Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Tofauti yao ni kwamba vazi Makonda limeonwa na wengi....wakati Gwajima walikuwa wawili tu...Kwa muktadha ule ule alioutumia Mch. Gwajima kusema ile video ni ya kuunga unga, na mimi nasema hiyo picha ni ya kuunga unga.
View attachment 1093631
Kwanza hicho kifua ni cha baunsa, hawezi kua Makonda huyo.
