Makonda is almost so damn right!

Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
We kenge Kwel NGO ianzishwe halafu iwe ya umma una akili ww?
Uliza world vision aliye ileta Tanzania ni nan??
Ulienda shule kusomea ujinga???
ungeacha kutukana ukajibu kwa akili ungeeleweka, hapa ndo unatoa picha halisi ya wachaga
picha ulivyonijibu ungeanalia namna mtoa maoni nilyemjibu alivyoandika
 
Mkitaka tuamini haya mnayoyasema tupeni mfano wa tajiri mmoja kutoka kabila tofauti na mchaga ambae ana moyo wa kujitolea kusaidia wengine, angalau aliefikia nusu au robo ya moyo wa kujitolea wa Dr. Mengi.
Achana na matajiri kuna jamii zinajulikana kabisa wao ni wakarimu kwa watu wa aina yote
wasukuma
wahehe
waha
watu wa pwani
 
KIJANA UNATAKA USAIDIWE NA WACHAGA ILI IWEJE, WE HUNA NDUGU ZAKO, MENGI ALIWASAIDIA WENGINE MAANA ALISHAWATOA NDUGU ZAKE, HALAFU UJUE HATA WACHAGA HAWASAIDIA HIVI HIVI HATA KAMA NI NDUGU LAZIMA UFANYE KAZI KWA BIDII
Katika jamii inayoongoza kwa kusaidiwa basi ni wachaga
 
Sijui mke wa huyu jamaa anajisikia je? namwonea huruma mwanamke mwenzetu kwani huyu Makonda ni shida ya kimataifa kabisa
 
Wakuu, Kwa ujumla mimi huwa ni Mshabiki wa Makonda kindakindaki ila kufuatia Msiba wa Mengi! Makonda alikosea katika maeneo yafuatayo!

1. Hakupaswa kuhusisha Msiba wa Mengi na tabia za Wachaga!

2. Hakupaswa kutangaza Deni la Kubenea hadharani maana Mkopo ni Siri ya Mkopaji na Mkopeshaji, na kwa kuwa Mkopeshaji hayupo basi angemkumbusha mkopaji kwa njia ya kistaarabu.

3. Hakupaswa kuvaa Mavazi yale aliyovaa Msibani Maana yanaashilia Uhuni, Usanii, au tunawea kuuita Utoto.

4. Hakupaswa kujitetea Baada ya SG Bashiru kumuombea msamaha pale Kanisani.

5. Hakupaswa kusita kuitika wito Baada ya kuitwa na Askofu pale Kanisani.

Huo ni mtazamo wangu tu! Japo na sisi walalamikaji tungeweza kunyamanza kimya pasingekuwepo na Mjandala wowote na wala tusinge athirika kwa Sababu hakuna ubishi kwamba katika Makabila ya Tanzania Wachanga wanachukua nafasi ya 1 kwa Utafutaji wa Pesa
 
Hakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?
 
Hakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?


Sio kweli ni utani na alivyosema deni la KUBENEA na hilo ni utani? yeye ni nani mpk aende kusema kwenye kadamsi mambo ya madeni yeye ni mwanafamilia?

Itoshe kumwambia ukweli na ni hiari yake kubadilika huyo angekuwa ana akili hata ya kujua sasa natakiwa nivae nini wakati gani angekuwa na high displin ili aweze kuprove watu wrong kwamba yeye sio FFFF
 
allegation moja tu nakuunga mkono, ule uvaaji, sijui hata ni vipi aliruhusiwa kuingia kanisani? Baba yake sijui aliona hiyo? makanisa ya moshi hayana dress code?anadhalilisha cheo chake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom