obscure your capacity to think out of the box kwa kuwa induced na fear kuwa utakufuru?

Nani aliewahi kumwona Mungu au kufika mbinguni/motoni/peponi/ahera n.k akaleta mrejesho wa hayo yote?

Jibu ni kuwa hakuna. Na kama upo ushahidi tunaomba hapa ili nasisi tuamini.
 
Bro una matatizo sikufichi,wewe ni hujui halafu unajidai unajua,wewe ni wa kuachwa kwani unaingia katika kundi la WAPUMBAVU.

Umenukuu hadithi ambayo ukiisoma kwa maandishi yako unakosea,sehemu ya 'ayni unaweka hamzatul qatwi'i,sasa mtu kama wewe sina muda wa kupoteza na wewe,maana nikiendelea kujibizana na wewe kwanza sifaidiki chochote yaani sipati kitu cha kujifunza kutoka kwako,pili utazidi kupata madhambi tu.
Kama ana matatizo, hajui, ni mpumbavu kweli.

Hilo nalo ni ushahidi kwamba Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao unaweza kuwa na viumbe wake wenye upumbavu.
 
Logical Consistency kama ipi?
Kama vile habari iliyonyooka isiyoweza kujipinga yenyewe.

Siyo maelezo ya Mungu hapa unaambiwa Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote na haki yote.

Halafu pale unaambiwa Mungu kakasirika, kafanya gharikaimeua vitoto na vizee, vinyama visivyo na hatia, kwa makosa ya watu fulani tu.

Huyo Mungu wa kuua watu kiujumla kwa gharika hana upendo, haki, walahuruma, utasemaje ndiye Mungu yule yule mwenye rehema kuu, upendo mkuu, uwezo mkuu, ujuzi mkuu.

Hapo ukichunguza utaona hii ni hadithi tu imetungwa na watu.

Mungu huyo hayupo.

Sasa kama unatakakuthibitisha Mungu yupo, ulete habariiliyonyooka, si vihadithi hadithi vinavyojipinga pinga vyewnyewe kijinga.
 
Sasa bro mbona unajifanya hujui aisee. Hivi unataka kuniambia hujui madhaifu ya logic mpaka utake kuthibitishiwa kwa logic ?


Huwa nasema hivi nyinyi mmenyimwa misingi ndio maana hata utambuzi wa mambo hamna.
Unajua kwamba ukishaanza kuchambua habari za madhaifu ya logic, ushatumia logic hapo hapo?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Sasa nitajuaje kama huyo mungu yupo?

Bila ya kutaka kujua mafundisho yake au jina lake au chochote chenye kusapoti kama yeye yupo na si watu wamemtunga?
Hayo maelezo ya kuhusu jina na mafundisho hupatikana kwenye dini,lakini kuna watu wanakubali uwepo wa Mungu tu ila hawaamini dini. Watu hawa hauwezi kuwauliza kuhusu jina wala mafundisho ya Mungu.

Masuala ya jina lipi na mafundisho yapi ndio ya Mungu? ni mambo ambayo hata watu wa dini hutofautiana lakini wote pamoja hukubali uwepo wa Mungu.

Sasa wewe ambaye hauamini dini na unapinga uwepo wa Mungu ndiyo unataka tujadili jina na mafundisho ya Mungu!!

Labda sasa nikuulize wewe kwanini unapinga kuwepo Mungu?
 
Kama vile habari iliyonyooka isiyoweza kujipinga yenyewe.

Siyo maelezo ya Mungu hapa unaambiwa Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote na haki yote.

Halafu pale unaambiwa Mungu kakasirika, kafanya gharikaimeua vitoto na vizee, vinyama visivyo na hatia, kwa makosa ya watu fulani tu.

Huyo Mungu wa kuua watu kiujumla kwa gharika hana upendo, haki, walahuruma, utasemaje ndiye Mungu yule yule mwenye rehema kuu, upendo mkuu, uwezo mkuu, ujuzi mkuu.

Hapo ukichunguza utaona hii ni hadithi tu imetungwa na watu.

Mungu huyo hayupo.

Sasa kama unatakakuthibitisha Mungu yupo, ulete habariiliyonyooka, si vihadithi hadithi vinavyojipinga pinga vyewnyewe kijinga.
Kwa hiyo huamini kama kuna Mungu kisa watu wanakufa?

Kwani hujui kwamba kila mmoja atakufa nikiwemo mimi na wewe?
 
Kwa hiyo huamini kama kuna Mungu kisa watu wanakufa?

Kwani hujui kwamba kila mmoja atakufa nikiwemo mimi na wewe?
Siyo kwamba siamini kuwa kuna Mungu kwa sababu watu wanakufa.

Sikubali uwepo wa Mungu kwa sababu ulimwengu ambao watu wanakufa hayko logically consistent na ulimwengu ulioumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezowote na upendo wote.

Ni sawa na uniambie kuna baba mzuri sana, ana uwezo wote, ujuziwote,upendo wote,anazalisha wanawe weengi, halafu badalaya kuwalinda wasife, anawaua.

Watoto wanalia, hawatakikufa,wanaomba sana wasife, hawatakikutenganishwa na ndugu zao, wanataka waishi wafurahie maisha, wanataka kumaliza kazi zao etc.

Lakinihuyu baba yao mwenye mapenzi sana anawaua tu, bila huruma

Hapo kuna contradiction.

Kwa nini huyu baba anawaua watotowake mwenyewe anaowapenda wakatiana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuwalinda wasife?
 
Hayo maelezo ya kuhusu jina na mafundisho hupatikana kwenye dini,lakini kuna watu wanakubali uwepo wa Mungu tu ila hawaamini dini. Watu hawa hauwezi kuwauliza kuhusu jina wala mafundisho ya Mungu.

Masuala ya jina lipi na mafundisho yapi ndio ya Mungu? ni mambo ambayo hata watu wa dini hutofautiana lakini wote pamoja hukubali uwepo wa Mungu.

Sasa wewe ambaye hauamini dini na unapinga uwepo wa Mungu ndiyo unataka tujadili jina na mafundisho ya Mungu!!

Labda sasa nikuulize wewe kwanini unapinga kuwepo Mungu?

Napinga hayupo kwakuwa sioni viashiria vya kuwepo kwake

Na wewe kwanini unakubali yupo?
 
Ndio ,unataka kumuona nikuoneshe?
Kumuona hata Morgan Freeman alishawahiku act movie kama Mungu.

Unaweza kunionesha Morgan Freeman ka act kama Mungu, ukasema huyu hapa Mungu.

Utakuwa hujathibitisha, kuona si kuthibitisha.

Unaweza kwenda jangwani ukaona mirage kwa mbalikuna chemchemi ya maji, ukakimbilia unywemaji, ukakuta hakuna maji, kuna mchanga tu.

Ni mauzauza tu.

Kwa hiyo, kuona kitu si kuthibitisha kipo.

Unaweza kuona nyekundu, kumbe nyeusi, karata tatu.

Abracadabra.

Thibitisha Mungu yupo kwa njiailiyo logically consistent, isiyona contradiction, inayosimama kimantiki na kwa fact.
 
Kumuona hata Morgan Freeman alishawahiku act movie kama Mungu.

Unaweza kunionesha Morgan Freeman ka act kama Mungu, ukasema huyu hapa Mungu.

Utakuwa hujathibitisha, kuona si kuthibitisha.

Unaweza kwenda jangwani ukaona mirage kwa mbalikuna chemchemi ya maji, ukakimbilia unywemaji, ukakuta hakuna maji, kuna mchanga tu.

Ni mauzauza tu.

Kwa hiyo, kuona kitu si kuthibitisha kipo.

Unaweza kuona nyekundu, kumbe nyeusi, karata tatu.

Abracadabra.

Thibitisha Mungu yupo kwa njiailiyo logically consistent, isiyona contradiction, inayosimama kimantiki na kwa fact.
Nipe logic yoyote inayoonesha Mungu hayupo.
 
Mtu asiyeamini ana haki ya kupewa vithibitisho ili aweze kuamini kuwa jambo fulani lipo.

Sasa inakuwaje mnaotetea mnaongea tu maneno mengi ambayo hayana facts ndani yake?

Hamuoni kama mnapoteza muda kutetea jambo ambalo hamuwezi kulithibitisha?

Hamuoni kuwa mmedandia tu gari mkaambiwa kuwa hili linaelekea mbinguni kwa Mungu mkapewa sifa kedekede za kupendeza na kupewa vitisho vingi pia vilivyo obscure your capacity to think out of the box kwa kuwa induced na fear kuwa utakufuru?

Nani aliewahi kumwona Mungu au kufika mbinguni/motoni/peponi/ahera n.k akaleta mrejesho wa hayo yote?

Jibu ni kuwa hakuna. Na kama upo ushahidi tunaomba hapa ili nasisi tuamini.
Kumbuka hapa kuna pande mbili,kuna wanaoamini uwepo wa Mungu na kuna wanaosema hakuna Mungu.

Toka ulivyoanza kusoma huu uzi ni hoja gani ambayo umeona ina uthibitisho wa kutokuwepo Mungu yenye kutolewa na wanaosema hakuna Mungu ili kutetea msimamo wao? Kwa sababu pande zote mbili kila mmoja ana madai tofauti na mwenzake.

Kwa sababu kutokuamini Mungu na kusema kabisa hakuna Mungu,hivi ni vitu viwili tofauti,maana wapo watu ambao hawaamini Mungu ila hawasemi hakuna Mungu,sasa hawa wenzetu wao sio tu hawaamini bali wameweza kujua kuwa hayupo?

Nafikiri maswali unayotaka kujibiwa hata hawa wapinga Mungu wanaweza kujibu,kwa sababu inawezekana wamesearch kote na wakathibitisha kuwa hayupo.
 
Wadau tusimbeze tunapaswa kujibu hoja zake.

1. Mungu kumuumba shetani.
Majibu: Mungu hajawahi kuumba kitu kinachoitwa shetani. Na wala shetani si kiumbe Bali ni mawazo maovu yaliyomo ndani ya MTU binafsi.

2. Mungu kuishi Mafichoni.
Majibu: Mungu anakaa kwenye utukufu wake ambao mwanadamu mwenye nyama hawezi kuuingia pasipo transformation. Yeye ni Roho. Macho yetu ya nyama hayawezi kuiona Roho mpaka na we we use na hali ya Roho.

Mungu alijua kwamba kuna wanadamu wanatamani kumuona, hivyo, aliamua kuchukua hali ya mwili na akaja akakaa na watu. Ndipo alipoitwa EMANUEL yaani, Mungu Aliyekuja kuishi na wanadamu katika mwili, yaani YESU.

Msingi wa kuuliza swali la kutomuona Mungu unatokana na ulichoaminishwa awali kuhusu hali ya Mungu na namna unavyomuelewa Yesu Kristo. Hoja ya kutaka kumuona Mungu ilitolewa piabna Filipo mmoja was wanafunzi wa Yesu wakati bado Yesu yuko duniani (Yoh 14:7-9). Hivyo Leo no hoja ya marudio tu.

3. Mafuriko ya Wakati was Nuhu
Majibu: Lazima ukumbuke kabla ya gharika lilitolewa tangazo LA watu kuingia kwenye safina. Walikataa kwa hiari yao. Waliangamia. Vizazi vya baadaye vikaamua tena kuasi japo vilielezwa matokeo ya kuasi kwao. Hata Leo ndivyo ilivyo.


4. Safari ya Wana wa Israel.
Majibu: Hivyo nchi unayoisema hapo kabla ilikuwa ya nani? Mfano Kaanani in mtoto wa Hamu ambaye naye ni mtoto wa Nuhu. Maana yske kuna mataifa mengine yakikalia maeneo yasiyo yao kwa nguvu ambayo yalipaswa kuondolewa.

Yalikalia maeneo hayo baada ya Wana wa Israel kukaa utumwani Misri miaka 430.

5.Kutotimiza Ahadi kwa Abraham.
Majibu: Mbona yanaendelea kutimia? Uzao wa Ibrahimu ni wa kiroho zaidi (Galatia 3:26-29). Yaani, Wakristo wote changanya na Waebrania wote hao wanaendelea kuongezeka kila siku.

6.Kuwepo kwa mzio.
Majibu: Mungu aliumba kila kitu chema (Mwanzo 1:31). Mzio huletwa na uchafuzi wa mazingira kiasi kwamba baadhi ya tunavyovila vimeharibiwa asili yake (organic)

Leo kuna jitihada kubwa ya kutamani kutumia vitu vya asili maarufu kwa kampeni iitwayo " Turejee Edeni.."

7. Majanga Asilia
Majibu: Mungu alisema sitaangamiza tena dunia kwa maji. Hivyo mafuriko, vimbunga na mateteneko mengi ni kwa sababu ya mabadilko ya tabia nchi kwa sababu ya shughuli za kibinadamu.

8. Mungu kuumbaViumbe hatarishi.
Majibu: Mungu alimuumba fisi awe mzoa taka za mizoga msituni (scavenger) lakini binadamu wamemgeuza usafiri wa mambo ya kichawi. Kama kila alichokiumba Mungu kilikuwa chema maana yake kila kilichounbwa kulikuwa na utaratibu wake wa kufuatwa ambao binadamu tumeuacha. Maana tuliumbwa mwishoni ili tuvitawale na kuvitiisha siyo kuviogopa.

9. Jehanamu na moto wake.
Majibu. Kama vile we we usivyozihitaji taka nyumbani kwako ndivyo na Mungu asivyowataka wanaoamua kuendekea kutenda maovu. Leo amewapa muda wa kutubu. Wasipofanya hivyo, kwenye hukumu hatawahitaji kama vile wewe usivyohitaji taka taka na kuzichoma. Jehanamu ni kwa ajili ya shetani na malaika zake (Mathayo 25:41-42). Ikiwa binadamu ataamua kuyafuata mawazo ya uovu anakuwa amechagua kupelekwa huko.

10. Kasoro kwenye mwili wa binadamu.
Majibu: Ulemavu una sababu nyingi, Ulemavu ambao ni kwa utukufu wake Mungu, huponywa Wakati wa maombezi. Mwingine ni kwa sababu za kibinadamu.

Mzazi anayetumia madawa ya kulevya kisha akapata ujauzito unategemea mtoto atakuwa mzima kiafya ? Jibu ni hapana.

Ahsante.
 
Nipe logic yoyote inayoonesha Mungu hayupo.
Nimeshatoa naona ama hujaielewa au hujaikubali.

Hivyo inabidi nikuulize, nijue vipimo vyako, kabla ya kukujibu.

Isije kuwa wewe unasema nikupe gunia la mkaa, katika mawazo yako gunia ni lile la kilo 100 tu, nikakupa la kilo 50, ukasema hili si gunia, ni nusu gunia.

Logic itakayokuonesha mpaka ukubali kwamba hakuna Mungu inatakiwa iweje?
 
Msingi wa dhana ya uwepo wa Mungu ni kifo?
Kifo ni moja ya hali inayowafanya watu kuamini kuwa kuna Mungu. Na hususani hali ya kutokujua mtu anakufa link. Ndio maana wanasema ni Dumbo, hatujui simu wala saa. Mungu pekee ndiye anayejua.
 
Kifo ni moja ya hali inayowafanya watu kuamini kuwa kuna Mungu. Na hususani hali ya kutokujua mtu anakufa link. Ndio maana wanasema ni Dumbo, hatujui simu wala saa. Mungu pekee ndiye anayejua.
Lakini kiukweli na kimantiki, kifo kinaonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, haki yote na upendo wote hayupo.
 
Back
Top Bottom