Makonda is almost so damn right!

Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Hakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?
Na deni la Kubenea nalo ni utani!!??
 
Inasikitisha katika karne hii ya 21, watu wenye akili bado tunapambana kutetea au kuzodoana makabila na ujinga ujinga huu. Makabila ndo nin kwani? Wew msukuma au mmakonde au mchaga, so what? Ili iweje? Inakufaidi nini kama mTZ wa leo. Mtoa mada umezingua sana na wote mnaofeel offended kwa kabila lenu mnazingua pia.

Binafsi sipendagi hata kuuliza or kujua flani ni kabila gani, nampa heshima na treatment na ushirikiano bila kujali jina lake la mwisho.Hizi tabia waachieni majirani huko, mambo haya ni aibu na yanatia kichefuchefu.

Utaifa wetu kwanza, nafeel proud kuwa mtanzania sio kwa kabila langu bcuz ni vitu vya kupita. Makabila flush chooni yaende huko kitu gani bwana.
 
Huo ni mtazamo wangu tu!.
Utasubiri sana, na hili ni upepo tuu nalo litapita.

Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni - JamiiForums

P.
 
Sio kweli ni utani na alivyosema deni la KUBENEA na hilo ni utani? yeye ni nani mpk aende kusema kwenye kadamsi mambo ya madeni yeye ni mwanafamilia?

Itoshe kumwambia ukweli na ni hiari yake kubadilika huyo angekuwa ana akili hata ya kujua sasa natakiwa nivae nini wakati gani angekuwa na high displin ili aweze kuprove watu wrong kwamba yeye sio FFFF
Mbona unaonekana una msongo wa mawazo uliokubuhu?? mambo ya mavazi yametoka wapi hapa?
 
Mavazi gani hayo unayoyaita ya kihuni ?
Nini maana ya uhuni ?
Mhuni ni nani?
 
Wakuu, Kwa ujumla mimi huwa ni Mshabiki wa Makonda kindakindaki ila kufuatia Msiba wa Mengi! Makonda alikosea katika maeneo yafuatayo!

1. Hakupaswa kuhusisha Msiba wa Mengi na tabia za Wachaga!

2. Hakupaswa kutangaza Deni la Kubenea hadharani maana Mkopo ni Siri ya Mkopaji na Mkopeshaji, na kwa kuwa Mkopeshaji hayupo basi angemkumbusha mkopaji kwa njia ya kistaarabu.

3. Hakupaswa kuvaa Mavazi yale aliyovaa Msibani Maana yanaashilia Uhuni, Usanii, au tunawea kuuita Utoto.

4. Hakupaswa kujitetea Baada ya SG Bashiru kumuombea msamaha pale Kanisani.

5. Hakupaswa kusita kuitika wito Baada ya kuitwa na Askofu pale Kanisani.

Huo ni mtazamo wangu tu! Japo na sisi walalamikaji tungeweza kunyamanza kimya pasingekuwepo na Mjandala wowote na wala tusinge athirika kwa Sababu hakuna ubishi kwamba katika Makabila ya Tanzania Wachanga wanachukua nafasi ya 1 kwa Utafutaji wa Pesa
Weka ushaidi kama wewe ulikuwa mshabiki wa Makonda.
 
Mavazi gani hayo unayoyaita ya kihuni ?
Nini maana ya uhuni ?
Mhuni ni nani?
Kama kiongozi hakutakiwa kuvaa vile kama yuko disco.
IMG-20190509-WA0018.jpeg
 
Utani kwenye jambo serious kama msiba,walao ukiwa ni mtani wa kiasili wa kikabila,kwa mbaali utaeleweka,japo napo kwataka umakini.Madeni yasiyomhusu,kuyatamka hadharani si uungwana.Marehemu ana mke wake (labda ayajua zaidi yake) na ana nduguze pia.Pili,si ajabu hata marehemu hakuwa na mpango wa kulifuatilia,japo ustaarabu ni mhusika mwenyewe kulipa.Ila haikuwa vema kujiweka kuwa mwadilifu zaidi ya Kubenea,hadi kuanika maneno ya ajabu vile.Alikosea kweupee!
 
Sio kweli ni utani na alivyosema deni la KUBENEA na hilo ni utani? yeye ni nani mpk aende kusema kwenye kadamsi mambo ya madeni yeye ni mwanafamilia?

Itoshe kumwambia ukweli na ni hiari yake kubadilika huyo angekuwa ana akili hata ya kujua sasa natakiwa nivae nini wakati gani angekuwa na high displin ili aweze kuprove watu wrong kwamba yeye sio FFFF
Miss madeko , alisema kwa wale waliosaidiwa na dr Mengi , yeye akamtaja na kubenea wana deni kubwa kwa mengi , yaani katika kumuenzi.
 
Yawezekana hakupata fursa ya kuishi hivi au hakufikiria kabisa kwamba kuna siku ataishi hivi akiwa mdogo sababu ya familly background; sasa analipizia.

Simtetei ila anahitai wana saikolojia kumuweka sawa kabla ya mambo hayajamharibikia zaidi.
 
Miss madeko , alisema kwa wale waliosaidiwa na dr Mengi , yeye akamtaja na kubenea wana deni kubwa kwa mengi , yaani katika kumuenzi.


Pamoja na hili hawezi kuvaa viatu hivyo tayari yeye ana kiburi cha uzima so yeye abaki kutingisha makalio tuu kama vile Bi kiboga akipata danga
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom