Makonda akiombewa dua na Mashehe

Makonda akiombewa dua na Mashehe

Hahaa
AhaQUOTE="Mangi flani hivi, post: 19967542, member: 347058"]Vyeti baba... Wacha Maneno.[/QUOTE]
h
H
 
Kazi yake ni kutumia shortcut kwenye Shule na muda si mrefu utasikia ana masters wakati kesha Disco hivi karibuni Mzumbe University alipojaribu kusoma MSc. HRM
Anasoma tena Mzumbe sasa hivi naona atapata anakuwepo chuoni mara chache sana atakuja kuonana na wanaomsomea
 
Baada ya kumwambia alitakiwa kuvua viatu kaamua kurudi tena. Ana wasiwasi zile sala hazikufika ndiyo maana akaendelea kusakamwa. Na wasiwasi na mungu wake anayemwamini.haiwezekani kuzunguka kwa maaskofu,wachungaji,masheikh kwa ajili ya dua tu. Kujifananisha na Mungu ni kosa kubwa sana sasa tuone huyo mungu anayemtafuta tena wakati yeye alisema ni mungu. Huu ni mwezi wa kwaresma hajafunga? Hapo makonda yuko kwenye imani gani? Ya waislamu au wakristu? Masheikh wanamuomba Mungu wanayemwamini wao na makonda mungu anayemwamini je atafanikiwa? Halafu kulikuwa na ulazima gani hadi taarifa zitoke kwenye habari? Hiyo ni dhihaka mbele ya masheikh na mungu. Wiki iliyopita uende na viatu leo uende na kanzu ukikosolewa tena utaenda na nini?
Ataenda Uchi
 
Kwani palei
ni msikitini? Au cjaona
vizuri? Kama ameweza kutumia cheti cha MTU hashindwi kuwanunua mashekhe.
 
Mheshimiwa Makonda mrudie Bwana Mungu wako vinginevyo utapata presha halafu utaumia hapa bado bungeni n.a. mahakamani bado kwa Mtumishi wa Bwana MUNGU Gwajima bado Bwana Manji umeweza kite bila kuumia? Bado unasakamwa kwenye m itandao kweli utaumia USHAURI onyesha vyeti au achia ngazi kunusurika n.a. presha the world is full of opportunities try somewhere else
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom