Makonda is almost so damn right!

Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Hakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?
Kuna uwezekano mkubwa kwamba,
-hajui kucheza na maneno ya kiswahili bila kuacha rabsha
-hajui kusoma mazingira na upepo ulivyo
-aliwatania wasiotaka utani naye
-hajui kuchagua rika na lugha viendane
-ana matatizo.Na ni tatizo kuwa hajui yeye ndiye tatizo lenyewe
 
Hakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?
Makonda angekuwa Mpare wala huo utani usingekuwa na madhara ya kikabila kiasi kile.Binafsi pia nadhani Makonda alichomokea utani lakini bahati mbaya tafsiri ikawa tofauti.Bahati mbaya sana tena watu wa eneo hilo wameshaaminishwa kwamba Serikali haiwapendi,nk,nk,nk.
 
Watani wa wachaga n wapare na wasambaa.sio yy.Ajifunze alama za nyakati
Hakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?
 
huyu hapa gavana wa nairobi mike sonko amevaa hereni sikioni, saa mbili kila mkono na saa yake na bonge la nyororo shingoni lakini haonekani ni muhuni nchini kenya kwa sababu ya mavazi yake,
Lakini makonda wachawi wake mapovu yanawatoka kwa kuvaa jinsi tu.. View attachment 1093346
Wacha kuchukua picha za Zamani leo hii Sonko ni full Suti kila anapoenda
 
Ujue baada ya ile kauli nikawa nawaza hivi Kilimanjaro wanakotoka wachagga hakuna walemavu,hakuna vituo vya walemavu,je hakuna wachagga wanaowasaidia hao walio walemavu ukiacha Dr R. Mengi??
 
Utasubiri sana, na hili ni upepo tuu nalo litapita.

Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni - JamiiForums

P.
Kabisa wala asipoteze muda, matukio ya Bash boy huwa ninayarekodi kwenye diary tu.
 
Kiburi chake ni A+ kwa sasa ila upo wakati kitakuwa carryover
 
Aende kule walikuwa wameagana na KUBENEA kwenda kutajana?
Asahau ubunge was Nyamagana. Mahakama Kuu imeshatengua vifungu vya sheria vinavyowafanya Wakurugenzi was Majiji, mini kuwa wasimamizi was uchaguzi. Hivyo suala la. Mgombea huyu kushinda na akatangazwa mgomea mwingine halitakuwepo. I hope!
 
Wakuu, Kwa ujumla mimi huwa ni Mshabiki wa Makonda kindakindaki ila kufuatia Msiba wa Mengi! Makonda alikosea katika maeneo yafuatayo!

1. Hakupaswa kuhusisha Msiba wa Mengi na tabia za Wachaga!

2. Hakupaswa kutangaza Deni la Kubenea hadharani maana Mkopo ni Siri ya Mkopaji na Mkopeshaji, na kwa kuwa Mkopeshaji hayupo basi angemkumbusha mkopaji kwa njia ya kistaarabu.

3. Hakupaswa kuvaa Mavazi yale aliyovaa Msibani Maana yanaashilia Uhuni, Usanii, au tunawea kuuita Utoto.

4. Hakupaswa kujitetea Baada ya SG Bashiru kumuombea msamaha pale Kanisani.

5. Hakupaswa kusita kuitika wito Baada ya kuitwa na Askofu pale Kanisani.

Huo ni mtazamo wangu tu! Japo na sisi walalamikaji tungeweza kunyamanza kimya pasingekuwepo na Mjandala wowote na wala tusinge athirika kwa Sababu hakuna ubishi kwamba katika Makabila ya Tanzania Wachanga wanachukua nafasi ya 1 kwa Utafutaji wa Pesa
wengi fahamu zitaanza kuwarudia kwenye awamu hii!
 
Hiyo #2 kuhusu madeni alimkumbusha kwani yeye mkewe?asisubiri wenye mali waongee nini kilichomuwasha kuzungumza hiyo issue!

Kujipendekeza tu!
Huenda hata mengi alishasema akifa na madeni yamekufa haaaaa nawaza tu yeye lilomuuma ni nini?
 
Hakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?
Mambo ya Kubenea yalihusu nini pale katika msiba?
 
Too much allegations,why mnachukia binadamu mwenzenu hivi?
Kwakuwa yeye ndiye kiongozi mwenye chuki zaidi na biadamu wenzie.
Mfano tukio la harambee ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe.
Alimtukana matusi ya kebehi na dharau mwalikwa mwenzake bila sababu yoyote.
Tena kwa kumtaja jina mbele ya hadhara.
Wakati wote wawili walilkuwa wageni waalikwa.
Alimpiga Mzee Warioba bila sababu ya msingi.
Juzi kawatukaana Wachaga hadi kaombewa na Katibu wale Mkuu.
Na mengine mengi.
Hivyo watu nao wanamlipia.
Au unataka yeye aendelee kutukana tu na watu wamnyamazie.

Dunia ya sasa ni ya Jino kwa Jino.
 
huyu hapa gavana wa nairobi mike sonko amevaa hereni sikioni, saa mbili kila mkono na saa yake na bonge la nyororo shingoni lakini haonekani ni muhuni nchini kenya kwa sababu ya mavazi yake,
Lakini makonda wachawi wake mapovu yanawatoka kwa kuvaa jinsi tu.. View attachment 1093346
Dah hapa yupo mahali pa ibada ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom