Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,221
- 57
Kuna data zaidi nimepata... Lakini mhhh!
Sikuelewi na hiyo mmhhhhhh... ziweke hapa tujadili, au ushatekwa na mafisadi mzee??
Kuna data zaidi nimepata... Lakini mhhh!
EEH KWELI HALI NI YA HATARI
TUSUBIRI YATAKOANGUKA TUANZE KUSHEREKEA.....INVSC HATA MIE NIMEPATA DATA ZAIDI ILA HIZI zinatisha....
Hivi kwani lazima tuwe na shirika la ndege????????????. wapeni nafasi Precision wasiokula hela ya Mtanzania watusafirishe
Precision ni ya Basil Pesambili Mramba na wenzake, kwa hiyo nayo si safi sana kama unavyodhani.
Mramba ndio kanunua ndege mbovu ya raisi (10%) akiwa waziri wa noti enzi za Mkapa, kwa hiyo huenda kuna fungu fulani chafu katika precision ambalo ni letu mie na wewe!
ahhhhhhhhhhhhhhhh, sasa nimejua anapopata hela za kuhonga wasichana ana msichana wake anajitamba kila siku jinsi anavyohudumiwa na mzee kumbe ndio nyenzo za kutunzia nyumba ndogo kwa gharama za mtz maskini! Chungu chako Mzee Makongoro kinachemka jikoni kitaepuliwa muda si mrefu ndio utajiju.