Hapo umetafsiri sijakuambia unipe tafsiri
Naomba maelzo ya dini sitaki tafsiri[/QUOTE]
Eti unaomba (definition) maelezo ya (neno) "dini" . sasa hayo maelezo niyatoe wapi ilhali wewe hukubali uwepo wa Mungu ndiyo maana nikasema wewe utakuwa na dini yako ya kipagani na miungu yako ya bandia, na unatakiwa wewe mwenyewe utoe definition ya dini kulingana na dini yako ya kipagani.
Wewe mwanzoni mwa moja ya post zako ulinukuu sehemu ya aya ya Qur'an (2:256) inayosema:-
لا إكراه في الدين قد تبين الرشد من الغى فمن يكفر بالطغوت و يومن بالله فقد استمسك بالعدوة---------
Yaani:- "Hakuna shuruti (kulazimisha/mabavu/karaha) katika dini (ya kiislamu) , hakika haki imebainika kutokana na uovu/makosa , na yeyote akataaye kuongozwa na waovu na akamuamini Allah hakika ameshika kishiko madhubuti-----"
👆🏻Hiyo aya inazungumzia hakuna karaha katika dini ya Uislamu tu wala haizungumzii juu ya dini zingine na hakuna karaha kwa sababu haki imekwisha bainika katika upotevu kwahiyo mtu anayo hiyari kuifuata haki au kuikataa bila kulazimishwa , yaani mafundisho ya Qur'ani ni haki tupu na mtu akiyasoma kwa mazingatio basi ataiona haki bila kulazimishwa basi akikubali au kuikataa hiyo ni up to him/her full stop.
Nimesema dini iliyotajwa hapo ni dini ya Islamu kwa sababu neno la kiarabu lilotumika katika hiyo aya kwa maana umaalum ni " al ", (definite article) kwa kiingereza hiyo ni "the" inayo "specify" kitu.(الدين) au akichambua herufi mojamoja ni:-
ا ل د ي ن
Na ndiyo maana kwa mara ya kwanza uliponuukuu hiyo sehemu ya hiyo aya nikakuuliza je wewe unamuamini Allah?, kwa sababu ukiangalia maneno yanayoendelea mbele kwenye hiyo aya yanasema:-
Wa yuminu billahi faqadi astamsaka bilug'dwati'. Yaani:-
na anayemuamini ALLAH kwa hakika ameshika kishiko madhubuti.
Hivyo basi unaponukuu aya za Qur'an na ukataka zitete imani yako ya "Agnostic atheism" ni sawa na kutengeneza kamba bila kujua kwamba kamba hiyo itatumika kukunyonga wewe mwenyewe hapo baadaye.😁😁😁