Makonda is almost so damn right!

Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Kwa mwenendo wa Makonda pale Kanisani hata Musiba ameshindwa kumtetea.

Mtakumbuka Makonda alikataa kuwaomba radhi Clouds kwa kitendo chake cha kuwavamia.

Hata pale Kanisani ukisikiliza kwa makini utaona kwamba Makonda aligoma hakuomba radhi kwa kauli za kibaguzi alizotoa.

Musiba ameshangazwa na jinsi Makonda alivyokosa unyenyekevu akiwa madhabahudi, huku akishuhudiwa na Waziri Mkuu, Katibu Mkuu wa chama, na viongozi wengine wa kidini na kijamii.



 
niliwahi kusikia sehemu kuwa musiba na makonda huwa hawaivi chungu kimoja. wanaishi kwa kuviziana.

kwa tukio hili la musiba nimeanza kuamini kile nilichokisikia. ila fresh tu, acha washughulikiane wao kwa wao.

..sikiliza hapo nimeweka video clip.

..Musiba anadai ni mtu wa karibu sana wa Makonda.
 
Nani hamjui Makonda kuwa in mtukutu mahali popote ambako Rais mwenyewe hayupo? Yeye binadamu pekee anayemuheshimu ni rais Magufuli tuu nchi hii. Kila mtu anajua hilo na raisi anajua hilo na hawezi kumfanya lolote kwa sababu wanazozijua wote wawili tuu.
Huyo kijana alipoitwa madhabahuni (ambapo hata kama yeye hapa heshimu lakini viongozi wake wanaheshimu) angeweza hata kuamua kujisaidia pale na hangejutia wala hakuna wa kumuwajibisha.
Sababu za kuwa hawezi kuwajibishwa na mteule kwa LOLOTE kwa sasa hazijulikani lakini kuna siku zitajulikana tuu
 
Mwnaharakati ‘huru ‘ Musiba kawachota Wazito wa kufanya tafakuri Mujarab wanadhan hapo anamponda Makonda

Anachojaribu ni kuonesha kuwa yeye Hana upande yuko neutral ndio sababu hata ‘Makonda aliwahi kumkosoa dhidi ya freeman Mbowe’

Hakuna la zaid analofanya
 
Nani hamjui Makonda kuwa in mtukutu mahali popote ambako Rais mwenyewe hayupo? Yeye binadamu pekee anayemuheshimu ni rais Magufuli tuu nchi hii. Kila mtu anajua hilo na raisi anajua hilo na hawezi kumfanya lolote kwa sababu wanazozijua wote wawili tuu.
Huyo kijana alipoitwa madhabahuni (ambapo hata kama yeye hapa heshimu lakini viongozi wake wanaheshimu) angeweza hata kuamua kujisaidia pale na hangejutia wala hakuna wa kumuwajibisha.
Sababu za kuwa hawezi kuwajibishwa na mteule kwa LOLOTE kwa sasa hazijulikani lakini kuna siku zitajulikana tuu
Wote na baba yake ndumba ndo zinawapa ujeuri.....hiv unafikir wanapata wap ujasir wa kufanya wanayofanye kwa ujeur mkubwa
 
Bashite ana kiburi cha tako, akiliona tako lilivyo kuuuubwa anaamini ana maisha marefu sana,

Kuna MTU alikuwa na tako kama Agness Masogange??? Yupo wapi SASA??

Tako lililoumuka lisikupe jeuri ukajiona Una uhai wa kudumu!
 
Hata ukiwa mnyenyekevu na mwenye heshima madhabahuni na mbele ya askofu halafu ukitoka hapo unashindwa kuheshimu na kuwa mnyenyekevu mbele ya jamii inayokuzunguka ni sawa na bure tu..

Ukabila na udini Tanzania upo, tena upo kwa namna ya kinafiki sana tena afadhali ya ukabila wa Kenya uko live ila huu wa kinafiki ni hatari sana..
 
Bashite ana kiburi cha tako, akiliona tako lilivyo kuuuubwa anaamini ana maisha marefu sana,

Kuna MTU alikuwa na tako kama Agness Masogange??? Yupo wapi SASA??

Tako lililoumuka lisikupe jeuri ukajiona Una uhai wa kudumu!
Ohooo
 
Musiba mbona JK alivyokosolewa hukuwahi kuja kumtetea na hizo clip??
 
Nani hamjui Makonda kuwa in mtukutu mahali popote ambako Rais mwenyewe hayupo? Yeye binadamu pekee anayemuheshimu ni rais Magufuli tuu nchi hii. Kila mtu anajua hilo na raisi anajua hilo na hawezi kumfanya lolote kwa sababu wanazozijua wote wawili tuu.
Huyo kijana alipoitwa madhabahuni (ambapo hata kama yeye hapa heshimu lakini viongozi wake wanaheshimu) angeweza hata kuamua kujisaidia pale na hangejutia wala hakuna wa kumuwajibisha.
Sababu za kuwa hawezi kuwajibishwa na mteule kwa LOLOTE kwa sasa hazijulikani lakini kuna siku zitajulikana tuu
Ila Wameru wamewahi kunya madhabauni enzi za 'vita' vya Dayosisi ya Meru !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom