Makonda akiombewa dua na Mashehe

Makonda akiombewa dua na Mashehe

Ndivyo alivyo mungu wa bahari kinyume na Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo. Huyo mwingine hugeukageuka. Lakini kwa hakika hawezi kufua dafu kwa Mungu wa Elia. Ninampa pole sana kijana huyu kuwa na roho ngumu kama ya Farao. Mzee geuka kama musa na uvue viatu ili yaishe
Mbona kama unamsomea albadir?
 
Huyu Makonda atawafanya mtage yai la MBUNI Mwaka huu kudadadeki
Wewe mkaruka kwa kuwa inaonyesha uko karibu naye sana mwambie a some Mithali 28:13 inayosema hivi " Afichaye dhambi zake hatafanikiwa;Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema" Je anaitaka hiyo rehema? Kamuulize
 
Kazi yake ni kutumia shortcut kwenye Shule na muda si mrefu utasikia ana masters wakati kesha Disco hivi karibuni Mzumbe University alipojaribu kusoma MSc. HRM
MHH KUWA MAKINI MKUU.
 
Kwaio mkae mkijua uyo jamaa ana sili pia ya dini yake
 
Bashite ana hofu ya kufutwa kazi, amepenyezewa habari kuwa kuna watu kutoka ikulu wanafukunyua mafile yake wanamchunguza.
Unajua mtu anaweza kukupa kitu kiasi kwamba ukawa husikii wala hushauriwi kitu juu yake.
Bashite ile kitu alipeaga mh. 6 na sasa amepea Pogba ni vigumu kumtoa akilini... Hata akiomba gari ya ikulu akapigie misele atapewa i'm telling you.
 
Hebu fikiria maelfu na maelfu ya majini yaliyokusanyika hapo. Hii ni hatari sana!
 
Kiongozi yeyote anayetumia dini kama ishara,alama au mbwembwe za utendaji wake .....ni dalili ya wazi kuwa amaefirisika sera sasa anatafuta kiki kupitia dini au imani za watu. Kwa haraka haraka hapo makonda anataka kuwalainisha mioyo wakazi wa jiji la dar ambao ni wanaimani wa kiislamu lakini pia anataka kujenga mawazo kwa watanzania kuwa yeye sio mbaguzi wa dini. Haya na mengineyo ni mapicha picha tu katika uongozi dhalimu na usio na jipya kwa baadhi ya viongozi wa chama cha mapinduzi. Tunahitaji kurejea misingi ya katiba ya nchi na taratibu za uongozi bora. Haya madudu ya kuuza sura hayatatufikisha popote.
 
Wewe mkaruka kwa kuwa inaonyesha uko karibu naye sana mwambie a some Mithali 28:13 inayosema hivi " Afichaye dhambi zake hatafanikiwa;Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema" Je anaitaka hiyo rehema? Kamuulize
Nitamwambia ndugu mtakatifu usiye na dhambi unayemwombea Mabaya 24/7 binadamu mwenzio
 
Huyu muhun anajificha kwenye dini ili iweje

Halafu kwann anapendelewa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom