Vyuo vingi mfano SUA, UDSM hata Mzumbe University, watu wa Kaskazini, hasa Wachagga ndo walisimamia, kuanzisha programu za masomo, kufundisha idadi kubwa ya watu ambao ndo wanawabeza leo! Mfano' Open University ya leo, iliasisiwa mwanzoni kabisa na Prof. Mmari ( Mchagga) ambaye ndiye pia aliyesimamia SUA enzi inajitenga UDSM.
Waziri wa Elimu enzi hizo Mh. Elinawinga ( Mchagga), mambo aliyobuni na kufanya yanakumbukwa hadi leo. Nielewke, hawa jamaa ni model kwa mafanikio ktk maisha yangu.
Siku Raisi atatoka pande hiyo, naamini ndo mwanzo wa Tz mpya