Amekuomba umwelezee hisia zake mkuu? Tangu lini kawa mtani wa wachagga? Ulimsikia pale madhabahuni alivyojilazimisha kuomba samahani ya kejeli?Hakuumaanisha na ndio maana alisema watu wamemtafakari vibaya. Hajaliona kosa, na ndiyo maana alionyesha kiburi mbele ya Askofu, Waziri mkuu na kadamnasi yote. Kujitambua kwa huyu chalii, it will take karne. Again, sham on him.Hakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?