Kumbe hata "mashehe' wako kwenye biblia

Kumbe hata "mashehe' wako kwenye biblia

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,494
Reaction score
29,280
Nehemia 4:14
Nikatazama, nikaondoka, nikawaambia wakuu, na mashehe, na watu wengine waliobaki, Msiwaogope; mkumbukeni Bwana, aliye mkuu mwenye kuogofya, mkawapiganie ndugu zenu, na wana wenu, na binti zenu, na wake zenu, na nyumba zenu.
 
Linaweza kuwa ni neno lenye tafsiri kulingana na mahali au wakati. Mfano kwenye biblia Kuna neno SINAGOGI lenye maana ya msikiti. Sasa ukilazimisha SINAGOGI kuwa ni msikiti wa kiislamu utafeli vibaya mno kwani wakati wa Yesu uislamu hakuwepo popote duniani mpaka miaka miasita mbele baada ya Yesu.
 
Nehemia 4:14
Nikatazama, nikaondoka, nikawaambia wakuu, na mashehe, na watu wengine waliobaki, Msiwaogope; mkumbukeni Bwana, aliye mkuu mwenye kuogofya, mkawapiganie ndugu zenu, na wana wenu, na binti zenu, na wake zenu, na nyumba zenu.
Bujibuji bhn
 
Linaweza kuwa ni neno lenye tafsiri kulingana na mahali au wakati. Mfano kwenye biblia Kuna neno SINAGOGI lenye maana ya msikiti. Sasa ukilazimisha SINAGOGI kuwa ni msikiti wa kiislamu utafeli vibaya mno kwani wakati wa Yesu uislamu hakuwepo popote duniani mpaka miaka miasita mbele baada ya Yesu.

lkn nielewavyo sinagogi inawahusu wayahudi, ni nyumba ya ibada ya wayahudi unaweza kusema na siyo msikiti wala islam, kama sijakosea ...
 
lkn nielewavyzo sigogi inawahusu wayahudi, ni nzmba ya kusalia ya wayahudi na siyo msikiti na wala haina uhusiano na islamu, kama sijakosea ...
Tafsiri halisi kulingana na biblia ni msikiti wa kiyahudi. Sasa kuja baadhi ya ndugu zetu wanaishia hapo kwenye msikiti.

Ni kama neno church - Kuna orthodontist churches, Catholic etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom