Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

Mwenye video hiyo tafadhari atupie hapa!!
Tuwafungulie mashitaka huwez kuhoji shoga katka nchi isiokubali ushoga ukawa salama
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amepiga simu moja kwa moja (live) kwenye kipindi cha clouds 360 kinachomhoji mtayarishaji wa kipindi kilichorushwa jana cha Take one Zamarad. Kipindi hicho kilimuonyesha maisha shoga almaarufu KANGE.
Hakuwa na sababu ya kupiga simu huko..angempigia NAPE awajulishe TCRA wafanye kazi yao..
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amepiga simu moja kwa moja (live) kwenye kipindi cha clouds 360 kinachomhoji mtayarishaji wa kipindi kilichorushwa jana cha Take one Zamarad. Kipindi hicho kilimuonyesha maisha shoga almaarufu KANGE.
Kasema nini juu ya hilo la kipindi?
Clouds huenda wanazidisha uzembe wa kuchagua yanayostahili kuwekwa hewani. Wandhani ndo ubunifu.
 
Jamani hiyo Channel mnaitazama ya nini?Mi nilifikiri Makonda kapiga kumuonya Mtangazaji na wamiliki wa TV?Ila kwa sababu ni TV ya Rais na Mkuu wa Mkoa ni mdau wao mkubwa watasifiwa tu
 
Ndugu, jana katika television moja ya hapa kwetu ijulikanayo kama clouds tv, ilirusha kipindi chenye maudhuhi ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja (mashoga)
Hoja yangu, katiba yetu na sheria hairuhusu hilo
Pia mila na desturi zetu haliruhusu hilo
Jamii yetu haijazoeshwa kuwa na vipindi vyenye mlengo wa kushoto kama hiki.
Najiuliza tcra wako wapi, waziri mwenye dhamana ndugu Nape atachukulia poa? Au kwa sababu ni washikaji watakausha?
Nb... Hili jambo likifumbiwa macho jamii yetu itapata athali mbili, 1_watoto wataona ni jambo la kawaida
2-wapo watu na misimamo mikali hawatakubali hili liendelee sisi siyo kisiwa
Watu wajue asili ya ndoa ni Mume na mke, fullstop.


Tatizo tunaongea sana bila kufanya action... mashoga wapo wengi sana hapa Tanzania... ukienda kwenye maonesho ya taarabu utawakuta kibao.. sasa kama ni kweli ushoga unachukiwa basi fanyeni msako na muwamate wote... zamaradi ajaonesha kitu cha ajabu, nani ajui kama mashoga wapo? nani ajui kama mashoga wanapata wateja wao?
 
Sidhani kama swala hili limeripotiwa kwa nia njema kama host wa TV ile anavyo litetea! Huu ni mwendelezo wa matakwa ya wale ndugu wa nchi za ng'ambo. Mungu atunusuru. Kwani limeletwa kwa sura ya ukarimu, wema na kuepuka unafiki!!!?? Kweli shetani anambinu za juu kuliko mwanadam na anapitia watu wenye ushawishi ili kuhalalisha. Ni dhahama!!
 
Tokea enzi zile wanadhalilisha bibi zetu hao ni bure kabisa...
 
Kama hukuona hicho kipindi kaa kimya.
Watu humu mnakuwa wajinga wakujadili vitu bila ya kufatilia
Kama ulikiona kipindi lazima utamsapot makonda kushauri viongezwe hivyo vipindi ili vielimishe athari za ushoga
Kwangu Mimi nikipindi bora kwani kimeonesha chanzo cha watoto na wajukuu zetu kuwa mashoga
 
Ukitaka busara angalia tbc, tbc2, itv
Mbwa akikuzoea saaana mwishoe utaingia nae msikitini. Clouds ni TV pendwa ya Mheshimiwa ila kwa sasa naona kuna jambo wanalitafuta. Kama kuonywa wameshaonywa sana na TCRA kuhusu hizo habari za ushoga lakini bado wameng'ang'ania kuzitangaza. Kama faini kulipa wameshazoea kuzilipa kwa ajili ya kutangaza ushoga. Ni wakati sasa wa TCRA kufikiria adhabu nyingine.
Ukumbuke wao ni watu wazima na wanaelewa kipi wanakifanya na hayo matangazo yamesharushwa na kutizamwa na jamii kubwa, hapa ipo namna sio bure, au wanataka (ingawa sio rahisi) tufikirie kwamba hao wakubwa ndio wamewatuma watutangazie hizo habari za ushoga?

kabisa,it was kinda a promotion.Halafu shida nyingine ni kwamba wanasiasa hao hao wanaitumia ile TV kwa promo zao binafsi. inachanganya kwakweli
 
Je, wahusika wapo tayar kuacha?
Kuna baadhi ya vitu ni vibaya ila tatizo ni utayar kwa wahusika kuachana navyo.

Je, waweza kuacha kukuna kipele kinachokuwasha?
 
hivi mnaojiuliza maswali mengi kuhusu hiyo channel na ushoga hamjawahi kusikiliza antivirus za sugu?! mbona alimwaga mtama kwenye kuku wengi...
 
Kama hukubahati kuona video hii nenda you tube andika take one utaiona vizuri
 
Hiki kituo cha kufungiwa kabisa zinaharibu jamii ya watoto wetu sitashangaa kama TCRA watakiacha kukipa hadhabu
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amepiga simu moja kwa moja (live) kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachomhoji mtayarishaji wa kipindi kilichorushwa jana cha Take one Zamaradi. Kipindi hicho kilimuonyesha maisha ya shoga almaarufu KANGE.
Ungeandika kwa ukamilifu kile ambacho Makonda kazungumza.

ImageUploadedByJamiiForums1467184874.942984.jpg
 
Back
Top Bottom