Mbona nishabamiza sana wa aina hiyo ni mipango tu hakuna linaloshindikanaHuko uraiani anaishi na mumewe.
Mbona nishabamiza sana wa aina hiyo ni mipango tu hakuna linaloshindikanaHuko uraiani anaishi na mumewe.
Duh kumbe wafungwa nao wanafaidishaga machoHata hii ni ya kugushi piaView attachment 1093639
Hata akivaa suti mtasema siku hizi anavaa suti kaliWauza ngada ndio walimwambia avae kihuni.
Kweli kabisa, msema kweli ninpenzi wa munguKwa muktadha ule ule alioutumia Mch. Gwajima kusema ile video ni ya kuunga unga, na mimi nasema hiyo picha ni ya kuunga unga.
View attachment 1093631
Kwanza hicho kifua ni cha baunsa, hawezi kua Makonda huyo.
Ukisikia "Wivu wa mapenzi wapelekea vifo vya askari magereza wawili" vyanzo huwa ni kama hizi picha za kughushiHata hii ni ya kugushi piaView attachment 1093639
kwa hio kwa mavazi Yale ni kama MTU aliekua na kazi gani?
Wakuu, Kwa ujumla mimi huwa ni Mshabiki wa Makonda kindakindaki ila kufuatia Msiba wa Mengi! Makonda alikosea katika maeneo yafuatayo!
1. Hakupaswa kuhusisha Msiba wa Mengi na tabia za Wachaga!
2. Hakupaswa kutangaza Deni la Kubenea hadharani maana Mkopo ni Siri ya Mkopaji na Mkopeshaji, na kwa kuwa Mkopeshaji hayupo basi angemkumbusha mkopaji kwa njia ya kistaarabu.
3. Hakupaswa kuvaa Mavazi yale aliyovaa Msibani Maana yanaashilia Uhuni, Usanii, au tunawea kuuita Utoto.
4. Hakupaswa kujitetea Baada ya SG Bashiru kumuombea msamaha pale Kanisani.
5. Hakupaswa kusita kuitika wito Baada ya kuitwa na Askofu pale Kanisani.
Huo ni mtazamo wangu tu! Japo na sisi walalamikaji tungeweza kunyamanza kimya pasingekuwepo na Mjandala wowote na wala tusinge athirika kwa Sababu hakuna ubishi kwamba katika Makabila ya Tanzania Wachanga wanachukua nafasi ya 1 kwa Utafutaji wa Pesa
Wakuu, Kwa ujumla mimi huwa ni Mshabiki wa Makonda kindakindaki ila kufuatia Msiba wa Mengi! Makonda alikosea katika maeneo yafuatayo!
1. Hakupaswa kuhusisha Msiba wa Mengi na tabia za Wachaga!
2. Hakupaswa kutangaza Deni la Kubenea hadharani maana Mkopo ni Siri ya Mkopaji na Mkopeshaji, na kwa kuwa Mkopeshaji hayupo basi angemkumbusha mkopaji kwa njia ya kistaarabu.
3. Hakupaswa kuvaa Mavazi yale aliyovaa Msibani Maana yanaashilia Uhuni, Usanii, au tunawea kuuita Utoto.
4. Hakupaswa kujitetea Baada ya SG Bashiru kumuombea msamaha pale Kanisani.
5. Hakupaswa kusita kuitika wito Baada ya kuitwa na Askofu pale Kanisani.
Huo ni mtazamo wangu tu! Japo na sisi walalamikaji tungeweza kunyamanza kimya pasingekuwepo na Mjandala wowote na wala tusinge athirika kwa Sababu hakuna ubishi kwamba katika Makabila ya Tanzania Wachanga wanachukua nafasi ya 1 kwa Utafutaji wa Pesa
Alikuja kuturingishia sisi watu wa mkoa. Wanaume wa Dar mna tabu sana 😂😂😂kwa hio kwa mavazi Yale ni kama MTU aliekua na kazi gani?
Alikuja kuturingishia sisi watu wa mkoa. Wanaume wa Dar mna tabu sana 😂😂😂