Na deni la Kubenea nalo ni utani!!??Hakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?
Utasubiri sana, na hili ni upepo tuu nalo litapita.Huo ni mtazamo wangu tu!.
Mbona unaonekana una msongo wa mawazo uliokubuhu?? mambo ya mavazi yametoka wapi hapa?Sio kweli ni utani na alivyosema deni la KUBENEA na hilo ni utani? yeye ni nani mpk aende kusema kwenye kadamsi mambo ya madeni yeye ni mwanafamilia?
Itoshe kumwambia ukweli na ni hiari yake kubadilika huyo angekuwa ana akili hata ya kujua sasa natakiwa nivae nini wakati gani angekuwa na high displin ili aweze kuprove watu wrong kwamba yeye sio FFFF
Wauza ngada ndio walimwambia avae kihuni.Wauza ngada hao ndo maana chuki zimewajaa
Weka ushaidi kama wewe ulikuwa mshabiki wa Makonda.Wakuu, Kwa ujumla mimi huwa ni Mshabiki wa Makonda kindakindaki ila kufuatia Msiba wa Mengi! Makonda alikosea katika maeneo yafuatayo!
1. Hakupaswa kuhusisha Msiba wa Mengi na tabia za Wachaga!
2. Hakupaswa kutangaza Deni la Kubenea hadharani maana Mkopo ni Siri ya Mkopaji na Mkopeshaji, na kwa kuwa Mkopeshaji hayupo basi angemkumbusha mkopaji kwa njia ya kistaarabu.
3. Hakupaswa kuvaa Mavazi yale aliyovaa Msibani Maana yanaashilia Uhuni, Usanii, au tunawea kuuita Utoto.
4. Hakupaswa kujitetea Baada ya SG Bashiru kumuombea msamaha pale Kanisani.
5. Hakupaswa kusita kuitika wito Baada ya kuitwa na Askofu pale Kanisani.
Huo ni mtazamo wangu tu! Japo na sisi walalamikaji tungeweza kunyamanza kimya pasingekuwepo na Mjandala wowote na wala tusinge athirika kwa Sababu hakuna ubishi kwamba katika Makabila ya Tanzania Wachanga wanachukua nafasi ya 1 kwa Utafutaji wa Pesa
Sawa litapita lakini kuna siku jamii itakuja kumhukumu kutokana na matukio anayoyatengeneza.Utasubiri sana, na hili ni upepo tuu nalo litapita.
P.
Kama kiongozi hakutakiwa kuvaa vile kama yuko disco.Mavazi gani hayo unayoyaita ya kihuni ?
Nini maana ya uhuni ?
Mhuni ni nani?
Miss madeko , alisema kwa wale waliosaidiwa na dr Mengi , yeye akamtaja na kubenea wana deni kubwa kwa mengi , yaani katika kumuenzi.Sio kweli ni utani na alivyosema deni la KUBENEA na hilo ni utani? yeye ni nani mpk aende kusema kwenye kadamsi mambo ya madeni yeye ni mwanafamilia?
Itoshe kumwambia ukweli na ni hiari yake kubadilika huyo angekuwa ana akili hata ya kujua sasa natakiwa nivae nini wakati gani angekuwa na high displin ili aweze kuprove watu wrong kwamba yeye sio FFFF
Mbona unaonekana una msongo wa mawazo uliokubuhu?? mambo ya mavazi yametoka wapi hapa?
Mimi namchukia kwa kutaka wanaume wote wa dar-es-salaam tupimwe tezi dume kwa nguvu hata ukihamia mikoani, toka hapo nikajua huyu sio mzimaDuuh, hii kweli nyota ya duduwasha, yaani kila analofanya huyu Mh. Wananzengo wanamkosoa.
Miss madeko , alisema kwa wale waliosaidiwa na dr Mengi , yeye akamtaja na kubenea wana deni kubwa kwa mengi , yaani katika kumuenzi.